Dunia duara

Most of our wives wako hivi sijui kwanini, ndio mana tumeambiwa tuishi nao kwa akili
 
Naona umeamua kuteleza na wahenga[emoji2]

Hiyo tabia nilisikia Mzee mmoja akisema chanzo chake ni yuleyule nyoka aliyeratibu kuliwa kwa tunda la mti wa katikati.[emoji40]
 
Natamani Mimi ndiyo ningekuwa huyo shemeji yako hahahahahahahahha
 
Hakuisoma ndoto ya farao?baada ya ng'ombe walionona huja waliokondeana.Avumilie tu dada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…