Tetesi: Dunia inaenda kuungana dhidi ya Urusi

Tetesi: Dunia inaenda kuungana dhidi ya Urusi

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Urusi imeamua kuwa Taifa la kigaidi na kila mtu mwenye akili amesha juwa nia ovu ya Urusi dhidi ya Ukraine na Dunia yote kwa ujumla.

Ujinga anao ufanya Putin ndio ujinga aliufanya Stalin na Hitler na kile Kili wakuta imebaki historia.

Baada ya Vita ya pili ya dunia. Mataifa ya Magharibi yaliazimia kuto tokea madhila mabaya yakivita kama yalio wakuta ktk vita ya dunia ya kwanza na yapili.

Vita na madhila ya Vita yameifanya German kuwa Taifa lililosema vita kwake basi lakini ktk hali yakushangaza sana Urusi ameibuka nakuleta hisia za vita ya tatu ya dunia.

Dunia ipo ktk shock na taarifa zisizo Rasmi USA na washarika wake wanafanya maamuzi magumu huku wakituchekesha.

Yes tafadhali fuwatilia mission zote za Marekani huzifanya while watu wanakula Bata. While usiku kazi kazi.

Nitaendelea.
 
Urusi anajitetea dhiddi ya mpango ovu wa USA na kila mtu anajua alichokifanya Russia ni kwa mjibu wa sheria chini ya Article 51 of the United Nations Convention. Save, kwa viazi mbatata vichache.

Alichofanya ni pre emptive self defence. Ukraine ilikuwa ikiimarishwa makusudi ili kuidhuru au ije itumike kuidhuru Russia.

USA waliwahi kukitumia hiki dhidi ya IRAQ iliyokuwa maelfu ya umbali.
Tuwaache na Warusi nao wajilinde dhidi ya kashetani kalikokuwa kanatengezwa na USA on the Russian Backyard.
 
TumainiEl mgogoro huu umeanza zamani sana na kufikia kilele 2014 baada ya Marekani kuingilia siasa za ndani ya Ukraine na kuchochea maandamano ya kumtoa raisi halali wa Ukraine siyo huyu kibaraka Zelenskyy . Pitia hapa Ukraine crisis: Transcript of leaked Nuland-Pyatt call

Kwanza utambue Crimea ilikuwa sehemu ya Russia toka 1783 hadi mwaka 1954 pale Raisi Khrushchev wa USSR (Urusi) alipowapatia Ukraine eneo hili.

Kumbuka Khrushchev alikuwa mtu wa asili ya Ukraine, yaani kama hapa Mama Samia achukue Mafia awakabidhi Zanzibar. Sasa ukitaka kuona watu wako wa magharibi na kibaraka wao Zelenskyy wanavyotaka kusababisha vita ya 3 ya dunia wanakataa haki ya watu wa Crimea kurudi kwenye nchi yao mama (Russia). Wanasema lazima waichukue kwa nguvu kivita Crimea iende tena Ukraine.

Hao unaowashabikia wana nadi demokrasia na kututaka nchi maskini tuheshimu matakwa ya wananchi wakati wao hawataki kuheshimu kura ya maoni ya wana Crimea waliochagua kurudi Russia.

Kuanzia 2014 serikali ya Kiev imekuwa ikiwalipua kwa mizinga na kuwauwa kikatili watu wanaotaka kujitenga na Ukraine, Putin kaenda kuwalinda kama vile watu wa magharibi walivyo enda kuwasaidia watu wa Libya waliompinga Ghadaf au watu wa Cosovo walipotaka kujitenga na Yugoslavia ya zamani. sasa kwanini Russia akifanya kama wao anaonekana katili mpenda vita?
 
Kama ambavyo Israel inawafanyia ugaidi Palestine...
Palestine ndio magaidi...walishaitwa mezani kusolve mara kibao wanagoma..wao wanataka ardhi yote ili kuwafuta mayahudi.
Wao ndio wanatumia HAMAS kulipua raia wasio na hatia huko israel.
ila mwisho wa siku wanaplay victims
Israel ikiwageuzia kichapo wanaanza kuililia dunia kuwa wanaonewa.
 
