Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,103
Sikuachwa bali tulitengana kimazingira nilihamishwa kazi.
Hata hivyo kazi yake ile sikuipenda sana. Kazi ya kuuza nyapu za wenzie.
Uliamini kwamba yeye hajiuzi? Huyo alikuwa kiongozi wa wauza nyapu. Bora hata ulivyomuacha
Sent using Jamii Forums mobile app