Dunia haiko katika gereza itikadi za kiyahudi, kubali kataa kwa hoja, wote mnakaribishwa

Dunia haiko katika gereza itikadi za kiyahudi, kubali kataa kwa hoja, wote mnakaribishwa

Kinaweza kisiwe cha kihistoria lkn kimebeba ukweli,ww ungependekeza watumie kitabu gani?
kwani uku kwetu afrika walitumia bible kuunda mipaka ya nchi zetu? njia ni kutrace back history na si kutumia vitabu vya dini kwani histori haipotei, nani asiyejua bibilia nikitabu chetu kizuri sn lakini kinamkanganyiko wa hali ya juu.
 
kwani uku kwetu afrika walitumia bible kuunda mipaka ya nchi zetu? njia ni kutrace back history na si kutumia vitabu vya dini kwani histori haipotei, nani asiyejua bibilia nikitabu chetu kizuri sn lakini kinamkanganyiko wa hali ya juu.
Asante,
Those god versions that preached a nice god theory were wiped off the face of the earth. The god that remains, the remaining one god of the thousands believed in, was angry and jealous. This is what Christians worship – the exact wrong idea that we should have about god. Christians may not be doing the violence themselves but it is done through their proxy, the state
 
Halafu hawa washkenazi siyo wayahudi halisi,hawa waliiga dini ya kiyahudi na kujiita wayahudi.
 
Nachojiuliza kwanini kila siku wao ndio hawapendwi na wanauliwa

Hitler, Babylon na European ant-semitic movement
 
Back
Top Bottom