Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona tunamkumbuka Karume mnyasa?Kwanza wakina sykes wote walikuwa wakimbizi kutoka south Africa ,tuwakumbuke Kwa lip?
Najua mtakimbilia kumlaumu Nyerere kwa kila kitu.Ila Nyerere alikuwa mjanja sana, mlimkaribisha baadaye akawageuka.
Acha ukiazi, karume alkuwa rais wa nzanzibar unataka kumfa nanisha an hao wakimbizi wa kkooMbona tunamkumbuka Karume mnyasa?
Acha ukiazi, karume alkuwa rais wa nzanzibar unataka kumfa nanisha an hao wakimbizi wa kkoo
Hawa nadhani CCM wamewafuta kutoka kwenye historia yao.
Shimba...Sheikh mkuu na mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Mzee Mohammed Said ameshawaandikia kitabu. Sasa wamesahaulika kivipi?
Walizidiwa kete na Mzanaki ama? Butiama Baby! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]