Dunia inakwenda kasi sana

Dah kuna demu wangu alikuwa akiniandikia barua kama hivyo tukiwa Arusha huko, hakuwa na simu kipindi hicho. Dah alinipenda sana yule manzi ya kisomali, sasa hv ameolewa na mtoto alimpata 2019.
 
Dah kuna demu wangu alikuwa akiniandikia barua kama hivyo tukiwa Arusha huko, hakuwa na simu kipindi hicho. Dah alinipenda sana yule manzi ya kisomali, sasa hv ameolewa na mtoto alimpata 2019.
Pole
 
Unankumbusha enzi zangu hzo..barua unairdia mara mbili unaenda kutambia washkaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…