Dunia hii haina usawa. hasa hasa hapa Africa yaani Tanzania..Unakuta mtu umesoma hadi Masters ama hata PhD ya sayansi sasa unajikuta unatungiwa sheria za nchi na form four na div 4.
Hii kwa kweli mimi binafsi inaniuma - inauma saana.
Sera za nchi huwa zinatungwa na watu wasomi makini.. siyo watu ambao wameiba kura huko then naingia bungeni kusonga ugali...kwa namna hii nchi kusogea kabisa...kabisa
Wana Sayansi ni muda wetu kusimama sasa
Hii kwa kweli mimi binafsi inaniuma - inauma saana.
Sera za nchi huwa zinatungwa na watu wasomi makini.. siyo watu ambao wameiba kura huko then naingia bungeni kusonga ugali...kwa namna hii nchi kusogea kabisa...kabisa
Wana Sayansi ni muda wetu kusimama sasa