Dunia inaenda kasi, shaurini watoto wenu nini cha kusomea. Kuna baadhi ya kazi zinakwenda kupotea mazima

In the near future hatutohitaji kuwa na bank tellers

Kuna nchi wameacha kamoja au viwili kwa wale wamepata tatizo kadi hauna, wazee, badili pesa ngeni n.k.

Na unachajiwa huduma hiyo yote watu waelekee huko mtandaoni
 
This is great elaboration
 
Kuna nchi wameacha kamoja au viwili kwa wale wamepata tatizo kadi hauna, wazee, badili pesa ngeni n.k.

Na unachajiwa huduma hiyo yote watu waelekee huko mtandaoni
That is how it is . Sasa nchi hiz mtu ukienda ndani ya Bank means unaishu. Kutoa hela ni kupitia digital tu na makato ni affordable

Sasa sisi laggards tunaenda backwards… watu wanakimbia digital money kwa sababu transaction cost ni nyingi. Kutoq 2M kwenye CRDB kupeleka Mpesa ni balaaa kwahiyo tunaenda backwards

Nairobi hadi Bolt unalipia online…. People don’t carry cash . Watu wnaalipia digitally with minimal transaction cost .

Yaani TZ tupo nyuma 50 years back

Unakuta mtu anaenda bank kutoa 50M . Pesa zenyewe zinaonkqnq lundo kumbe ni just dola 18,000 tu

Cash kama hizo unapeleka wapi ambapo hakuna malipo online kama sio risk tu upigwe shaba ufe
 
🤣🤣🤣🤣

Endeleeni kupeleka watoto shule njia zilezile mlizopita nyie. Mmeshaanza kulia hakuna ajira

Next 20 years itakuwa balaaa
CCM wameleta mitaala mipya, watoto wenu sasa watasomea ufugaji wa nyuki.
 
Mpaka yatokee wote waliomo jf watakua deadly body
 
Shule IST na za dizain hiyo wanatoa hiyo mitaala

Hayo ma computer language kama python ni part if curriculum
Kuna hizo java, Power PI, Tableau na mavitu yote ya hivo

In fact data science and visualisation ni part of it
 

ukiacha South Africa na Nigeria, nchi nyingi za Africa, serikali bado zinajivuta mno kwenye technology. Wananchi wengi pia bado hawajajua kuwa technology itawaumiza ndani ya miaka 5-10 ijayo.

Balaa laja
 
Hata ndege baada ya kuja mfumo wa Auto-pilot. Marubani wengi walikuwa wapoteze kazi.

Lakini baada ya watafiti kukaa chini na kutafakari wakaona kwamba hakuna abiria atakubali kupanda chombo kinacho jiendea chenyewe pasipo uwepo wa binadamu.

Hivyo wataalamu wakashauri, Marubani waendelee kuwepo tu kwenye Cockpit ku Monitor mfumo.

Kazi yao kubwa sanasana ni kutake-off na ku land, Pia kufanya communications na ground personells.
 
Umeandika point kubwa sana kitaalamu. Pata glass moja ya gongo kwa gharama zako. Kiukweli hii mtu mzima kwenda kuanza kuandika codes akiwa chuo kikuu ni kitu cha kusikitisha sana. Jitu limeshaonja papuchi za kutosha hawezi kuwa na utulivu wa kuandika codes vizuri. Hizi language wangeanzia hata darasa la 3 kufundisha. Somo kama HISTORY lingekuwa tu kama Civics kwa sababu halina maana yoyote mtaani. Mbaya zaidi historia yenyewe inafundishwa mambo machache sana. Mengi yanafichwa.
 
Sio kwa Africa labda Ulaya na Marekani
 
Bank tellers kwa bongo bado wanasoko hawataisha Leo mkuu

Ebu kwahyo mimi na degree yangu ya bizness administration kwamba itakufa miaka ijayo? 🤣acha utani basi mkuu
 
Endeleen kusifia anaupiga mwingi

Kama ulikuwa hujui ni kuwa International schools nyingi wanasoma Codes as part of their lives

Gvt school endeleeni kusema tunamshukuru Maama kwa kutuchimbia choo cha shule

Mkija kuamka it is too late
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…