Tetesi: Dunia inaenda kuungana dhidi ya Urusi

No, sijakashifu dini mimi.
Ugaidi haufungamani na dini yeyote ireland kulikuwa na kundi la kigaidi la IRA Uganda lipo la LRA la Josef kony liko mpaka Leo lakini huwezi kufunganisha na ukristo dini ibaki kama dini na ugaidi ubaki kama ugaidi

Hiii hapa chini comment Yako

[emoji116]

Hakuna siku magaidi wanaua watu kwa jina la allah eti mkawakemea magaidi. Never, kwa sababu mnaelewa wanachofanya ni mpango wa dini yenu. Very hopeless.
 
Maskini were!!! Mnatia huruma sana. Yaani kila kukicha mnasikilizia matamanio yenu Mashoga
 

Kakojoe ulale sasa umeshiba ugali wa dagaa naona.
 
una ushaidi kututhibitmishia USA aliingilia siasa za UKRAINE mwaka 2014 , km huna bas jiite shogah mzee bila kumung'unya maneno , Uhuru wa kuongea unawafanya mnalopoka
Wewe akili ndogo sana hata kusoma na kuelewa tatizo kubwa kwako alafu unataka ujadili mada na mimi?!!
Umesoma vizuri comment yangu?
Maana ushahidi unao dai nimeweka kwenye post uliyo jibu (uliyo quote). Yaonekana hujasoma vizuri post yangu.

Ngoja nikusaidie: Soma hapo chini ujijibu hayo maswali ujione ujinga wako.
Unamjua waziri wa mambo ya nje wa Marekani mwaka 2014 alikuwa anaitwa nani?
Balozi wa Marekani nchini Ukraine mwaka 2014 alikuwa anaitwa nani?
Umesoma link niliyo ambatanisha kwenye tuhuma za Marekani kuingilia siasa za ndani za Ukraine?
Uliona majina mawili yaitwayo Nuland na Pyatt ?
Umesoma hiyo habari toka BBC umeona walifanya nini na taarifa ya walichofanywa kilidukuliwa na kuwekwa kwenye mitandao?
Umesikiliza mawasiliano ya simu ya hao wanadiplomasia wa Marekani ambayo yapo youtube kama ushahidi?

Kama haujasoma kitu unachotaka kukosoa tena kwa lugha ya kashifa na matusi jiandae ujipime ufiche aibu yako.
Maana hapo umeonesha hujasoma yote niliyo andika na kupitia link niliyoweka kuthibitisha madai yangu, na kama umesoma basi HAUJUI KIINGEREZA HIVYO HUJAELEWA TAARIFA NILIYOWEKA LINK KAMA USHAHIDI.

Siku nyingine ukiona post yangu pita mbali utambue mimi na wewe tuko madaraja tofauti kabisa ya akili na kujenga hoja. Kifupi niogope kabisa.
 
Watu wa magharibi waliingia Libya na Cosovo kwa kibali cha Umoja wa Mataif(UN), Urusi imevamia Ukraine kwa kibali cha nani??
Unazungumzia UN hii hii ambayo ilishindwa kuifanya chochote Marekani ilipoivamia Cuba bila sababu?
UN hii hii ambayo ilishindwa kuifanya chochote Marekani ambayo iliivamia Iraq kwa taarifa ambazo imekuja kuthibitika Iraq haikuwa na silaha za maangamizi?

UN ni upuuzi tu kama upuuzi mwingine ambao hauna nguvu dhidi ya mataifa yenye nguvu.
 
Kila mara Wapalestina ndo wanaanza kushambulia waisrael , sasa nan gaidi hapo kati ya mshambuliaj na anaejihami ?
ISRAEL wale MAGIDI tokea a mwaka 1940s ten MAGAIDI hasaaa

Wanatakiwa wafe kwa wingi na walaaniwe
 
Ukiwa unaandika uwe unaleta na ushahidi MKUU

Ukileta ushahidi wa wapi PUT IN alisema siki tatu itakua hvyo ulete nanjia yakuachana na jf

Kama mumeamua kua na DEMOKRASIA hamjakatazwa ila wenzenu muwaache na mfumo walojiamulia

RUSSIA atokewe puani na hii vita MKUU pole sanaaa
 
Huyo Russia wenu anaikimbia miji aliyodai kuiteka, maji shingoni..
 
Mission za Marekani awafanyie Iraq na Libya lkn sio kwa Urusi ndugu yangu.
Ukweli nikisomaga maoni Yako kuhusu Marekani kutaka kuidhibiti Urusi kijeshi au kumuua Putin hua nakudharai sana.
USA na Urusi ni wakubwa wote,hakuna mmoja kati Yao anaeweza mfanyia chochote mwenzake,ama Kila mtu anaweza kumfanyia chochote mwenzake.
Lkn kusema USA inaifanyia Urusi mission unajidanga
 
Tanzania ina vyuo vinavyozalisha "disastrous products". Kajifunze vizuri vigezo vya pre emptive attacks.
 
Tanzania ina vyuo vinavyozalisha "disastrous products". Kajifunze vizuri vigezo vya pre emptive attacks.
Kama una huo uwezo njoo tu battle. Acha ujinga.
I know what I'm talking about. Public international Law imelala. Twende kazi Kama una huo ubavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…