Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
- Thread starter
-
- #61
Acha tu ndugu yanguMtoa Post sijui kama aliisoma na kuielewa hii...jana kaweka uzi akilia...eti jamaa alimuapproach na kumla mara tatu ndani ya mwezi. Kisha wakaachana coz huyo mwanaume ni mwongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma thread zako za nyuma. Inaonekana ulitendwa miaka mitatu iliyopita na sasa umetendwa tena! Pole sana!Acha tu ndugu yangu
pambana na hali yako
Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
Hahahahaaha hua nakuchukia sana sema unanifurahisha sometimesUsiku huo wa manane? Hizo ndiyo ukisikia "nyege mshindo". Pumbavu kabisa.
Mtu anapendwa saa nne asubuhi.
Mapenz ni nini jmn???
Nampenda nahisi moyo utasimama aisee ....akil aifanyi kazi kabisa...nifanyeje??! Kwann imetokea???
Dunia haiko fair kabisa
Nashindwa kumwambia jmn nifanyeje
Its serious love ....hali hii haijawahi nitokea tangu nimezaliwa
He's my best friend.. Close friend
yaani wewe ni mwnamme unampenda mwanamme mwenzako, au ni mwanamke unampenda mwanamke mwenzako?Mapenz ni nini jmn???
Nampenda nahisi moyo utasimama aisee ....akil aifanyi kazi kabisa...nifanyeje??! Kwann imetokea???
Dunia haiko fair kabisa
Nashindwa kumwambia jmn nifanyeje
Its serious love ....hali hii haijawahi nitokea tangu nimezaliwa
He's my best friend.. Close friend
Ulisomea ujinga we ajuza au akili zimeisha!?yaani wewe ni mwnamme unampenda mwanamme mwenzako mpaka nguvu zinakuishia?
Au kuna kitu sijaelewa hapa?
Au wewe ni mwanamke unampenda mwanamke mwenzako?
Au kuna kitu sijaelewa hapa?
Kuuliza ni ujinga? Au wewe unaemuona anaeuliza mjinga ndiyo mjinga?Ulisomea ujinga we ajuza au akili zimeisha!?
Kuuliza ni ujinga? Au wewe unaemuona anaeuliza mjinga ndiyo mjinga?
Aulizae ataka kujuwa.