Dunia imetawaliwa na low thinkers

Dunia imetawaliwa na low thinkers

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Katika mkusanyiko wa sayari nyingi na nyota mbalimbali kunauwezekano mkubwa kwenye sayari zingine mamilioni kukawa na viumbe hai.

Kwakutumia formula za kimahesabu uwezekano wa kuwepo viumbe kwenye sayari zingine ni asilimia mia.

Lakini kwa utawala wa sasa wa dunia ni mbovu kiasi cha kufanya watu wasifikiri sana. Dunia imetawaliwa na siasa na dini. Watu wanajificha kwenye mgogo wa dini au siasa na kuacha kabisa kutumia akili zao inavyotakiwa.

Viongozi wa dini wamewapumbaza watu kiasi cha kushindwa kuwaza zaidi ya vitu wajuavyo.

Ningependa sisi GT tujaribu kutoa mawazo yetu na kuruhusu kujifunza zaidi.

Hebu fikiria watu wanauana kwa kigezo cha dini au siasa. Hivi inaingia akilini kweli?
 
Searching......
waiter bring another cold beer someone disturb ma day
 
Hivi mtu akifa huwakinatokea kitu gani. Je kweli watu huwasiliana na roho za waliokufa?
 
Nafuta kujua ukweli.
 
Katika mkusanyiko wa sayari nyingi na nyota mbalimbali kunauwezekano mkubwa kwenye sayari zingine mamilioni kukawa na viumbe hai.

Kwakutumia formula za kimahesabu uwezekano wa kuwepo viumbe kwenye sayari zingine ni asilimia mia.

Lakini kwa utawala wa sasa wa dunia ni mbovu kiasi cha kufanya watu wasifikiri sana. Dunia imetawaliwa na siasa na dini. Watu wanajificha kwenye mgogo wa dini au siasa na kuacha kabisa kutumia akili zao inavyotakiwa.

Viongozi wa dini wamewapumbaza watu kiasi cha kushindwa kuwaza zaidi ya vitu wajuavyo.

Ningependa sisi GT tujaribu kutoa mawazo yetu na kuruhusu kujifunza zaidi.

Hebu fikiria watu wanauana kwa kigezo cha dini au siasa. Hivi inaingia akilini kweli?

Tena na hii idea wanayokuja nayo wanasayansi ya kwamba dunia ni hologram, kweli inabidi tujiongeze kwenye kufikiri
 
watanzania bado wanapigania mlo wa kila siku na hayo unayoshuri wewe yanahitaji akili zenye utulivu na si akili za kubadili njia kukwepa madeni kwenye maduka ya wachaga na wapemba.

Tatizo ndio hilo sijui mlo ndio kigezo kikubwa kabisa kilichowekwa na watangulizi wetu.
Ubinafsi unaiharibu dunia tunayoishi. Hatuna umoja.
 
Tena na hii idea wanayokuja nayo wanasayansi ya kwamba dunia ni hologram, kweli inabidi tujiongeze kwenye kufikiri

Yaani tuko kama 3D picha. Tunauwezo mkubwa sana wa kufikiri ila ni kamatumewekewa gundi na kuaminishwa uongo ili wachache wafanye maamuzi juu yetu.
 
Haingii akilini, kuna wenye manufaa na haya majanga kupitia migongo ya dini na siasa ndio maana hawana huruma wako tayari kuwateketeza binamu wenzao sababu ya masilahi yao binafsi
 
Katika mkusanyiko wa sayari nyingi na nyota mbalimbali kunauwezekano mkubwa kwenye sayari zingine mamilioni kukawa na viumbe hai.

Kwakutumia formula za kimahesabu uwezekano wa kuwepo viumbe kwenye sayari zingine ni asilimia mia.

Lakini kwa utawala wa sasa wa dunia ni mbovu kiasi cha kufanya watu wasifikiri sana. Dunia imetawaliwa na siasa na dini. Watu wanajificha kwenye mgogo wa dini au siasa na kuacha kabisa kutumia akili zao inavyotakiwa.

Viongozi wa dini wamewapumbaza watu kiasi cha kushindwa kuwaza zaidi ya vitu wajuavyo.

Ningependa sisi GT tujaribu kutoa mawazo yetu na kuruhusu kujifunza zaidi.

Hebu fikiria watu wanauana kwa kigezo cha dini au siasa. Hivi inaingia akilini kweli?

Is this MMU?
 
Yaani tuko kama 3D picha. Tunauwezo mkubwa sana wa kufikiri ila ni kamatumewekewa gundi na kuaminishwa uongo ili wachache wafanye maamuzi juu yetu.

Hivi uongo ni upi?
 
Back
Top Bottom