Dunia ingelikwaje bila Wayahudi?

Dunia ingelikwaje bila Wayahudi?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Inakadiriwa kuwa idadi ya Wayahudi wote duniani ni milioni kumi na tano. Wanaoishi Israeli ni asilimia 41 tu. Waliosalia, asilimia 41 wapo Marekani na asilimia 18 nchi zinginezo.

Idadi ya Wayahudi ni ndogo sana. Ni asilimia 0.2 ya watu wote duniani.

Pamoja na uchache wao, mchango wao ni mkubwa sana katika maendeleo ya dunia. Karibia kila ugunduzi mkubwa duniani una "mkono" wa Myahudi.

Hizi ni baadhi tu ya gunduzi zilizofanywa na watu wenye asili ya Uyahudi(mnisamehe ninanakili mtandaoni bila kutafsiri):
1. Lipstick
2. The Ballpoint Pen
3. Television remote control
4. Traffic lights
5. The atomic bombs
6. The thermonuclear bombs
7. Genetic engineering
8. Hollywood.
9. Nuclear chain raactor
10. Sound movies
11. Cafeterias
12. Virtual reality
13. Videotape
14. Circumcision
15. Capitalism
16. Communis
17. Discount stores
18. The shopping cart
19. Prozac
20. Chemotherapy
21. Radiation
22. Ready to wear clothing
23. Valium
24. The polio vaccination
25. The artificial kidney dialysis machine
26. The cardiac pacemaker
27. Google
28. The wire transmission facsimilie (FAX)
29. The micro processing chip
30. Optical fiber cable
31. Laser
32. Cellular technology
33. Facebook
34. Drip irrigation
35. Scale model electric transe
36. The pager
37. Scale model
38. The adding machine

Hizo ni chache tu kati ya nyingi.

Miongoni mwa Wayahudi mashuhuri ni pamoja na:
1. Albert Einstein - General Relativity
2. Carl Sagan - astronomer
3. Niels Bolar - atomic structure
4. Fritz Haber - sunthesi of ammonia
5. Edward Teller - hydrogen bomb
6. Leo Szilard - nuclear chain reaction
7. Jonas Salk - Polio vaccine
8. Michael Dell - founder of Dell Computer
9. Larry Ellison - Founder and CEO of Oracle
10. Steve Ballmer - CEO of Microsoft
11. Mark Zuckerberg - Facebook founder
12. Karl Max - marxism

Hayo ni machache tu!

Kama ndivyo, Wayahudi wasingelikuwepo hapa duniani maisha yangekuwaje sasa duniani?
 
nakataaa

dunia ilikuwa poa before ila hao unaowataja wametake advantage kwa wengine walikuwa hawana tabia ya kujipa maujiko wanapogundua jambo.

afrika tulikuwa na teknolojia kibao sema mpaka leo hakuna historia yetu.
 
Asante Kwa taarifaa ...hv mkuu aliyegundua kusoma na kuandika n nani ,na cku ya kwanza aliandika nn na alikitoa wap mpk akakiandika nakuweza kukisomaa..
 
nakataaa

dunia ilikuwa poa before ila hao unaowataja wametake advantage kwa wengine walikuwa hawana tabia ya kujipa maujiko wanapogundua jambo.

afrika tulikuwa na teknolojia kibao sema mpaka leo hakuna historia yetu.
Hawajajipa wao! Tafiti ndizo zinazoeleza hayo.
 
Maisha
Inakadiriwa kuwa idadi ya Wayahudi wote duniani ni milioni kumi na tano. Wanaoishi Israeli ni asilimia 41 tu. Waliosalia, asilimia 41 wapo Marekani na asilimia 18 nchi zinginezo.

Idadi ya Wayahudi ni ndogo sana. Ni asilimia 0.2 ya watu wote duniani.

Pamoja na uchache wao, mchango wao ni mkubwa sana katika maendeleo ya dunia. Karibia kila ugunduzi mkubwa duniani una "mkono" wa Myahudi.

