Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kama zile za Pape Nd'awjamaa ana assist hata akiwa bench
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama zile za Pape Nd'awjamaa ana assist hata akiwa bench
Kipindi pekee uto mnakuwa na furaha ni wakati wa usajili,ligi ikianza lawama na mayowe mwanzo mwishoSuhala sio kuwaingiza chaka kiukwel ata simba wenyewe wamevurugwa sana kwa sababu mbil kwanza usajil wa yanga unawapa wakat mgum sana simba kupata na wachezaj bora zaid ya wale wa yanga asa asa aucho na shaban djuma ,lkn pia kuna suhala la simba kuendelea kuwa bora kuliko uko nyuma apa lazma upate wachezaj bora zaidya uliokua nao je unawapata wap kwa araka araka ,ukija kuchanganya na aya mengine ya wachezaj kuondoka bas linazd kuwaumiza kichwa ni ukwel ulio waz msimu hautokuwa mzur sana kwa simba kupata mchezaj wachezaj wakaziba nafas za chama na luis ni kaz kubwa sana apo apo unatakiwa upate wachezaj wengine kwa ajir ya kuongeza ubora ikizingatiwa wapinzan washajua makosa yao na udhaifu wako lazma kichwa kikuume ndio maana unaona kama watu wanaingizwa chaka kumbe kuna pia mengine watu washavurugwa
Atakuwa Mhutu huyu ndezi.ungeanza kwa kuwaambia watu wewe ni Utopolo,itasaidia kuona mkeka wako kama ni wa kukaa au kuukanyaga na kwenda zako. Halafu mwambie mwalimu wako wa kiswahili akurudishie ada
Wewe ngoja tukuitie Uhamiaji uthibitishe urai wako. Unatuharibia ligha yetu ya KiswahiliSiwez kuwa shabik ambae kila kitu kwangu nione kizuri mm sio kiongozi simba wala sio mchezaj simba kusema nitanufaika tu ata kama timu itafanya vibaya kufanya vizur kwa simba ndio manufaa yangu sasa kama naona kuna ktu ambacho sio sawa nitasema kwa sababu hao viongoz au kamat ya usajil ya simba kuna binadam hawakos mapungufu wewe kama mpenz shabiki au mwanachama wa simba ambae kila kitu kwa simba unaona sawa iyo ni wewe ,wewe uliefaulu kiswahili umeandika kitabu gani cha shule ya msingi au chekechea?
Muone na uyu anajifanya anajua kiswahili ,urai ndio nini na iyo ligha ndio ,unaangalia mapungufu ya kiandish badala ya kujbu hojaWewe ngoja tukuitie Uhamiaji uthibitishe urai wako. Unatuharibia ligha yetu ya Kiswahili
unajua Duncan mpaka sasa ameshaua makipa wangapi kwa mishuti?Kama zile za Pape Nd'aw
Ila Simba SC inawaingiza chaka wachambuzi wengi uchwara wa bongo, wanaotaja wao kuwa atatambulishwa anakuwa mwingine kabisa... Safi sana Simba SC, kwenye usajili utulivu unahitajika sana hakuna mbwembwe. Nimependa usiri kwenye taarifa nyingi sasa hivi.
Suhala sio kuwaingiza chaka kiukwel ata simba wenyewe wamevurugwa sana kwa sababu mbil kwanza usajil wa yanga unawapa wakat mgum sana simba kupata na wachezaj bora zaid ya wale wa yanga asa asa aucho na shaban djuma ,lkn pia kuna suhala la simba kuendelea kuwa bora kuliko uko nyuma apa lazma upate wachezaj bora zaidya uliokua nao je unawapata wap kwa araka araka ,ukija kuchanganya na aya mengine ya wachezaj kuondoka bas linazd kuwaumiza kichwa ni ukwel ulio waz msimu hautokuwa mzur sana kwa simba kupata mchezaj wachezaj wakaziba nafas za chama na luis ni kaz kubwa sana apo apo unatakiwa upate wachezaj wengine kwa ajir ya kuongeza ubora ikizingatiwa wapinzan washajua makosa yao na udhaifu wako lazma kichwa kikuume ndio maana unaona kama watu wanaingizwa chaka kumbe kuna pia mengine watu washavurugwa
Wa CCC hawezi patikana. Wa Mugalu hapa Bongo tu wako kama 3000 hivi.Na mrithi wa Mgalu ni nani?
Kwani mugali nae kauzwa?Na mrithi wa Mgalu ni nani?
This is SIMBAIla Simba SC inawaingiza chaka wachambuzi wengi uchwara wa bongo, wanaotaja wao kuwa atatambulishwa anakuwa mwingine kabisa... Safi sana Simba SC, kwenye usajili utulivu unahitajika sana hakuna mbwembwe. Nimependa usiri kwenye taarifa nyingi sasa hivi.
Rudi kwenu Burundi mlikozoea kuchinjanaMuone na uyu anajifanya anajua kiswahili ,urai ndio nini na iyo ligha ndio ,unaangalia mapungufu ya kiandish badala ya kujbu hoja
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mkuu usiri huo vipi? Hayo mambo ya kawaida sana kwenye modern world football, suala la tetesi ni issue ya kawaida Tulikuwa tunajua lukaku anaenda chealsea kabla hata hajasaliwa the same to Jack grealish, Ben white, Messi to PSG na hata Miquissone to Al Ahly, basi nyie ndo mtakuwa wa kwanza kwenye usiri wa usajili duniani?Ila Simba SC inawaingiza chaka wachambuzi wengi uchwara wa bongo, wanaotaja wao kuwa atatambulishwa anakuwa mwingine kabisa... Safi sana Simba SC, kwenye usajili utulivu unahitajika sana hakuna mbwembwe. Nimependa usiri kwenye taarifa nyingi sasa hivi.
Kuna baadhi ya mashabiki wa mbumbumbu fc ni washamba Sana. Tetesi katikapira hazikuanzia Tanzania Tena uko ulaya ndio zinaingiza pesa nyingi kwenye magazeti na mitandao kwakua binadamu wengi wanapenda fununu.Mkuu usiri huo vipi? Hayo mambo ya kawaida sana kwenye modern world football, suala la tetesi ni issue ya kawaida Tulikuwa tunajua lukaku anaenda chealsea kabla hata hajasaliwa the same to Jack grealish, Ben white, Messi to PSG na hata Miquissone to Al Ahly, basi nyie ndo mtakuwa wa kwanza kwenye usiri wa usajili duniani?
Haya kolo jipige kifuani mala 7 huku ukisema hakyanani mi ni lofaunajua Duncan mpaka sasa ameshaua makipa wangapi kwa mishuti?