Dully Sykes, Sema lolote kuhusu huyu Brother.

Dully Sykes, Sema lolote kuhusu huyu Brother.

"Nyambizi nakupenda japo mkubwaaa!! Mateso nayopata usiku ni makubwa naomba unielewe wangu mchumbaaa!!!"

"Salome juu ya kaburi lako naliaaaa aaaah kilio nakisika dakika za mwisho mpenzi najutiaa aaaah kosa niliyokufanyia"



"Julieta nakupenda kwa dhati lakini majirani wanachombeza unafki naapia kwa mola hakyaMungu sikuachia penzi letu bado lipo kwenye chati ......nakupenda mpenzi ,mpenzi letu bado lipo kwenye chaaaatii!!!

Long time ago aisee

Dully legend

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo Salome ni nomaa.....

Ina biti flani hivii unique....
 
Mkali wa chorus wa kipindi kile, kijana alikua na.sauti moja matata sana kumbuka.wimbo kama sugarmamy, wanapendeza alioshirikishwa na FA, Lea, Ndoa ya Lazima, Bijue, rais wa bongo alioshirikishwa na Soggy, Ladies free na nyinginezo me kwangu alikua kati ya top 5 wasanii naowakubali kipindi.kile list ikiongozwa na Heavy Weight MC

Dahh....

Noma sana mzee...
Living Legend for sure.....
 
Mkali wa chorus wa kipindi kile, kijana alikua na.sauti moja matata sana kumbuka.wimbo kama sugarmamy, wanapendeza alioshirikishwa na FA, Lea, Ndoa ya Lazima, Bijue, rais wa bongo alioshirikishwa na Soggy, Ladies free na nyinginezo me kwangu alikua kati ya top 5 wasanii naowakubali kipindi.kile list ikiongozwa na Heavy Weight MC
Wimbo wa FA ft dully unaitwa Wanapendana
" .....si ajabu si hatar jman hal imebadilika sio km zaman sio kwa malijali had mabint hutaman talalilalilalaaaaaa........." ile ngoma noma sana halaf sijui kwa nin FA hakuipa promo ile dude,halaf dully aliua vibaya mno
.......Rring Rring napigiwa simu napata wazimu nauliza we ni nan anasema ye ni mariam sa unataka nini eti tukutane loyal palm haina shobo sitak demu nononinonaninoooo.....
 
Dully sykes yuko vizuri ameweza ku maintain usanii wake kwa miaka mingi sana
 
nakumbuka enzi hizo mpambano wake na Q chilla na TID.
 
Anastahili tuzo ya heshima huyu mr. misifa a.k.a handsome.

Kuanzia Historia ya kweli mpaka sasa anadamshi.
 
Mkali wa chorus wa kipindi kile, kijana alikua na.sauti moja matata sana kumbuka.wimbo kama sugarmamy, wanapendeza alioshirikishwa na FA, Lea, Ndoa ya Lazima, Bijue, rais wa bongo alioshirikishwa na Soggy, Ladies free na nyinginezo me kwangu alikua kati ya top 5 wasanii naowakubali kipindi.kile list ikiongozwa na Heavy Weight MC

Huwa nikisikiliza ''Maisha ya Boarding'' ya J Moe, huwa nawaza kuwa Dully anastahili tuzo kwa kung'arisha chorus za tracks mbali mbali wakati ule.

Kwenye bongo fleva, Dully deserves much respect.

-Kaveli-
 
Naupenda sana ule wimbo wa Nyambizi,Salome na hunifahamu...
 
Back
Top Bottom