TumainiEl mgogoro huu umeanza zamani sana na kufikia kilele 2014 baada ya Marekani kuingilia siasa za ndani ya Ukraine na kuchochea maandamano ya kumtoa raisi halali wa Ukraine siyo huyu kibaraka Zelenskyy . Pitia hapa Ukraine crisis: Transcript of leaked Nuland-Pyatt call

Kwanza utambue Crimea ilikuwa sehemu ya Russia toka 1783 hadi mwaka 1954 pale Raisi Khrushchev wa USSR (Urusi) alipowapataia Ukraine eneo hili.
Kumbuka Khrushchev alikuwa mtu wa asili ya Ukraine, yaani kama hapa Mama Samia achukue Mafia awakabidhi Zanzibar. Sasa ukitaka kuona watu wako wa magharibi na kibaraka wao Zelenskyy wanavyotaka kusababisha vita ya 3 ya dunia wanakataa haki ya watu wa Crimea kurudi kwenye nchi yao mama (Russia). Wanasema lazima waichukue kwa nguvu kivita Crimea iende tena Ukraine.
Hao unaowashabikia wana nadi demokrasia na kututaka nchi maskini tuheshimu matakwa ya wananchi wao hawataki kuheshimu kura ya maoni ya wana Crimea waliochagua kurudi Russia.

Kuanzia 2014 serikali ya Kiev imekuwa ikiwalioua kwa mizinga na kuwauwa kikatili watu wanaotaka kujitenga na Ukraine, Putin kaenda kuwalinda kama vile watu wa magharibi walivyo enda kuwasaidia watu wa Libya waliompnga hadaf au watu wa Cosovo walipotaka kujitenga na Yugoslavia ya zamani. sasa kwanini Russia akifanya kama wao anaonekana katili mpenda vita?
Watu wengi wameibukia hapa juu kwenye ...... russia kaivamia ukraine.. lakin huwezi kuwalaumu maana somo la historia ni moja tu kati ya masomo mengi. Ukute mleta mada kasoma cookery! Ukweli ni kwamba marekan asipobadiri sera zake za kutaka kuwa kilanja wa dunia, na kujipatia kipato kwa njia ya vurugu, fitina, unyang'anyi na chaos bas aman ya dunia itaendelea kuwa mashakan.
Hakuna kitu kibaya kama jambaz kumiliki vyote viwili, SILAHA NA MADARAKA
 
Muda si mrefu dikiteta Putin atakuwa katika Hali mbaya kama inavyoonekana hapo chini..,Sasa sijui mazombi wake wataficha wapi sura zao [emoji848][emoji116][emoji116][emoji116]
1665425991187.jpg


Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Nimekuwa nasikia hivi karibuni maeneo kadhaa ya mashariki yaliyokuwa yametwaliwa na urussi yamerudishwa tena mikononi mwa ukraine, lakini leo asubuhi nimesikia al-jazeera raia kadhaa wameuawa huko Kiev na makombora ya anga ya urusi, kwa kweli imekuwa vigumu kutabiri uelekeo wa hii vita na mstakabali wa hii dunia kutokana na athari zinazotokana na kuendelea kwa vita hii.​
 
Urusi imeamua kuwa Taifa la kigaidi na kila mtu mwenye akili amesha juwa nia ovu ya Urusi dhidi ya Ukraine na Dunia yote kwa ujumla.

Ujinga anao ufanya Putin ndio ujinga aliufanya Stalin na Hitler na kile Kili wakuta imebaki historia.

Baada ya Vita ya pili ya dunia. Mataifa ya Magharibi yaliazimia kuto tokea madhila mabaya yakivita kama yalio wakuta ktk vita ya dunia ya kwanza na yapili.

Vita na madhila ya Vita yameifanya German kuwa Taifa lililosema vita kwake basi lakini ktk hali yakushangaza sana Urusi ameibuka nakuleta hisia za vita ya tatu ya dunia.

Dunia ipo ktk shock na taarifa zisizo Rasmi USA na washarika wake wanafanya maamuzi magumu huku wakituchekesha.

