Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Wale ambao hawana dini wanaamini juu ya kila ambacho wanakifanya. Nadhan unajua kabisa kuwa ukijenga iman juu ya kila unachokifanya mara nyingi unafanikiwa na hiyo inatokana na physic power ambayo kila mtu anayo. Kinachotakiwa ni kuweka na kuamini juu ya kile unachokifanya ANY THING IS POSSIBLE.
Kwahiyo ukweli ni kwamba nguvu zipo ndani yetu na si kama wasemavyo wanadini kuwa mungu ndio humfanikisha mtu.