Dunia ina Mambo: Nilivyozama mapenzini na dalali wa wanawake wanaojiuza

Dunia ina Mambo: Nilivyozama mapenzini na dalali wa wanawake wanaojiuza

Inaonekana yeye alishajiuza sana huko nyuma kwa hiyo alitumia nafasi hiyo mpaka aka develop ujizi wa kugundua biashara na inamlipa. Kwa wakati huo nadhaninyeye alikuwa ameahaacha maana sikuwahi kuona viashiria au matendo ya kutilia shaka. Alihakikisha anaishi maisha ambayo nitamwamini.
Tupe uthibitisho kuwa ‘yeye’ si muuzaji.
Soma Juu jibu la mtoa mada hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuachwa bali tulitengana kimazingira nilihamishwa kazi.

Hata hivyo kazi yake ile sikuipenda sana. Kazi ya kuuza nyapu za wenzie.

Amka wewe, unaamini ye aliuza wenzake alafu yeye hajiuzi.

Show me your friends and I will tell you who you are.
 
Hah ii technique ya demu kushoboka kimahaba na kuonesha signal zote kuwa anakuhitajii alaf ukampotezea na kujifanya huna habar..ni technique tamu saana
Hah nimejifunza kitu
 
Hivi mwaka 2007 tayari kulikuwa na mambo za kupima Homa ya Ini!?

Nimeuliza tu
 
Hapa ndio ulipokosea jomba dah!!! Asee ulifeli sana mkuu. Hujui alitaka kukutunuku nini asee.
Kwakweli nilikuwa namkwapa kwepa kwa sababu nilihisi ni Gold digger. Kumbe ana vyanzo vyake vya pesa
 
Hiyo ni kazi kama kazi zingine na wao pia wana moyo wa kupenda kama wewe ila hukumalizia story kwanini mliachana?
ilinishangaza. Nilidhani wao wamepinda hawana habari na mambo ya Dyudyu
 
unaenda kupima ukimwi kwenye hospital unayopelekwa na dalali wa mapenzi, unajuaje labda huyo dokta kampanga.
 
Mimi niliwah kupendwa na muuza K ni baada ya kumgegeda vizur usiku,kesho yake akanipitisha kwa marafik zake wana maduka ya nguo kunitambulisha,baada ya hapo akataka twende kwake ila nkamkatalia,alkuwa ananitafuta sana ila nilijfanya npo busy
 
Back
Top Bottom