Dunia itakuwaje Trump atakapoapishwa kama Rais wa Marekani hapo mwakani?

Dunia itakuwaje Trump atakapoapishwa kama Rais wa Marekani hapo mwakani?

Kwa sasa bunge ni majority republicans, ikiendelea hivi maana yake atakuwa na bunge la ndiyo mzee, na wabunge wa repubicans wanamuabudu balaa. Mahakama Kuu imejaa majudge wa republican. Pia anampango wa kugeuza vyeo vingi vya serikali viwe vya kuteuliwa ili aweke watu wake. Mhula ule wa kwanza alikwamishwa sana na maafisa wa serikali, safari hii amedhamiria kuweka watu wake. Hakutakuwa na wa kumzuia.
Sawa tu. Trump ashinde tuone upepo unageukaje duniani
 
Tofauti ya Trump na Biden ni kwamba Joe Biden yeye ana uzoefu mkubwa sana katika medani za siasa na uongozi kuliko watawala wengi sana Marekani.

Ila sasa hana kabisa ile inayoitwa ^honor even among thieves.^

Anatumika tu na wenye nchi ilimradi yeye, Jill na Hunter wake mikono inaenda kinywani.

Kwa upande mwingine, Trump anaweza kufananishwa na jasiri hanibu (brave ignorant) anayependa kujinasibisha kama mzalendo kwa nchi yake.

Ni mtu mwenye uchu na azma thabiti ya kuuthibitishia ulimwengu kwa gharama yoyote kwamba hakuna anayeweza kufanya anachofanya yeye.

Ndiyo maana wakati mwingine amelazimika kung'ang'ania misimamo yake licha ya msukumo mkubwa wa wazee wa meza.

Katika ulimwengu wa Trump, msamiati wa kushindwa ulishafutikaga kitambo sana.

Wakati JB yeye anasaka mkwanja kupitia siasa, kipaumbele kikubwa cha Trump ni kuweka alama ya kudumu ya urathi.
Akili mnembo hii yani hauamini kichwa chako?
 
Uzuri wa Marekani Katiba yao iko vizuri na wabunge wana macho na akiharibu tu anaondoka kwa impeachment. Angalau wenzetu wako vizuri kuliko sisi.
Na HAKUNA Rais wa Marekani aliyewahi kuondolewa madarakani kwa impeachment.
 
Jidanganye, usidhani kule mtu anaongiza nchi kwa matakwa yake. Tuliwahi kusema Boris akiondoka ktk ofisi ya PM UK basi UK itaacha kusapoti Ukraine, akaja mmama fulani na sasa hivi ni huyu Mhindi ila moto uko palepale.
Trump alisha wahi kusema ataiondoa Marekan NATO na shirika la afya duniani WHO
 
Kabla ya mdahalo wa urais wa leo Donald Trump alikuwa ameamuacha Joe Biden kwenye kura za maoni. Lakini mdahalo wa huu umefunga kabisa maneno. Ni wazi kuwa Trump sasa njia ya ikulu ni nyeupe kabisa. Biden alikuwa na hoja nzuri na aliandaliwa vyema ila afya yake na uelewa wake sababu ya uzee vimemuangusha. Si mtu fit kushika madaraka ya urais. Sasa tujiandae na dunia ya Rais Trump, itakuwaje?

1. Hoja kubwa ya Trump ambayo aliikazia na kuilazimisha ni juu ya wahamiaji haramu. Bila shaka atakomaa sana na hii ishu, sijui itakuwaje?
2. Trump ana bifu kali la kibiashara na China, ataongeza kodi na vikwazo vya kibiashara kwa China. China atajibuje? Itakuaje kwa dunia?
3. Vita ya Russia na Ukraine. Trump atawezaje kuizima. Alipoulizwa alikazana tu kuwa angekuwa Rais vita isingetokea, lakini hakusema ataizimaje. Atapunguza misaada ya kijeshi kwa Ukraine?
4. Sema wote Biden na Trump wanaiogopa mno Israel.
5. Jamaa anaweza kukuza uchumi wa Marekani na kushusha Inflation?

Naiona Dunia chini ya Trump kama Rais wa Marekani kama Dunia hatari sana
Hivi Trump akishinda anaweza akagombea tena muhula wa mwingine baada ya huu wa Novemba 2024
 
Kabla ya mdahalo wa urais wa leo Donald Trump alikuwa ameamuacha Joe Biden kwenye kura za maoni. Lakini mdahalo wa huu umefunga kabisa maneno. Ni wazi kuwa Trump sasa njia ya ikulu ni nyeupe kabisa. Biden alikuwa na hoja nzuri na aliandaliwa vyema ila afya yake na uelewa wake sababu ya uzee vimemuangusha. Si mtu fit kushika madaraka ya urais. Sasa tujiandae na dunia ya Rais Trump, itakuwaje?

1. Hoja kubwa ya Trump ambayo aliikazia na kuilazimisha ni juu ya wahamiaji haramu. Bila shaka atakomaa sana na hii ishu, sijui itakuwaje?
2. Trump ana bifu kali la kibiashara na China, ataongeza kodi na vikwazo vya kibiashara kwa China. China atajibuje? Itakuaje kwa dunia?
3. Vita ya Russia na Ukraine. Trump atawezaje kuizima. Alipoulizwa alikazana tu kuwa angekuwa Rais vita isingetokea, lakini hakusema ataizimaje. Atapunguza misaada ya kijeshi kwa Ukraine?
4. Sema wote Biden na Trump wanaiogopa mno Israel.
5. Jamaa anaweza kukuza uchumi wa Marekani na kushusha Inflation?