Hizi ni baadhi tu ya gunduzi zilizofanywa na watu wenye asili ya Uyahudi(mnisamehe ninanakili mtandaoni bila kutafsiri):
1. Lipstick
2. The Ballpoint Pen
3. Television remote control
4. Traffic lights
5. The atomic bombs
6. The thermonuclear bombs
7. Genetic engineering
8. Hollywood.
9. Nuclear chain raactor
10. Sound movies
11. Cafeterias
12. Virtual reality
13. Videotape
14. Circumcision
15. Capitalism
16. Communis
17. Discount stores
18. The shopping cart
19. Prozac
20. Chemotherapy
21. Radiation
22. Ready to wear clothing
23. Valium
24. The polio vaccination
25. The artificial kidney dialysis machine
26. The cardiac pacemaker
27. Google
28. The wire transmission facsimilie (FAX)
29. The micro processing chip
30. Optical fiber cable
31. Laser
32. Cellular technology
33. Facebook
34. Drip irrigation
35. Scale model electric transe
36. The pager
37. Scale model
38. The adding machine

Hizo ni chache tu kati ya nyingi.

Miongoni mwa Wayahudi mashuhuri ni pamoja na:
1. Albert Einstein - General Relativity
2. Carl Sagan - astronomer
3. Niels Bolar - atomic structure
4. Fritz Haber - sunthesi of ammonia
5. Edward Teller - hydrogen bomb
6. Leo Szilard - nuclear chain reaction
7. Jonas Salk - Polio vaccine
8. Michael Dell - founder of Dell Computer
9. Larry Ellison - Founder and CEO of Oracle
10. Steve Ballmer - CEO of Microsoft
11. Mark Zuckerberg - Facebook founder
12. Karl Max - marxism

Hayo ni machache tu!

Kama ndivyo, Wayahudi wasingelikuwepo hapa duniani maisha yangekuwaje sasa duniani?
Maisha yangekuwa ya amani ulimwenguni kote kwani wao ni chanzo cha vita zote tangu enzi ya hayati Ibrahim wa Ur alipohamia Caanan.
 
Inakadiriwa kuwa idadi ya Wayahudi wote duniani ni milioni kumi na tano. Wanaoishi Israeli ni asilimia 41 tu. Waliosalia, asilimia 41 wapo Marekani na asilimia 18 nchi zinginezo.

Idadi ya Wayahudi ni ndogo sana. Ni asilimia 0.2 ya watu wote duniani.

Pamoja na uchache wao, mchango wao ni mkubwa sana katika maendeleo ya dunia. Karibia kila ugunduzi mkubwa duniani una "mkono" wa Myahudi.

Hizi ni baadhi tu ya gunduzi zilizofanywa na watu wenye asili ya Uyahudi(mnisamehe ninanakili mtandaoni bila kutafsiri):
1. Lipstick
2. The Ballpoint Pen
3. Television remote control
4. Traffic lights
5. The atomic bombs
6. The thermonuclear bombs
7. Genetic engineering
8. Hollywood.
9. Nuclear chain raactor
10. Sound movies
11. Cafeterias
12. Virtual reality
13. Videotape
14. Circumcision
15. Capitalism
16. Communis
17. Discount stores
18. The shopping cart
19. Prozac
20. Chemotherapy
21. Radiation
22. Ready to wear clothing
23. Valium
24. The polio vaccination
25. The artificial kidney dialysis machine
26. The cardiac pacemaker
27. Google
28. The wire transmission facsimilie (FAX)
29. The micro processing chip
30. Optical fiber cable
31. Laser
32. Cellular technology
33. Facebook
34. Drip irrigation
35. Scale model electric transe
36. The pager
37. Scale model
38. The adding machine

Hizo ni chache tu kati ya nyingi.

Miongoni mwa Wayahudi mashuhuri ni pamoja na:
1. Albert Einstein - General Relativity
2. Carl Sagan - astronomer
3. Niels Bolar - atomic structure
4. Fritz Haber - sunthesi of ammonia
5. Edward Teller - hydrogen bomb
6. Leo Szilard - nuclear chain reaction
7. Jonas Salk - Polio vaccine
8. Michael Dell - founder of Dell Computer
9. Larry Ellison - Founder and CEO of Oracle
10. Steve Ballmer - CEO of Microsoft
11. Mark Zuckerberg - Facebook founder
12. Karl Max - marxism

Hayo ni machache tu!

