James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Sawa tu. Trump ashinde tuone upepo unageukaje dunianiKwa sasa bunge ni majority republicans, ikiendelea hivi maana yake atakuwa na bunge la ndiyo mzee, na wabunge wa repubicans wanamuabudu balaa. Mahakama Kuu imejaa majudge wa republican. Pia anampango wa kugeuza vyeo vingi vya serikali viwe vya kuteuliwa ili aweke watu wake. Mhula ule wa kwanza alikwamishwa sana na maafisa wa serikali, safari hii amedhamiria kuweka watu wake. Hakutakuwa na wa kumzuia.
Akili mnembo hii yani hauamini kichwa chako?Tofauti ya Trump na Biden ni kwamba Joe Biden yeye ana uzoefu mkubwa sana katika medani za siasa na uongozi kuliko watawala wengi sana Marekani.
Ila sasa hana kabisa ile inayoitwa ^honor even among thieves.^
Anatumika tu na wenye nchi ilimradi yeye, Jill na Hunter wake mikono inaenda kinywani.
Kwa upande mwingine, Trump anaweza kufananishwa na jasiri hanibu (brave ignorant) anayependa kujinasibisha kama mzalendo kwa nchi yake.
Ni mtu mwenye uchu na azma thabiti ya kuuthibitishia ulimwengu kwa gharama yoyote kwamba hakuna anayeweza kufanya anachofanya yeye.
Ndiyo maana wakati mwingine amelazimika kung'ang'ania misimamo yake licha ya msukumo mkubwa wa wazee wa meza.
Katika ulimwengu wa Trump, msamiati wa kushindwa ulishafutikaga kitambo sana.
Wakati JB yeye anasaka mkwanja kupitia siasa, kipaumbele kikubwa cha Trump ni kuweka alama ya kudumu ya urathi.
Na HAKUNA Rais wa Marekani aliyewahi kuondolewa madarakani kwa impeachment.Uzuri wa Marekani Katiba yao iko vizuri na wabunge wana macho na akiharibu tu anaondoka kwa impeachment. Angalau wenzetu wako vizuri kuliko sisi.
Hata mm nashangaa huyo jamaa hana shida na ya nje ya Marekani kabisaHuyo Trump alishakuwa rais hapo Marekani na dunia ilikuwa salama kabisa
Trump alisha wahi kusema ataiondoa Marekan NATO na shirika la afya duniani WHOJidanganye, usidhani kule mtu anaongiza nchi kwa matakwa yake. Tuliwahi kusema Boris akiondoka ktk ofisi ya PM UK basi UK itaacha kusapoti Ukraine, akaja mmama fulani na sasa hivi ni huyu Mhindi ila moto uko palepale.
Hivi Trump akishinda anaweza akagombea tena muhula wa mwingine baada ya huu wa Novemba 2024Kabla ya mdahalo wa urais wa leo Donald Trump alikuwa ameamuacha Joe Biden kwenye kura za maoni. Lakini mdahalo wa huu umefunga kabisa maneno. Ni wazi kuwa Trump sasa njia ya ikulu ni nyeupe kabisa. Biden alikuwa na hoja nzuri na aliandaliwa vyema ila afya yake na uelewa wake sababu ya uzee vimemuangusha. Si mtu fit kushika madaraka ya urais. Sasa tujiandae na dunia ya Rais Trump, itakuwaje?
1. Hoja kubwa ya Trump ambayo aliikazia na kuilazimisha ni juu ya wahamiaji haramu. Bila shaka atakomaa sana na hii ishu, sijui itakuwaje?
2. Trump ana bifu kali la kibiashara na China, ataongeza kodi na vikwazo vya kibiashara kwa China. China atajibuje? Itakuaje kwa dunia?
3. Vita ya Russia na Ukraine. Trump atawezaje kuizima. Alipoulizwa alikazana tu kuwa angekuwa Rais vita isingetokea, lakini hakusema ataizimaje. Atapunguza misaada ya kijeshi kwa Ukraine?
4. Sema wote Biden na Trump wanaiogopa mno Israel.
5. Jamaa anaweza kukuza uchumi wa Marekani na kushusha Inflation?
Naiona Dunia chini ya Trump kama Rais wa Marekani kama Dunia hatari sana
Who cares? Wote hao ni mashetani na wanyonyaji wakubwa.Kabla ya mdahalo wa urais wa leo Donald Trump alikuwa ameamuacha Joe Biden kwenye kura za maoni. Lakini mdahalo wa huu umefunga kabisa maneno. Ni wazi kuwa Trump sasa njia ya ikulu ni nyeupe kabisa. Biden alikuwa na hoja nzuri na aliandaliwa vyema ila afya yake na uelewa wake sababu ya uzee vimemuangusha. Si mtu fit kushika madaraka ya urais. Sasa tujiandae na dunia ya Rais Trump, itakuwaje?