Naiona Dunia chini ya Trump kama Rais wa Marekani kama Dunia hatari sana
Who cares? Wote hao ni mashetani na wanyonyaji wakubwa.
 
Kabla ya mdahalo wa urais wa leo Donald Trump alikuwa ameamuacha Joe Biden kwenye kura za maoni. Lakini mdahalo wa huu umefunga kabisa maneno. Ni wazi kuwa Trump sasa njia ya ikulu ni nyeupe kabisa. Biden alikuwa na hoja nzuri na aliandaliwa vyema ila afya yake na uelewa wake sababu ya uzee vimemuangusha. Si mtu fit kushika madaraka ya urais. Sasa tujiandae na dunia ya Rais Trump, itakuwaje?

1. Hoja kubwa ya Trump ambayo aliikazia na kuilazimisha ni juu ya wahamiaji haramu. Bila shaka atakomaa sana na hii ishu, sijui itakuwaje?
2. Trump ana bifu kali la kibiashara na China, ataongeza kodi na vikwazo vya kibiashara kwa China. China atajibuje? Itakuaje kwa dunia?
3. Vita ya Russia na Ukraine. Trump atawezaje kuizima. Alipoulizwa alikazana tu kuwa angekuwa Rais vita isingetokea, lakini hakusema ataizimaje. Atapunguza misaada ya kijeshi kwa Ukraine?
4. Sema wote Biden na Trump wanaiogopa mno Israel.
5. Jamaa anaweza kukuza uchumi wa Marekani na kushusha Inflation?

Naiona Dunia chini ya Trump kama Rais wa Marekani kama Dunia hatari sana
Mwisho wa Marekani ndio umefika.Akiwa Trump ndiye raisi na hata akiendelea Biden hamna kitu tena.
 
Mwamba akipita wanaoenda kusaga meno ni China na Iran

Wakati huo huo Russia anaenda kukabidhiwa rasmi Ukraine na hapo hapo North Korea atapunguza vitisho zaidi kwa majirani zake

Wakati hayo yakitokea washirika wa Marekani (Ulaya) wanaenda kupigwa na butwaa juu ya maamuzi ya Ukraine kutelekezwa rasmi .Watabaki kuvimba na kufura juu ya bwana mkubwa (Marekani) na hawatakuwa na la kumfanya chochote kile zaidi ya hasira kali na rasilimali walizopoteza + muda waliopoteza
 
Trump anampa ushindi urusi, halafu anarudi kuwapa sapoti israel kamaliza mchezo.......kosa kubwa kwa rais wa marekani ni kwenda tofauti na matakwa ya wayahudi, mengine wanamezea tu,,,,,Enzi za Trump ndo Jerusalem ilianza kutambuliwa na marekani kama ni mji mkuu wa Israel badala ya Tel aviv ,na hilo jambo ndo myahudi analitaka,,,,jamaa atauma upande huu na kupuliza upande huu kazi kamaliza
Ahsante kwa maelezo mazuri. Kwa maelezo yako inaelekea Trump akawa rais mzuri kwa wamarekani na kwa dunia pia.
 
Hamna hatari hata...awali alipokuwa Rais hiyo hatari haikuwepo.
Miaka minne aliyokaa nje dunia imebadilika sana. Ulaya kuna vita kubwa, BRICS imepamba moto, inflation nchini kwake ipo juu, nchi yake imetingwa na wahamiaji, China amekaba biashara, Saudis wanataka kuachana na petrodollar, kuna vita Gaza, Iran anazidi kuwapa nguvu washirika wake nk nk. Dunia ya kabla ya Covid ni dunia nyingine kabisa.
 
Naona LGBT wakianza kupumulia mashine... Trump na hawa mashoga ni vitu tofauti sana. Trump ni Mzee wa Sanctions lakini chini ya Sanctions zake dhidi ya Iran ndo Iran ilipojiongeza kinguvu zaidi! PM Benjamin Netanyahu anaomba Trump ashinde maana nchini Kwake Israel amekalia kuti kavu na wananchi hawamtaki ivo Akiingia Trump huenda mission ya Israel kujitanua ikafanikiwa maana Vita ya Israel Mmarekani yupo... JB alianza kunyima Netanyahu Silaha na hadi sasa aamini km Vita ya kikundi cha Wanamgambo bado haijaisha.. Na sasa anataka kupambana na Kundi kubwa na lenye Nguvu zaidi Hezbollah... Ikimbukwe Israel anajitahid sana dhid ya hilo kundi ili Waislael maelfu waliyokimbia makazi yao jirani na Lebanon warudi.. huenda Vita ikawa ya muda mrefu na US nae akachoka maana misaada anayotoa inawagharimu taxpayers wa US... Iran imefanikiwa kwa kuyapa technolgy makundi km Hezbollah la Labanon na Houth la Yemen.. .Leo hii US haamini nguvu aliyonayo wanamgambo wa Houth na jinsi wanavyoendelea kuzamisha meli za biashara licha ya US/UK kuishambulia Yemen lakin bado Houth ndo kwanza wanaendeleza campin zao... Trump ni mtu wa Biashara kwa trend inavoendelea sasa lazima hatataka vita kwasasa maana Iran ni mbishi ka shipa la ngiri
 
Back
Top Bottom