Tetesi: Dunia inaenda kuungana dhidi ya Urusi

Tetesi: Dunia inaenda kuungana dhidi ya Urusi

Shida yenu, Marekani mnamuona hasimu kwa sababu anaua magaidi wenu na kuwaharibia mpango wenu wa 'The Global Jihad Mission' .

Hakuna siku magaidi wanaua watu kwa jina la allah eti mkawakemea magaidi. Never, kwa sababu mnaelewa wanachofanya ni mpango wa dini yenu. Very hopeless.
Gadaffi huo gaidi kamfanyia nani?
Saddam je?
Assad wamemshindwa pumbavu zao mashoga wa kimarekani
 
Shida yenu, Marekani mnamuona hasimu kwa sababu anaua magaidi wenu na kuwaharibia mpango wenu wa 'The Global Jihad Mission' .

Hakuna siku magaidi wanaua watu kwa jina la allah eti mkawakemea magaidi. Never, kwa sababu mnaelewa wanachofanya ni mpango wa dini yenu. Very hopeless.
Sasa huku ni kukashifu dini za watu ni jambo baya usilete udini kwenye mada hii,kama umeshindwa hoja bora ukae kimya kuliko kuleta ujinga wa kushifu udini za watu kama huwezi kuwa great thinker basi usiwe great sinker
 
Shida yenu, Marekani mnamuona hasimu kwa sababu anaua magaidi wenu na kuwaharibia mpango wenu wa 'The Global Jihad Mission' .

Hakuna siku magaidi wanaua watu kwa jina la allah eti mkawakemea magaidi. Never, kwa sababu mnaelewa wanachofanya ni mpango wa dini yenu. Very hopeless.
Kweli akili imeloa
 
Mbona unarudia porojo za CNN na VoA - mwanzoni nilifikiri labda mwenzetu amepewa US Govt handouts kutuletea hapa jamvini kwa lengo maalumu - jamaa hawa wana mbinu nyingi sana za kuwachota watu akili ili wafikishe ujumbe wa kuwafanya watu Duniani wachukie Taifa fulani bila sababu za msingi zaidi ya childish rivary - uzuri Dunia imekwisha shitukia mbinu zao ovu, watu wengi wenye akili timamu hawakubali kuburuzwa kwenye ma camp ya kijinga yasiyo kuwa na kichwa wala miguu - ushetani wa NWO na Unipolar World umekwisha kuwa buried six feet under kutokana na ujasiri wa brainy Putin, Ti Xing Ping, Ayatolla wa Iran, Kim na washirika wote wa BRICS na members wanaongezeka exponentially!!!

Hakuna tena mambo ya genge dogo la mabeberu kutaka kutawala Dunia kinguvu kupitia ukoloni mambo leo - Putin anachukiwa na kusemwa semwa vibaya na media za magharibi kutoka na msimamo wake na wenzake wa kutaka kukomesha umafia wa Anglo-Saxon gang - kundi hili ni binadamu hatari sana wenye imani na mawazo ya ajabu sana - si watu wa kuchekea hata kidogo. Si lazimishi watu kukubaliana na mawazo/ufafanuzi wangu, hilo lilikuwa ni angalizo tu kwa kuwa najua adithi zitakazo fuatia zitakuwa zimejaa upotoshaji mkubwa wa kumuhusu Putin na Urusi - kumbukeni kwamba wapotoshaji wako well organised kwenye MSM na popular social media na majority ya waleta taarifa are paid troll and bots, chunga sana.
Mkuu, kama weye wapenda kinywaji basi hapa nilipo Kibaigwa pana vileo vya kila aina nimeviweka kabatini. Ila naweza kukutimua popote ulipo, kula tano.

Jokes!!🙂

Umeandika kifupi lakini ni "neat and clear".
 
Hizi ndio akili za kijinga.

Ulijua kwamba siyo haki na ukachukia, Iraq, Afghan n.k zilipovamiwa, ila jambo kama hilohilo linafanywa na Urusi na unalishangilia! Very stupid and Pathetic indeed!
Yaani wee mtindio wa fikra kabisa kwa hiyo walichokuwa wanafanya marekani na Nato kujiimarisha kijeshi kuizunguka russia na kuandaa military base ndani ya Ukraine against Russia ni sahihi? Yaani kiumbo unaonekana wa makamu Ila kichwani chenga chenga mno
 
Putin hamumuwezi mtu mmoja mnakalia vikao nchi zote kubwa yeye anawatazama tu mnavyo tapatapa.
 
Watu wa magharibi waliingia Libya na Cosovo kwa kibali cha Umoja wa Mataif(UN), Urusi imevamia Ukraine kwa kibali cha nani??
TumainiEl mgogoro huu umeanza zamani sana na kufikia kilele 2014 baada ya Marekani kuingilia siasa za ndani ya Ukraine na kuchochea maandamano ya kumtoa raisi halali wa Ukraine siyo huyu kibaraka Zelenskyy . Pitia hapa Ukraine crisis: Transcript of leaked Nuland-Pyatt call

Kwanza utambue Crimea ilikuwa sehemu ya Russia toka 1783 hadi mwaka 1954 pale Raisi Khrushchev wa USSR (Urusi) alipowapatia Ukraine eneo hili.

Kumbuka Khrushchev alikuwa mtu wa asili ya Ukraine, yaani kama hapa Mama Samia achukue Mafia awakabidhi Zanzibar. Sasa ukitaka kuona watu wako wa magharibi na kibaraka wao Zelenskyy wanavyotaka kusababisha vita ya 3 ya dunia wanakataa haki ya watu wa Crimea kurudi kwenye nchi yao mama (Russia). Wanasema lazima waichukue kwa nguvu kivita Crimea iende tena Ukraine.

Hao unaowashabikia wana nadi demokrasia na kututaka nchi maskini tuheshimu matakwa ya wananchi wakati wao hawataki kuheshimu kura ya maoni ya wana Crimea waliochagua kurudi Russia.

Kuanzia 2014 serikali ya Kiev imekuwa ikiwalipua kwa mizinga na kuwauwa kikatili watu wanaotaka kujitenga na Ukraine, Putin kaenda kuwalinda kama vile watu wa magharibi walivyo enda kuwasaidia watu wa Libya waliompinga Ghadaf au watu wa Cosovo walipotaka kujitenga na Yugoslavia ya zamani. sasa kwanini Russia akifanya kama wao anaonekana katili mpenda vita?
 
Uongo mtupu, ingekuwa tatizo ni NATO Urusi angezivamia Sweden na Finland nazo.
Jamaa yuko shallow sana kwenye historia ya hii vita. Hata hajui huu upuuzi wote umechangiwa kwa sehemu kubwa na hao Marekani wake, huku akishirikiana na Washirika wake wa NATO, dhidi Urusi.
 
Swali la msingi sana ukizingatia Russia ina tatizo kubwa la idadi ya watu kuzidi kupungua(population collapse)
Swali je kwanini urusi anayataka majimbo ya Ukraine tofauti na hiyo Crimea...?..

Kama ni hao hao watu anaowatetea alishindwa kuwapeleka Russia na kuwapatia eneo la kuishi??
 
Mbona Iddi Amin alianza kuipiga Tanzania bila sababu?
Mbona Saddam Hussein alianza kuipiga Kuwait bila sababu?
Mbona Stalin alianza kuipiga Finland bila sababu?
Unaamini kua anachofanya Putin na Russia ni ujinga? Hujui kwamba unaweza kua mjinga wewe? Hivi sasa tunaweza sisi kama Tanzania ghafla tu tukaanza kuipiga Burundi bila sababu?
 
Back
Top Bottom