Dunia duara

Ukishaelewa itakusaidia nini?
Sishangai kwa nn huyo unayemwandika dada yako alitak kujiua, maana hili jibu-swali lako limeniwazisha kujiua kwa mbalii..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sishangai kwa nn huyo unayemwandika dada yako alitak kujiua, maana hili jibu-swali lako limeniwazisha kujiua kwa mbalii..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3]

Jiue tu
 
Tunajiendekeza my dear.. Ingawa kuna baadhi wenye pesa na ni wastaarabu
 
Sema huyo dada hakumpenda huyo mwanaume ndo maana alipopata pesa tu dharau zikaanza,akajua pesa haitakauka.
Asiyefuzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Mpe pole dada mwambie kujiua si suluhu ya matatizo bado anawatoto wanahitaji malezi yake
Tunajiendekeza my dear.. Ingawa kuna baadhi wenye pesa na ni wastaarabu
 
Sio hater

Umetaka kujiua mwenyewe nihuzunike Mimi si wehu huu
Kumbe ukikuta kichwa changu njiani huwezi sema "maskini huyu mzee kimempata nn"[emoji37] [emoji37]
 
kila chenye mwisho hakikosi kuwa na na mwanzo katikati kusiwachanganye mkasahau chanzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…