GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwahiyo unadhani labda Mimi ni MPIGA MLUZI kama Wewe?Yan kama mwanaume vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unadhani labda Mimi ni MPIGA MLUZI kama Wewe?Yan kama mwanaume vile
Yani Mimi Nikiona kiongozi wa Tanzania kavaa suti tu namuona fisadiUlitaka umuone jamaa ndani ya suti km mzungu ndio umuone anafaa kuwa kiongozi?
Hili ni tatizo kubwa kwetu sisi weusi kujadili mtu kutokana na mavazi au muonekano.
Hawa wakwetu huku wanaovaa suti wananini cha ziada zaidi ya rushwa na kuuza uhuru wetu kwa wenye pesa?
Kweli kabisa silaha zote zinatoka u.s.a wale huwa wanafata masrahi tu, ni majambazi ya dunia.Anayo maslahi nayo.
Na ili kupata maslahi yake Haiti haitakiwi iwe na amani inatakiwa iwe na machafuko.
Hivi hujui kama silaha watumiazo hao waasi ikiwemo kina BBQ ni US made!?
Watu wamekimbia hapo😀😀😀Mbona kama dancer wa diamond
Wanakuwaga watu simple sana..ila mambo yao ni umakini mno kwenye mishe za Mtaa..jamaa anaonekana tu si mtu poa kwenye mishe za kina Godfather of Harlem😀😀😀Hahah kinavyoonekana hichi kichwa kinatia mashaka, nisije nikaisingizia bangi.
Mkuu upo sahihi..Dunia imenifundisha ukiitwa Mwanaume uwe na akili kubwa sana kwenye mishe zako.Sio ajabu Kwa sababu Dunia inaongozwa na wahalifu waliovaa suti chini ya mwavuli wa vyama vya siasa.
Vita na mauaji makubwaa duniani yanasababishwa na watawala wanaoonekana kuwa ni watu wema machoni mwa watu na kupigiwa makofi.