Dunia Duara: Kofi kudhaminiwa na Diamond?

Dunia Duara: Kofi kudhaminiwa na Diamond?

This collabo is a win win for both artists
Ni yupi anafaika zaidi, ni Diamond
 
Hakika dunia duara leo hii Mopao analetwa nchini na kupewa dili na mwanae? Tuheshimiane tu ndugu zangu dunia SI yetu
Umeandika ujinga tena wa mtu asiye na uwezo wa kufikiri. Ufala+ulimbukeni+ ujinga+ uelewa mdogo=upumbavu.

Swali.Ni yupi kati ya koffi na Dai alimhitaji mwenzake ili kazi yake ifanikiwe.Dai ndiyo alimhitaji Koffi wakafanya biashara.tatizo liko wapi.
2.ww kwa uzwazwa wako unadhani Mopao Ni mtu cheap Sana na Dai Ni mtu ghali zaidi.
Kimsingi jua wale Ni wafanyabiashara na biashara yao Ni mziki.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila WCB soon watakua machizi, khaaaaah
 
Kuweka kumbukumbu sawa sawa ni kwamba huitaji kuwa na pesa/utajiri mkubwa zaidi ya msanii unaemdhamini

Kumleta Jay Z bongo sio lazima uwe na utajiri zaidi yake
Mnakaa chini anakupa gharama zake na sio utajiri wake
Ukimudu gharama na ukaona utazirudisha na faida anakuja tu
 
Kwa akili yako hapo nani ameomba deal kwa mwenzake?? Na hata ki uchumi unadhania diamond anaweza msogelea papa mopao?? Fanya utafiti kwanza!! Na kwenye sanaa msanii mdogo kumshirikisha msaani mkubwa, ni kitu cha kawaida tu, tena ni bahati kwa msanii mdogo!!
Kofi hamgusi diamond hata nusu
 
Unaotaaa!!kama hutokasirika lakini una umri gani?labda!! Kofi olomide umlinganishe na diamond kwa utajiri?!!
Huyo mwenye hyo networth ni kofi wa miaka ya 90 ma 2000s..sio kofi wa leo..mziki hamuujui wa Tz waashamba sana nyie....hiv diamond sabab ni mtoto wa tandale mnamuona mwenzenu...diamond ana pesa nying..zinaweza zisifike 10m usd lakin kwasasa kamwacha mbali kofi..na kofii anafaham hlo..kwakua ulicheza shamukwale bas unahis ndio kofi wa sasa..wanamuzik huwa wanafilisika na kuwa maskin kabisa..wamefirisika kina tyson.kina wesley snipes kina dmx.kina yvone chakachaka etc etc...wa Tz washamba sjawai ona walah
 
Labda hiyo net
Huyo mwenye hyo networth ni kofi wa miaka ya 90 ma 2000s..sio kofi wa leo..mziki hamuujui wa Tz waashamba sana nyie....hiv diamond sabab ni mtoto wa tandale mnamuona mwenzenu...diamond ana pesa nying..zinaweza zisifike 10m usd lakin kwasasa kamwacha mbali kofi..na kofii anafaham hlo..kwakua ulicheza shamukwale bas unahis ndio kofi wa sasa..wanamuzik huwa wanafil
Huyo mwenye hyo networth ni kofi wa miaka ya 90 ma 2000s..sio kofi wa leo..mziki hamuujui wa Tz waashamba sana nyie....hiv diamond sabab ni mtoto wa tandale mnamuona mwenzenu...diamond ana pesa nying..zinaweza zisifike 10m usd lakin kwasasa kamwacha mbali kofi..na kofii anafaham hlo..kwakua ulicheza shamukwhahaahuwa wanafilisika na kuwa maskin kabisa..wamefirisika kina tyson.kina wesley snipes kina dmx.kina yvone chakachaka etc etc...wa Tz washamba sjawai ona walah
Hahaaa!!miaka hii bado una bahatisha kwenye dunia hii!!?kofi olomide hadi 2020, utajiri wake ulifikia dola za kimarekani milioni 20!!wewe unaleta mambo eti miaka ya 90's, watu wanawekeza kwenye real estate, huko, ufaransa, belgium, kinshasa!! Diamond kulingana na mitandao ana kama dola milioni 5!!sasa hapo nani ni nani!!(kulingana na mitandao)hakuna haja ya kutoa povu!!, kwa africa kofi ni wa nne kwa utajiri kwa wanamusic.
 
Huyo mwenye hyo networth ni kofi wa miaka ya 90 ma 2000s..sio kofi wa leo..mziki hamuujui wa Tz waashamba sana nyie....hiv diamond sabab ni mtoto wa tandale mnamuona mwenzenu...diamond ana pesa nying..zinaweza zisifike 10m usd lakin kwasasa kamwacha mbali kofi..na kofii anafaham hlo..kwakua ulicheza shamukwale bas unahis ndio kofi wa sasa..wanamuzik huwa wanafilisika na kuwa maskin kabisa..wamefirisika kina tyson.kina wesley snipes kina dmx.kina yvone chakachaka etc etc...wa Tz washamba sjawai ona walah
sawa sasa ndio akawalipe kodi yao TRA kutokana na hayo mapato yake binafsi hasilie lie kusema ilikua ni kick
 
Back
Top Bottom