duh!Nitatafuta tofali nikisage kabisa
Most of our wives wako hivi sijui kwanini, ndio mana tumeambiwa tuishi nao kwa akiliMajuto ni mjukuu.
Na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Laiti angesikiza ushauri wa wakubwa zake kipindi hiko na angejifungulia hata kibanda cha mkaa yasingemkuta hayo.
Hata hivyo dada anahitaji watu wa karibu wawe naye wampe ushauri kama kesha fikia hatua ya kutaka kujiua anaweza arudie tena,pole yake.
Halafu hii tabia ya kupata pesa na kuanza kidharau wanaume,wanawake sisi tunaitoa wapi??
Wabheja mayoooKaribu tena
Basi nimekuogopa..
asante kushukuru japo sijui unashukuru kwa lipi..Nashukuru
Naona umeamua kuteleza na wahenga[emoji2]Majuto ni mjukuu.
Na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Laiti angesikiza ushauri wa wakubwa zake kipindi hiko na angejifungulia hata kibanda cha mkaa yasingemkuta hayo.
Hata hivyo dada anahitaji watu wa karibu wawe naye wampe ushauri kama kesha fikia hatua ya kutaka kujiua anaweza arudie tena,pole yake.
Halafu hii tabia ya kupata pesa na kuanza kidharau wanaume,wanawake sisi tunaitoa wapi??
Karma is a slay queen now daysKwa nini umeileta chitchat?
Back to the topic
KARMA is BITCH
Ningemrudishia Mara mia yakeUngefanya nini?