Duncan Nyoni Mrithi wa Chama

Duncan Nyoni Mrithi wa Chama

Suhala sio kuwaingiza chaka kiukwel ata simba wenyewe wamevurugwa sana kwa sababu mbil kwanza usajil wa yanga unawapa wakat mgum sana simba kupata na wachezaj bora zaid ya wale wa yanga asa asa aucho na shaban djuma ,lkn pia kuna suhala la simba kuendelea kuwa bora kuliko uko nyuma apa lazma upate wachezaj bora zaidya uliokua nao je unawapata wap kwa araka araka ,ukija kuchanganya na aya mengine ya wachezaj kuondoka bas linazd kuwaumiza kichwa ni ukwel ulio waz msimu hautokuwa mzur sana kwa simba kupata mchezaj wachezaj wakaziba nafas za chama na luis ni kaz kubwa sana apo apo unatakiwa upate wachezaj wengine kwa ajir ya kuongeza ubora ikizingatiwa wapinzan washajua makosa yao na udhaifu wako lazma kichwa kikuume ndio maana unaona kama watu wanaingizwa chaka kumbe kuna pia mengine watu washavurugwa
Kipindi pekee uto mnakuwa na furaha ni wakati wa usajili,ligi ikianza lawama na mayowe mwanzo mwisho
 
Siwez kuwa shabik ambae kila kitu kwangu nione kizuri mm sio kiongozi simba wala sio mchezaj simba kusema nitanufaika tu ata kama timu itafanya vibaya kufanya vizur kwa simba ndio manufaa yangu sasa kama naona kuna ktu ambacho sio sawa nitasema kwa sababu hao viongoz au kamat ya usajil ya simba kuna binadam hawakos mapungufu wewe kama mpenz shabiki au mwanachama wa simba ambae kila kitu kwa simba unaona sawa iyo ni wewe ,wewe uliefaulu kiswahili umeandika kitabu gani cha shule ya msingi au chekechea?
Wewe ngoja tukuitie Uhamiaji uthibitishe urai wako. Unatuharibia ligha yetu ya Kiswahili
 
Ila Simba SC inawaingiza chaka wachambuzi wengi uchwara wa bongo, wanaotaja wao kuwa atatambulishwa anakuwa mwingine kabisa... Safi sana Simba SC, kwenye usajili utulivu unahitajika sana hakuna mbwembwe. Nimependa usiri kwenye taarifa nyingi sasa hivi.

Manara alikuwa anauza tips za usajili kwa wachambuz uchwara
 
Suhala sio kuwaingiza chaka kiukwel ata simba wenyewe wamevurugwa sana kwa sababu mbil kwanza usajil wa yanga unawapa wakat mgum sana simba kupata na wachezaj bora zaid ya wale wa yanga asa asa aucho na shaban djuma ,lkn pia kuna suhala la simba kuendelea kuwa bora kuliko uko nyuma apa lazma upate wachezaj bora zaidya uliokua nao je unawapata wap kwa araka araka ,ukija kuchanganya na aya mengine ya wachezaj kuondoka bas linazd kuwaumiza kichwa ni ukwel ulio waz msimu hautokuwa mzur sana kwa simba kupata mchezaj wachezaj wakaziba nafas za chama na luis ni kaz kubwa sana apo apo unatakiwa upate wachezaj wengine kwa ajir ya kuongeza ubora ikizingatiwa wapinzan washajua makosa yao na udhaifu wako lazma kichwa kikuume ndio maana unaona kama watu wanaingizwa chaka kumbe kuna pia mengine watu washavurugwa

Umejikaza kabisa aucho na djuma watumize sisi?
We kweli nyumbu
 
Ila Simba SC inawaingiza chaka wachambuzi wengi uchwara wa bongo, wanaotaja wao kuwa atatambulishwa anakuwa mwingine kabisa... Safi sana Simba SC, kwenye usajili utulivu unahitajika sana hakuna mbwembwe. Nimependa usiri kwenye taarifa nyingi sasa hivi.
This is SIMBA
giphy.gif
 
Ila Simba SC inawaingiza chaka wachambuzi wengi uchwara wa bongo, wanaotaja wao kuwa atatambulishwa anakuwa mwingine kabisa... Safi sana Simba SC, kwenye usajili utulivu unahitajika sana hakuna mbwembwe. Nimependa usiri kwenye taarifa nyingi sasa hivi.
Mkuu usiri huo vipi? Hayo mambo ya kawaida sana kwenye modern world football, suala la tetesi ni issue ya kawaida Tulikuwa tunajua lukaku anaenda chealsea kabla hata hajasaliwa the same to Jack grealish, Ben white, Messi to PSG na hata Miquissone to Al Ahly, basi nyie ndo mtakuwa wa kwanza kwenye usiri wa usajili duniani?
 
Mkuu usiri huo vipi? Hayo mambo ya kawaida sana kwenye modern world football, suala la tetesi ni issue ya kawaida Tulikuwa tunajua lukaku anaenda chealsea kabla hata hajasaliwa the same to Jack grealish, Ben white, Messi to PSG na hata Miquissone to Al Ahly, basi nyie ndo mtakuwa wa kwanza kwenye usiri wa usajili duniani?
Kuna baadhi ya mashabiki wa mbumbumbu fc ni washamba Sana. Tetesi katikapira hazikuanzia Tanzania Tena uko ulaya ndio zinaingiza pesa nyingi kwenye magazeti na mitandao kwakua binadamu wengi wanapenda fununu.
 
Back
Top Bottom