Dunia haiko katika gereza itikadi za kiyahudi, kubali kataa kwa hoja, wote mnakaribishwa

Dunia haiko katika gereza itikadi za kiyahudi, kubali kataa kwa hoja, wote mnakaribishwa

Haya ni mambo ya imani tu,ila hayana uhalisia.
Mi nilishangaa kusoma kuwa kumbe miaka ya 1500 BC,egpyt empire ilitawala hadi maeneo ya Levant,hapo ni kabla hata moses hajazaliwa,walitawala hapo kwa miaka 500,
sasa ili watawale vizuri waligawa eneo la levant kama ifuatavyo,

1-Amuru-hili lilikua eneo la kaskazin ya mbali(far north),mfano maeneo kama allepo,der azo etc.

2-Pau-maeneo arround Damusca


3-Caanan-maeneo ya phoenesia(lebanon ya leo) na maeneo ya kusini palestina ya leo.

Sasa kumbe Caanan lilikuwa ni jina la province kama vile mbeya,shinyanga etc.

Sasa ukirudi katika bible,unasoma Noah akamzaa Ham ambae akamzaa caanan.

Kama kwamba caanan ni mtu na mwanzilishi wa nchi ya caanan na hivyo kuna kabila la caanan,
wakati ukweli ni kuwa caanan sio mtu,sio kabila na wala sio race,

ni sawa na useme ,Nyerere akamzaa Tanganyika na tanganyika akamzaa shinyanga na shinyanga akaondoka na kwenda kuanzisha mji wa shinyanga,
total nosense.

Yaani ukifuatilia kwa makini unagundua tuliingizwa chaka la hatari
 
Wayahudi ni wapi hasa ? Je, ni wale wananchi wanaokaa israel au tuwatambueje hasa ! Isije ikawa leo israel ina kaa mizungu mingine tu ambayo hasa ni miyahudi au asili yao !!!
 
Haya ni mambo ya imani tu,ila hayana uhalisia.
Mi nilishangaa kusoma kuwa kumbe miaka ya 1500 BC,egpyt empire ilitawala hadi maeneo ya Levant,hapo ni kabla hata moses hajazaliwa,walitawala hapo kwa miaka 500,
sasa ili watawale vizuri waligawa eneo la levant kama ifuatavyo,

1-Amuru-hili lilikua eneo la kaskazin ya mbali(far north),mfano maeneo kama allepo,der azo etc.

2-Pau-maeneo arround Damusca


3-Caanan-maeneo ya phoenesia(lebanon ya leo) na maeneo ya kusini palestina ya leo.

Sasa kumbe Caanan lilikuwa ni jina la province kama vile mbeya,shinyanga etc.

Sasa ukirudi katika bible,unasoma Noah akamzaa Ham ambae akamzaa caanan.

Kama kwamba caanan ni mtu na mwanzilishi wa nchi ya caanan na hivyo kuna kabila la caanan,
wakati ukweli ni kuwa caanan sio mtu,sio kabila na wala sio race,

ni sawa na useme ,Nyerere akamzaa Tanganyika na tanganyika akamzaa shinyanga na shinyanga akaondoka na kwenda kuanzisha mji wa shinyanga,
total nosense.

Yaani ukifuatilia kwa makini unagundua tuliingizwa chaka la hatari
Mwambie ndugu yako mtangoo, na wenzie hao
Asante Sana ndugu Elungata
 
Haya ni mambo ya imani tu,ila hayana uhalisia.
Mi nilishangaa kusoma kuwa kumbe miaka ya 1500 BC,egpyt empire ilitawala hadi maeneo ya Levant,hapo ni kabla hata moses hajazaliwa,walitawala hapo kwa miaka 500,
sasa ili watawale vizuri waligawa eneo la levant kama ifuatavyo,
Egypt stood, for uninterrupted 3000 years, as one of the ancient world’s superpowers.

1-Amuru-hili lilikua eneo la kaskazin ya mbali(far north),mfano maeneo kama allepo,der azo etc.

2-Pau-maeneo arround Damusca


3-Caanan-maeneo ya phoenesia(lebanon ya leo) na maeneo ya kusini palestina ya leo.

Sasa kumbe Caanan lilikuwa ni jina la province kama vile mbeya,shinyanga etc.

Sasa ukirudi katika bible,unasoma Noah akamzaa Ham ambae akamzaa caanan.

Kama kwamba caanan ni mtu na mwanzilishi wa nchi ya caanan na hivyo kuna kabila la caanan,
wakati ukweli ni kuwa caanan sio mtu,sio kabila na wala sio race,

ni sawa na useme ,Nyerere akamzaa Tanganyika na tanganyika akamzaa shinyanga na shinyanga akaondoka na kwenda kuanzisha mji wa shinyanga,
total nosense.

Yaani ukifuatilia kwa makini unagundua tuliingizwa chaka la hatari
Egypt stood, for uninterrupted 3000 years, as one of the ancient world’s superpowers.
 
Haya ni mambo ya imani tu,ila hayana uhalisia.
Mi nilishangaa kusoma kuwa kumbe miaka ya 1500 BC,egpyt empire ilitawala hadi maeneo ya Levant,hapo ni kabla hata moses hajazaliwa,walitawala hapo kwa miaka 500,
sasa ili watawale vizuri waligawa eneo la levant kama ifuatavyo,

1-Amuru-hili lilikua eneo la kaskazin ya mbali(far north),mfano maeneo kama allepo,der azo etc.

2-Pau-maeneo arround Damusca


3-Caanan-maeneo ya phoenesia(lebanon ya leo) na maeneo ya kusini palestina ya leo.

Sasa kumbe Caanan lilikuwa ni jina la province kama vile mbeya,shinyanga etc.

Sasa ukirudi katika bible,unasoma Noah akamzaa Ham ambae akamzaa caanan.

Kama kwamba caanan ni mtu na mwanzilishi wa nchi ya caanan na hivyo kuna kabila la caanan,
wakati ukweli ni kuwa caanan sio mtu,sio kabila na wala sio race,

ni sawa na useme ,Nyerere akamzaa Tanganyika na tanganyika akamzaa shinyanga na shinyanga akaondoka na kwenda kuanzisha mji wa shinyanga,
total nosense.

Yaani ukifuatilia kwa makini unagundua tuliingizwa chaka la hatari
Asante Sana elungata
 
Back
Top Bottom