The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Kimsingi Dullysykes ni nyoka mbaya sana kucheza naye ,ni mtu ambaye amesurvive mwanzo kwa ubora wa kazi zake kama julieta ,nyambizi na hi,baada ya hapo akajua kucheza na nyakati.
Alianza na chokochoko na TID ambapo alikuwa kinara by then mashabiki wa TID hawakuwa na time nae ila haters wa TID walitengeneza yeye kama ngao hajapata imba nyimbo kali kama zeze ,nyota yako,etc hili nalolikapita .
Ikaja zama ya Mr nice na dudu baya kama kawaida yake akaside na dudubaya maana hakuweza kutoboa kwa mr nice sangoma zilikutana.
Zikaja zama za Mr blue na Joseline ,Jamaa aligundua macho yote yako kwa hawa wawili basi alipambana mpaka ikafanyika colabo ''dhahabu'' yeye akanufaika kurudi ila joseline nasikia anauza kibanda cha chipsi uswahilini.
Sasa mastermind wa survival akajaribu kushine enzi za ufalme huu wa diamond na king kiba akatengeneza ileile mbinu ya colabo safari hii hakutoboa inasemekana mondi aligundua mkakati akafuta verse ya alikiba na huo ndo ulikuwa mwanzo wa bifu maana hata dully akagoma kutoa huo wimbo ,ila hapo mondi alikuwa anazikwa hai maana nyota yake iilikuwa anauziwa jamaa.
Mnyama huyu mkali alipoona hajatoboa na option pekee ni kuwa karibu na wasafi akaanza mbinu za kujisogeza kwa harmonise mara ooh mdogo wangu sijui atafika mbali ,mara anaheshima ,dogo akajaa misifa balaa taratibu akafanikiwa kupata collabo ambazo hata yeye anakiri dogo kampa kampani ,za ufytele jamaa ni moja ya wanaompa kichwa dogo kuwa anaweza na ananyonywa
muda hujibu,hesabu hazikosei .
Mondi ukisema afanye kolabo na alikiba anaekataa ni alikiba maana anawashauri wazuri wanamwambia utapotea mazima ,furahia hii siasa ya nani zaidi bila mashindano,hata mange aliposikia tetesi alikiba amealikwa wasafi festival pamoja na kuigiza kinafiki kuwa ali yuko juu ya mondi kwa mara ya kwanza ali act the truth alimwambia ukithubutu umeliwa .
Mondi pia katili sana alijua kinachompa kiki dogo harmo ni ushauri na influence yake asee kampotezea kila support overnight page ya mondi ikitolewa nyimbo ya harmoniser alikuwa anaipost balaa kumbuka ana followers almost 7 mil ,rayvan 3 mil ,mboso 2.3 mil,ravalava 1.5 hawa wote wameusiwa wamteme ,nampa moyo akiimba vizuri ataheat ila akileta huuupuuzi wa kujifanya anainua wakina qchief na dullysykes hata kaa aamini wenzake wako busy na kukuwa sio kushukuru shukuru watu amabao hata hawajakusaidia .
wenu mtiifu
The only
Alianza na chokochoko na TID ambapo alikuwa kinara by then mashabiki wa TID hawakuwa na time nae ila haters wa TID walitengeneza yeye kama ngao hajapata imba nyimbo kali kama zeze ,nyota yako,etc hili nalolikapita .
Ikaja zama ya Mr nice na dudu baya kama kawaida yake akaside na dudubaya maana hakuweza kutoboa kwa mr nice sangoma zilikutana.
Zikaja zama za Mr blue na Joseline ,Jamaa aligundua macho yote yako kwa hawa wawili basi alipambana mpaka ikafanyika colabo ''dhahabu'' yeye akanufaika kurudi ila joseline nasikia anauza kibanda cha chipsi uswahilini.
Sasa mastermind wa survival akajaribu kushine enzi za ufalme huu wa diamond na king kiba akatengeneza ileile mbinu ya colabo safari hii hakutoboa inasemekana mondi aligundua mkakati akafuta verse ya alikiba na huo ndo ulikuwa mwanzo wa bifu maana hata dully akagoma kutoa huo wimbo ,ila hapo mondi alikuwa anazikwa hai maana nyota yake iilikuwa anauziwa jamaa.
Mnyama huyu mkali alipoona hajatoboa na option pekee ni kuwa karibu na wasafi akaanza mbinu za kujisogeza kwa harmonise mara ooh mdogo wangu sijui atafika mbali ,mara anaheshima ,dogo akajaa misifa balaa taratibu akafanikiwa kupata collabo ambazo hata yeye anakiri dogo kampa kampani ,za ufytele jamaa ni moja ya wanaompa kichwa dogo kuwa anaweza na ananyonywa
muda hujibu,hesabu hazikosei .
Mondi ukisema afanye kolabo na alikiba anaekataa ni alikiba maana anawashauri wazuri wanamwambia utapotea mazima ,furahia hii siasa ya nani zaidi bila mashindano,hata mange aliposikia tetesi alikiba amealikwa wasafi festival pamoja na kuigiza kinafiki kuwa ali yuko juu ya mondi kwa mara ya kwanza ali act the truth alimwambia ukithubutu umeliwa .
Mondi pia katili sana alijua kinachompa kiki dogo harmo ni ushauri na influence yake asee kampotezea kila support overnight page ya mondi ikitolewa nyimbo ya harmoniser alikuwa anaipost balaa kumbuka ana followers almost 7 mil ,rayvan 3 mil ,mboso 2.3 mil,ravalava 1.5 hawa wote wameusiwa wamteme ,nampa moyo akiimba vizuri ataheat ila akileta huuupuuzi wa kujifanya anainua wakina qchief na dullysykes hata kaa aamini wenzake wako busy na kukuwa sio kushukuru shukuru watu amabao hata hawajakusaidia .
wenu mtiifu
The only