Ugaidi haufungamani na dini yeyote ireland kulikuwa na kundi la kigaidi la IRA Uganda lipo la LRA la Josef kony liko mpaka Leo lakini huwezi kufunganisha na ukristo dini ibaki kama dini na ugaidi ubaki kama ugaidiNo, sijakashifu dini mimi.
Maskini were!!! Mnatia huruma sana. Yaani kila kukicha mnasikilizia matamanio yenu MashogaUrusi imeamua kuwa Taifa la kigaidi na kila mtu mwenye akili amesha juwa nia ovu ya Urusi dhidi ya Ukraine na Dunia yote kwa ujumla.
Ujinga anao ufanya Putin ndio ujinga aliufanya Stalin na Hitler na kile Kili wakuta imebaki historia.
Baada ya Vita ya pili ya dunia. Mataifa ya Magharibi yaliazimia kuto tokea madhila mabaya yakivita kama yalio wakuta ktk vita ya dunia ya kwanza na yapili.
Vita na madhila ya Vita yameifanya German kuwa Taifa lililosema vita kwake basi lakini ktk hali yakushangaza sana Urusi ameibuka nakuleta hisia za vita ya tatu ya dunia.
Dunia ipo ktk shock na taarifa zisizo Rasmi USA na washarika wake wanafanya maamuzi magumu huku wakituchekesha.
Yes tafadhali fuwatilia mission zote za Marekani huzifanya while watu wanakula Bata. While usiku kazi kazi.
Nitaendelea.
Urusi imeamua kuwa Taifa la kigaidi na kila mtu mwenye akili amesha juwa nia ovu ya Urusi dhidi ya Ukraine na Dunia yote kwa ujumla.
Ujinga anao ufanya Putin ndio ujinga aliufanya Stalin na Hitler na kile Kili wakuta imebaki historia.
Baada ya Vita ya pili ya dunia. Mataifa ya Magharibi yaliazimia kuto tokea madhila mabaya yakivita kama yalio wakuta ktk vita ya dunia ya kwanza na yapili.
Vita na madhila ya Vita yameifanya German kuwa Taifa lililosema vita kwake basi lakini ktk hali yakushangaza sana Urusi ameibuka nakuleta hisia za vita ya tatu ya dunia.
Dunia ipo ktk shock na taarifa zisizo Rasmi USA na washarika wake wanafanya maamuzi magumu huku wakituchekesha.
Yes tafadhali fuwatilia mission zote za Marekani huzifanya while watu wanakula Bata. While usiku kazi kazi.
Nitaendelea.
Wewe akili ndogo sana hata kusoma na kuelewa tatizo kubwa kwako alafu unataka ujadili mada na mimi?!!una ushaidi kututhibitmishia USA aliingilia siasa za UKRAINE mwaka 2014 , km huna bas jiite shogah mzee bila kumung'unya maneno , Uhuru wa kuongea unawafanya mnalopoka
Unazungumzia UN hii hii ambayo ilishindwa kuifanya chochote Marekani ilipoivamia Cuba bila sababu?Watu wa magharibi waliingia Libya na Cosovo kwa kibali cha Umoja wa Mataif(UN), Urusi imevamia Ukraine kwa kibali cha nani??
Aii umepiga kweñye mshonoo [emoji1787][emoji1787]Kama ambavyo Israel inawafanyia ugaidi Palestine...
ISRAEL wale MAGIDI tokea a mwaka 1940s ten MAGAIDI hasaaaKila mara Wapalestina ndo wanaanza kushambulia waisrael , sasa nan gaidi hapo kati ya mshambuliaj na anaejihami ?
Ukiwa unaandika uwe unaleta na ushahidi MKUUHuyu G tax hajui kuwa waimla wakilewa madaraka wanaweza kukupiga tu ili kuonyesha umwamba, hukumsikia mtoto wa Museveni alisema kuichukua Nairobia ndani ya wiki 2? Putin alisema Ukraine itakuwa jivu ndani ya siku 3. Huu ni ulevi wa madaraka...
Kumbuka Putin ana miaka mingi sana madarakani, ameshalewa madaraka, ila ulevi wake uko karibu kumtokea puani.. umeelewa G'taxi ? Na ndugu yako Bwana Utam
Huyo Russia wenu anaikimbia miji aliyodai kuiteka, maji shingoni..Ukiwa unaandika uwe unaleta na ushahidi MKUU
Ukileta ushahidi wa wapi PUT IN alisema siki tatu itakua hvyo ulete nanjia yakuachana na jf
Kama mumeamua kua na DEMOKRASIA hamjakatazwa ila wenzenu muwaache na mfumo walojiamulia
RUSSIA atokewe puani na hii vita MKUU pole sanaaa
Wasenge sana hao US, hata Putin alisema angekuwa madarakani Marekani wasingemuua Gadafi. Ilikuwa bahati mbaya tu.Gadaffi huo gaidi kamfanyia nani?
Saddam je?
Assad wamemshindwa pumbavu zao mashoga wa kimarekani
Tanzania ina vyuo vinavyozalisha "disastrous products". Kajifunze vizuri vigezo vya pre emptive attacks.Urusi anajitetea dhiddi ya mpango ovu wa USA na kila mtu anajua alichokifanya Russia ni kwa mjibu wa sheria chini ya Article 51 of the United Nations Convention. Save, kwa viazi mbatata vichache.
Alichofanya ni pre emptive self defence. Ukraine ilikuwa ikiimarishwa makusudi ili kuidhuru au ije itumike kuidhuru Russia.
USA waliwahi kukitumia hiki dhidi ya IRAQ iliyokuwa maelfu ya umbali.
Tuwaache na Warusi nao wajilinde dhidi ya kashetani kalikokuwa kanatengezwa na USA on the Russian Backyard.
Kama una huo uwezo njoo tu battle. Acha ujinga.Tanzania ina vyuo vinavyozalisha "disastrous products". Kajifunze vizuri vigezo vya pre emptive attacks.