1. Hoja kubwa ya Trump ambayo aliikazia na kuilazimisha ni juu ya wahamiaji haramu. Bila shaka atakomaa sana na hii ishu, sijui itakuwaje?
2. Trump ana bifu kali la kibiashara na China, ataongeza kodi na vikwazo vya kibiashara kwa China. China atajibuje? Itakuaje kwa dunia?
3. Vita ya Russia na Ukraine. Trump atawezaje kuizima. Alipoulizwa alikazana tu kuwa angekuwa Rais vita isingetokea, lakini hakusema ataizimaje. Atapunguza misaada ya kijeshi kwa Ukraine?
4. Sema wote Biden na Trump wanaiogopa mno Israel.
5. Jamaa anaweza kukuza uchumi wa Marekani na kushusha Inflation?
Naiona Dunia chini ya Trump kama Rais wa Marekani kama Dunia hatari sana
Mwisho wa Marekani ndio umefika.Akiwa Trump ndiye raisi na hata akiendelea Biden hamna kitu tena.Kabla ya mdahalo wa urais wa leo Donald Trump alikuwa ameamuacha Joe Biden kwenye kura za maoni. Lakini mdahalo wa huu umefunga kabisa maneno. Ni wazi kuwa Trump sasa njia ya ikulu ni nyeupe kabisa. Biden alikuwa na hoja nzuri na aliandaliwa vyema ila afya yake na uelewa wake sababu ya uzee vimemuangusha. Si mtu fit kushika madaraka ya urais. Sasa tujiandae na dunia ya Rais Trump, itakuwaje?
1. Hoja kubwa ya Trump ambayo aliikazia na kuilazimisha ni juu ya wahamiaji haramu. Bila shaka atakomaa sana na hii ishu, sijui itakuwaje?
2. Trump ana bifu kali la kibiashara na China, ataongeza kodi na vikwazo vya kibiashara kwa China. China atajibuje? Itakuaje kwa dunia?
3. Vita ya Russia na Ukraine. Trump atawezaje kuizima. Alipoulizwa alikazana tu kuwa angekuwa Rais vita isingetokea, lakini hakusema ataizimaje. Atapunguza misaada ya kijeshi kwa Ukraine?
4. Sema wote Biden na Trump wanaiogopa mno Israel.
5. Jamaa anaweza kukuza uchumi wa Marekani na kushusha Inflation?
Naiona Dunia chini ya Trump kama Rais wa Marekani kama Dunia hatari sana
HaweziHivi Trump akishinda anaweza akagombea tena muhula wa mwingine baada ya huu wa Novemba 2024
Ahsante kwa maelezo mazuri. Kwa maelezo yako inaelekea Trump akawa rais mzuri kwa wamarekani na kwa dunia pia.Trump anampa ushindi urusi, halafu anarudi kuwapa sapoti israel kamaliza mchezo.......kosa kubwa kwa rais wa marekani ni kwenda tofauti na matakwa ya wayahudi, mengine wanamezea tu,,,,,Enzi za Trump ndo Jerusalem ilianza kutambuliwa na marekani kama ni mji mkuu wa Israel badala ya Tel aviv ,na hilo jambo ndo myahudi analitaka,,,,jamaa atauma upande huu na kupuliza upande huu kazi kamaliza
Hamna hatari hata...awali alipokuwa Rais hiyo hatari haikuwepo.Naiona Dunia chini ya Trump kama Rais wa Marekani kama Dunia hatari sana
Miaka minne aliyokaa nje dunia imebadilika sana. Ulaya kuna vita kubwa, BRICS imepamba moto, inflation nchini kwake ipo juu, nchi yake imetingwa na wahamiaji, China amekaba biashara, Saudis wanataka kuachana na petrodollar, kuna vita Gaza, Iran anazidi kuwapa nguvu washirika wake nk nk. Dunia ya kabla ya Covid ni dunia nyingine kabisa.Hamna hatari hata...awali alipokuwa Rais hiyo hatari haikuwepo.
Eeeh mkuu vipi πNaililia marekani πππ