Dunia haiko fair, leo mtoto wa Nyerere analalamika watu Serikali hawapokei simu za familia ya Nyerere

Kweli kabisa mkuu
 
Nilimsikiliza Bwana Madaraka Nyerere akilalamika kwamba muda Huwa awanapiga simu na viongozi wa serikali kama DC, RC, DED, mawaziri n.k hawapokelei simu

Hivi ndivyo inapaswa kuwa...

Baba akiwa Rais unapata upendeleo, baba kamaliza kipindi cha Urais ungali unapata upendeleo, baba kafariki ungali bado unataka upendeleo??
 
Kwakweli alijitahidi sana pamoja na mapungufu yake kibinaadamu
 
Hivi hii familia inashida gani, Nyerere alifanya kazi yake kama Rais na alikua akilipwa ama kujilipa na maisha yako yaliendeshwa kwa kodi.
Tulishamalizana nae na % inayopata familia iridhike yanini kutaka kuabudiwa na kubemendwa milele kila kiongozi akitaka hivyo tutafika kweli? Hili si taifa la Kifalme.
 
Baba yao ndo muasisi wa vyote
 
their time has gone now ,let him rest this is another book ,and and may be this chapter didn't even know mwl nyerere
 
Wapokee simu yake ili iweje?ameifanyia ni ni nchi? Baba yake ndio alifanyia nchi mskubwa,hawa watoto wake ni loosers watupu, magenda eka, anataka nchi imchukulie kama mtoto wa mfalme;too bad, Nyerere was not a saint,
Haya matoto ya nyerere ni vilaza ksbisa, karne hii jitu linasimama, linasema, watu wasitumie jina LA nyerere! What an idiot and a stupid mind, hakuna mwenye kumiriki jina,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…