Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Haya ni mambo ya imani tu,ila hayana uhalisia.
Mi nilishangaa kusoma kuwa kumbe miaka ya 1500 BC,egpyt empire ilitawala hadi maeneo ya Levant,hapo ni kabla hata moses hajazaliwa,walitawala hapo kwa miaka 500,
sasa ili watawale vizuri waligawa eneo la levant kama ifuatavyo,
1-Amuru-hili lilikua eneo la kaskazin ya mbali(far north),mfano maeneo kama allepo,der azo etc.
2-Pau-maeneo arround Damusca
3-Caanan-maeneo ya phoenesia(lebanon ya leo) na maeneo ya kusini palestina ya leo.
Sasa kumbe Caanan lilikuwa ni jina la province kama vile mbeya,shinyanga etc.
Sasa ukirudi katika bible,unasoma Noah akamzaa Ham ambae akamzaa caanan.
Kama kwamba caanan ni mtu na mwanzilishi wa nchi ya caanan na hivyo kuna kabila la caanan,
wakati ukweli ni kuwa caanan sio mtu,sio kabila na wala sio race,
ni sawa na useme ,Nyerere akamzaa Tanganyika na tanganyika akamzaa shinyanga na shinyanga akaondoka na kwenda kuanzisha mji wa shinyanga,
total nosense.
Yaani ukifuatilia kwa makini unagundua tuliingizwa chaka la hatari
Mi nilishangaa kusoma kuwa kumbe miaka ya 1500 BC,egpyt empire ilitawala hadi maeneo ya Levant,hapo ni kabla hata moses hajazaliwa,walitawala hapo kwa miaka 500,
sasa ili watawale vizuri waligawa eneo la levant kama ifuatavyo,
1-Amuru-hili lilikua eneo la kaskazin ya mbali(far north),mfano maeneo kama allepo,der azo etc.
2-Pau-maeneo arround Damusca
3-Caanan-maeneo ya phoenesia(lebanon ya leo) na maeneo ya kusini palestina ya leo.
Sasa kumbe Caanan lilikuwa ni jina la province kama vile mbeya,shinyanga etc.
Sasa ukirudi katika bible,unasoma Noah akamzaa Ham ambae akamzaa caanan.
Kama kwamba caanan ni mtu na mwanzilishi wa nchi ya caanan na hivyo kuna kabila la caanan,
wakati ukweli ni kuwa caanan sio mtu,sio kabila na wala sio race,
ni sawa na useme ,Nyerere akamzaa Tanganyika na tanganyika akamzaa shinyanga na shinyanga akaondoka na kwenda kuanzisha mji wa shinyanga,
total nosense.
Yaani ukifuatilia kwa makini unagundua tuliingizwa chaka la hatari