Yes tafadhali fuwatilia mission zote za Marekani huzifanya while watu wanakula Bata. While usiku kazi kazi.

Nitaendelea.
Nonsense
 
Urusi imeamua kuwa Taifa la kigaidi na kila mtu mwenye akili amesha juwa nia ovu ya Urusi dhidi ya Ukraine na Dunia yote kwa ujumla.

Ujinga anao ufanya Putin ndio ujinga aliufanya Stalin na Hitler na kile Kili wakuta imebaki historia.

Baada ya Vita ya pili ya dunia. Mataifa ya Magharibi yaliazimia kuto tokea madhila mabaya yakivita kama yalio wakuta ktk vita ya dunia ya kwanza na yapili.

Vita na madhila ya Vita yameifanya German kuwa Taifa lililosema vita kwake basi lakini ktk hali yakushangaza sana Urusi ameibuka nakuleta hisia za vita ya tatu ya dunia.

Dunia ipo ktk shock na taarifa zisizo Rasmi USA na washarika wake wanafanya maamuzi magumu huku wakituchekesha.

Yes tafadhali fuwatilia mission zote za Marekani huzifanya while watu wanakula Bata. While usiku kazi kazi.

Nitaendelea.

Mbona unarudia porojo za CNN na VoA - mwanzoni nilifikiri labda mwenzetu amepewa US Govt handouts kutuletea hapa jamvini kwa lengo maalumu - jamaa hawa wana mbinu nyingi sana za kuwachota watu akili ili wafikishe ujumbe wa kuwafanya watu Duniani wachukie Taifa fulani bila sababu za msingi zaidi ya childish rivary - uzuri Dunia imekwisha shitukia mbinu zao ovu, watu wengi wenye akili timamu hawakubali kuburuzwa kwenye ma camp ya kijinga yasiyo kuwa na kichwa wala miguu - ushetani wa NWO na Unipolar World umekwisha kuwa buried six feet under kutokana na ujasiri wa brainy Putin, Ti Xing Ping, Ayatolla wa Iran, Kim na washirika wote wa BRICS na members wanaongezeka exponentially!!!

Hakuna tena mambo ya genge dogo la mabeberu kutaka kutawala Dunia kinguvu kupitia ukoloni mambo leo - Putin anachukiwa na kusemwa semwa vibaya na media za magharibi kutoka na msimamo wake na wenzake wa kutaka kukomesha umafia wa Anglo-Saxon gang - kundi hili ni binadamu hatari sana wenye imani na mawazo ya ajabu sana - si watu wa kuchekea hata kidogo. Si lazimishi watu kukubaliana na mawazo/ufafanuzi wangu, hilo lilikuwa ni angalizo tu kwa kuwa najua adithi zitakazo fuatia zitakuwa zimejaa upotoshaji mkubwa wa kumuhusu Putin na Urusi - kumbukeni kwamba wapotoshaji wako well organised kwenye MSM na popular social media na majority ya waleta taarifa are paid troll and bots, chunga sana.
 
Urusi imeamua kuwa Taifa la kigaidi na kila mtu mwenye akili amesha juwa nia ovu ya Urusi dhidi ya Ukraine na Dunia yote kwa ujumla.

Ujinga anao ufanya Putin ndio ujinga aliufanya Stalin na Hitler na kile Kili wakuta imebaki historia.

Baada ya Vita ya pili ya dunia. Mataifa ya Magharibi yaliazimia kuto tokea madhila mabaya yakivita kama yalio wakuta ktk vita ya dunia ya kwanza na yapili.

Vita na madhila ya Vita yameifanya German kuwa Taifa lililosema vita kwake basi lakini ktk hali yakushangaza sana Urusi ameibuka nakuleta hisia za vita ya tatu ya dunia.

Dunia ipo ktk shock na taarifa zisizo Rasmi USA na washarika wake wanafanya maamuzi magumu huku wakituchekesha.

Yes tafadhali fuwatilia mission zote za Marekani huzifanya while watu wanakula Bata. While usiku kazi kazi.

Nitaendelea.
Mwanzilishi wa hizi chokochoko tuna mjua wala sio Russia
 
Back
Top Bottom