Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 1,846
- 2,754
Waite chawa mkuu, ombaomba utakua umewashusha sana πππππππkizazi kilichozalisha kina B-levo,Mwijaku na Dotto Magari.
Muda wote wanawaza kuombaomba pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waite chawa mkuu, ombaomba utakua umewashusha sana πππππππkizazi kilichozalisha kina B-levo,Mwijaku na Dotto Magari.
Muda wote wanawaza kuombaomba pesa
Shilawadu?
zile mara & clara za star tv?
hv shilawadu ilipigwaga barn au what happened mpaka sku hz hakisikiki. nkipata muda hua nasikiliza clouds fm asbuh mpaka usku ila sikisikii hiki kpindi wala simsikii soud brownShilawadu?
zile mara & clara za star tv?
hao ni OMBAOMBA WA TAIFA ...uzao wa mzee matonya wa dodomaWaite chawa mkuu, ombaomba utakua umewashusha sana πππππππ
kilikufa baada ya Sudi brown kutengana na Shoga Kwisahv shilawadu ilipigwaga barn au what happened mpaka sku hz hakisikiki. nkipata muda hua nasikiliza clouds fm asbuh mpaka usku ila sikisikii hiki kpindi wala simsikii soud brown
CC: Pascal MayallaNakubali kaka Paskali na panki lake nywele nyingi hivi plus mustachi wenye afya kavaa kadeti kachomekea shati safi mikono imekunjwa nusu saa ya bei mkononi energy ya kutosha.
Unamzungumzia Pasco huyu huyu mwenyekiti wa JamiiForums au Paskali mwingine?Tangu TV zianze nchini, ni vipindi viwili tu ukuacha taarifa za habari amavyo vilikuwa na viewers wengi.
Kitimoto na Ze comedy Show.
Paskali Mayalla akiwa katika ubora wake alijuak utukalisha sebuleni. Kizazi cha kipindi kile kilipenda serious issues japo tamthilia za Kaole nazo zilituburudisha.
Niko tayari kubet ila kile kipindi kikirudi leo hakuna atakayekiangalia,watu wanataka kuangalia ujinga ujinga tu.
duuuh!!kilikufa baada ya Sudi brown kutengana na Shoga Kwisa
Tumpe sifa zake angali hai,kipindi alikitendea hakiKadiri miaka inavyo kwenda ndio kizazi chetu kinaongezeka WAJINGA, usemacho mleta uzi uko sahihi sana, nakumbuka wakati anamaliza kipindi chake, Pascal Mayalla utasikia, "Kutoka hapa (anataja jina la ukumbi) mimi ni Pascal Mayalla, wa Kitimoto"
Nazikumbuka interviews 2, ile walimualika askofu Zakariah Kakobe na Augostine Lyatonga Mrema; halafu kuna kingine alialikwaga nadhani Lukuvi na wakamswalika maswali ya kuhusu ATC na ukodishwaji wa ndege. Maisha marefu sana kaka Pascal though now days, wadau hatukusomi
Umri, majukumu plus njaa unajikuta tu una compromise principles zako mwenyewe.Paskali yule akikutana na huyu watapigana mnoooo..... Maana hawatoelewana....
Jamaa alikua mtu na nusu; baadae wakaja kina Ranfred Masako, pale Ch 10 nako kulikua sio haba; nowadays ni mpira, mapenzi na music. Hakuna critical thinkers kabisa. Kaka Pascal Mayalla hata kwenye michezo hakua haba, but walikua wanajadiri vitu vizito. Siku 1 akiwa CTN yeye na mwenzake 1 namsahau jina, walimualikaga Azim Dewji, moja kati ya maswali walimchapa Azim ni kuhusu kombe la Mashoud Abiola ambalo Simba walitolewa na Stella Atour; kwamba Azim na wenzake waliuza match ili wasigawe magari ya KIA walio waahidi wachezaji kina Mohammed Mwameja, Azim ni kama alipaniki hivi, akataja taja sifa, Pascal akamwambia, "we sio wa kwanza kugawa magari kwa wachezeji, kuna Cameroon huko"Tumpe sifa zake angali hai,kipindi alikitendea haki
Yumo humu, naona ka like uzi mwanzo mwisho mwamba huyoTumpe sifa zake angali hai,kipindi alikitendea haki
Naikumbuka hiyo mechi,simba waliahidiwa KIA wakakomaa,wakaja kufungwa nyumbani,tetesi mitaani Dewji kauza mechi ili aipate hasara ya magari.Jamaa alikua mtu na nusu; baadae wakaja kina Ranfred Masako, pale Ch 10 nako kulikua sio haba; nowadays ni mpira, mapenzi na music. Hakuna critical thinkers kabisa. Kaka Pascal Mayalla hata kwenye michezo hakua haba, but walikua wanajadiri vitu vizito. Siku 1 akiwa CTN yeye na mwenzake 1 namsahau jina, walimualikaga Azim Dewji, moja kati ya maswali walimchapa Azim ni kuhusu kombe la Mashoud Abiola ambalo Simba walitolewa na Stella Atour; kwamba Azim na wenzake waliuza match ili wasigawe magari ya KIA walio waahidi wachezaji kina Mohammed Mwameja, Azim ni kama alipaniki hivi, akataja taja sifa, Pascal akamwambia, "we sio wa kwanza kugawa magari kwa wachezeji, kuna Cameroon huko"
Sema pascal sasa hivi hasomeki kiviiile kama zamani.
Sijui tuendelee kutoa risiti za kaka mkubwa? Anyway, na sisi sasa utu uzima unatuita kwa mbaali.Naikumbuka hiyo mechi,simba waliahidiwa KIA wakakomaa,wakaja kufungwa nyumbani,tetesi mitaani Dewji kauza mechi ili aipate hasara ya magari.
Hapo ukipigwa hilo swali lazima ushangae
Mi nadhani nimekuzidi umri... Huyu Mayala nakumbuka alitangaza Channel ten kama kumbukumbu zipo sawa... Ila huyu wa JF nadhani ni wa PPRAππ.. Kama ni yeye yeye basi dunia inaspidi sana...Huyu huyu kama we nimtoto wa 2000 huwezi kuelewa jinsi alivyowalaza na viatu watu aliowahoji
Mtu mmoja nafsi mbili ili watoto waende shuleMi nadhani nimekuzidi umri... Huyu Mayala nakumbuka alitangaza Channel ten kama kumbukumbu zipo sawa... Ila huyu wa JF nadhani ni wa PPRAππ.. Kama ni yeye yeye basi dunia inaspidi sana...