Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,887
Katika mkusanyiko wa sayari nyingi na nyota mbalimbali kunauwezekano mkubwa kwenye sayari zingine mamilioni kukawa na viumbe hai.
Kwakutumia formula za kimahesabu uwezekano wa kuwepo viumbe kwenye sayari zingine ni asilimia mia.
Lakini kwa utawala wa sasa wa dunia ni mbovu kiasi cha kufanya watu wasifikiri sana. Dunia imetawaliwa na siasa na dini. Watu wanajificha kwenye mgogo wa dini au siasa na kuacha kabisa kutumia akili zao inavyotakiwa.
Viongozi wa dini wamewapumbaza watu kiasi cha kushindwa kuwaza zaidi ya vitu wajuavyo.
Ningependa sisi GT tujaribu kutoa mawazo yetu na kuruhusu kujifunza zaidi.
Hebu fikiria watu wanauana kwa kigezo cha dini au siasa. Hivi inaingia akilini kweli?
Kwakutumia formula za kimahesabu uwezekano wa kuwepo viumbe kwenye sayari zingine ni asilimia mia.
Lakini kwa utawala wa sasa wa dunia ni mbovu kiasi cha kufanya watu wasifikiri sana. Dunia imetawaliwa na siasa na dini. Watu wanajificha kwenye mgogo wa dini au siasa na kuacha kabisa kutumia akili zao inavyotakiwa.
Viongozi wa dini wamewapumbaza watu kiasi cha kushindwa kuwaza zaidi ya vitu wajuavyo.
Ningependa sisi GT tujaribu kutoa mawazo yetu na kuruhusu kujifunza zaidi.
Hebu fikiria watu wanauana kwa kigezo cha dini au siasa. Hivi inaingia akilini kweli?