Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
Inaonekana yeye alishajiuza sana huko nyuma kwa hiyo alitumia nafasi hiyo mpaka aka develop ujizi wa kugundua biashara na inamlipa. Kwa wakati huo nadhaninyeye alikuwa ameahaacha maana sikuwahi kuona viashiria au matendo ya kutilia shaka. Alihakikisha anaishi maisha ambayo nitamwamini.
Soma Juu jibu la mtoa mada hapoTupe uthibitisho kuwa ‘yeye’ si muuzaji.
Sent using Jamii Forums mobile app