Duncan Nyoni Mrithi wa Chama

Kipindi pekee uto mnakuwa na furaha ni wakati wa usajili,ligi ikianza lawama na mayowe mwanzo mwisho
 
Wewe ngoja tukuitie Uhamiaji uthibitishe urai wako. Unatuharibia ligha yetu ya Kiswahili
 

Manara alikuwa anauza tips za usajili kwa wachambuz uchwara
 

Umejikaza kabisa aucho na djuma watumize sisi?
We kweli nyumbu
 
This is SIMBA
 
Mkuu usiri huo vipi? Hayo mambo ya kawaida sana kwenye modern world football, suala la tetesi ni issue ya kawaida Tulikuwa tunajua lukaku anaenda chealsea kabla hata hajasaliwa the same to Jack grealish, Ben white, Messi to PSG na hata Miquissone to Al Ahly, basi nyie ndo mtakuwa wa kwanza kwenye usiri wa usajili duniani?
 
Kuna baadhi ya mashabiki wa mbumbumbu fc ni washamba Sana. Tetesi katikapira hazikuanzia Tanzania Tena uko ulaya ndio zinaingiza pesa nyingi kwenye magazeti na mitandao kwakua binadamu wengi wanapenda fununu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…