Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache wamiliki artificial planet.Hakika dunia duara leo hii Mopao analetwa nchini na kupewa dili na mwanae? Tuheshimiane tu ndugu zangu dunia SI yetu
Hayo ni maneno ya mtaani!! Nenda lubumbashi, katanga, misisi hata bukavu, ukaone,Wakongo huwa hawasave pesa bali Ni kula raha hadi awe namba moja duniani
Duh😀Palm Village unajua thamani yake? Wasafi Tower je? Sasa inakuja Wasafi Airlines
Duh[emoji3]
Ni kweli kabisa, chanda chema huvishwa pete.Aaaah, si unajua tena, tunamuinua juu kijana wetu! Kila upenyo wa KUMPATIA SIFA tunautumia!
Kweni utafutaji ukoje? We ndo mshamba huelewi chochote,ukisema hivyo maana yake muulize na Bakhresa kwa nini na utajiri wake wote anauza barafuHakika dunia duara leo hii Mopao analetwa nchini na kupewa dili na mwanae? Tuheshimiane tu ndugu zangu dunia SI yetu
Rafiki wa karibu wa kusaga&the family View attachment 1635841
Tatizo lenu huwa mnachanganya habari za kupeleka fb, Instagram, mnazileta jf!!!ambapo kuna watu wenye upeo mkubwa, hadi leo hii hujajua nani ni mmiriki wa wasafi daaa!! Poleee sana!! Mbona mambo yapo mtandaoni tu,Palm Village unajua thamani yake? Wasafi Tower je? Sasa inakuja Wasafi Airlines
Utashambuliwa hatari mkuu na kuitwa mwenye chuki na mafanikio ya Diamond.Na Ndio walomleta... Ila watanzania waliowengi ni wajinga au wanajitoa fahamu ukweli wanaujua ila wanaleta unafiki ...
Koffi kaletwa hapa na kusaga FULLSTOP
@mtu chakeHayo ni maneno ya mtaani!! Nenda lubumbashi, katanga, misisi hata bukavu, ukaone,
Na huyo hapo katikati Mrs. Kusaga ndo mwenye kumiliki wasafi mediaRafiki wa karibu wa kusaga&the family View attachment 1635841
Tena msomi. Na ndo maana ameweza kudumu kwenye music mda wote huo. Diamond ni version ya kina Juma nature, Tena amshkuru Salam yule manager wake pia amshkuru Sana kusaga na marehemu Ruger.Mopao Mokonzi ni Business Man. Naseeb Abdul ni muuza sura na mpenda misifa. Mopao knows what he is doing..
Kwa hiyo Mopao kaomba collabo kwa Mondi?Diamond ana heshima sana kwa watu waliomtangulia ndio maana sio rahisi kumkatalia collabo sio kama akina cinderela