Kama ndivyo, Wayahudi wasingelikuwepo hapa duniani maisha yangekuwaje sasa duniani?
Yangekuwa poa tu !
 
Labda kungekuwa na Amani pasipo Maendeleo 🤣
 
Wayahudi ni wabaguzi tu. Mfano Tz hapa mambo ya kujitambulisha kwa makabila yaliishapitwa na wakati, watu wanaoana, makazini wakristu kwa waislam full kukaa pamoja, bila hata kuhisi huyu mwenzako ni tofauti.
Watu wengi ulimwenguni wanaishi hivyo, they dont care about identity - ni rahisi kuwakuta pure wazungu wakiamia eneo jingine na kuwa wa huko milele..angalia mfano US...wakina Trump na wanzungu wote wa huko sio kwao huko but they dont care where they came from, it is already their home - vivyo hivyo kwa blacks...wengi walienda kama watumwa..but wamekuwa assimilated na hata hawajui asili zao ni wapi - wanatengeneza culture ya kwao hapohapo.
For jews it is different - WANAKAUBAGUZI fulani hivi ka kujiona wao sio kama watu wengine -
Hizo vumbuzi ulizotaja hapo..huo utaalamu walifundishwa nchi nyingine - wamepewa ujuzi na mataifa mengine kabisa wala sio nchini kwao - wao ujanjaujanja wanajua lobbying, marketing - working on their best interests - hizo vumbuzi sio kwamba mtu aliibuka tu kisa ni Myahudi akajua - wamepitia shule za watu wamataifa mengine - wamechukua utaalamu wa watu wengine ambao hawajali sana kujitambulisha kwa makabila yao n.k.Utaalamu wameutoa Ujerumani huko, Russia, Western Europe....n.k.

Wayahudi hata kama baba yako, mama yako, bibi yako, babu na babu zako walikua na mkachanganyiko ka damu yao...na uko potential..UTAPAMBWA na kupigiwa marketing uonekani utafikiri wewe ndo myahudi by 98%.
Hao wavumbuzi unaotaja hapo utakuta ni mchanganyiko wa damu hatari - utakuta ni Mrusi na Myahudi..lkn hapo utaona ni Jew, utakuta ni mchanganyiko wa Wazungu lkn hapo upande wa pili haupewi nguvu utasikia ni Jew.
Thats why hata hao jews ni pure Europeans kwa muonekano na sio people from the middle East - damu imevurugwa sana lkn hutasikia upande wa pili.
Mfano kuna hawa Ethiopiani Jews weusi kama sisi tu..lkn wakigundua kitu utasikia huyu ni Jew..hiyo black pigment haitaongelewa kabisa..(UBAGUZI)...
Kuna watu wanaakili sana lkn hawana show off za kijinga na ukitaka ujue kacheck civilization yao na level ya ustaarabu, maendeleo na maisha wanavyoishi - Wajapan, Wakorea, Wachina etc...wanaulimwengu wao na unaona kabisa hawa watu wana akili...check magari - Toyota n.k. angekuwa ndo myahudi anatutengenezea haya magari mbona tungekoma - Wahindi huko ambao ndo tunatumia dawa zao nyingi hapa huwezi wasikia wakijibost au kuwekwa kwenye headlines - Kuna Wamisri pale kitambo wanapiga hesabu ndo chimbuko la computers n.k.
Kuna wajerumani kule wanatoa vitu conc kabisa - kuanzia mashine zote za mahospitalini, magari, sijui mavazi etc..lkn huoni watu wakitamka sijui bila Ujerumani Dunia ingekuwaje...Kuna waingereza, Kuna wadatch kule...
Kuna watu watu waliofanikiwa kwenye biashara na technologia hata tajiri namba moja Elon Musk sio Jew..wanafanya vitu vingi lkn huwezi sikia watu wakihangaika....

Watu wamefanya vitu vingi na wanaendelea kufanya sio hao WAYAHUDI tu....
 
Back
Top Bottom