Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hakika dunia itasimama kwa muda kushuhudia mpambano wa kukata na shoka kati ya Saul Arvarez (Canelo) na Daniel Jacobs "Miracle Man".
Canelo mpaka sasa amecheza jumla ya mapambano 54 ,ameshinda 51 ametoa sare 2 na amepigwa mara moja tu na bondia asiyepigika Floyd Sinclair Joy Maywether Junior.
Kwa upande wa Daniel Jacobs amecheza mapambano 37 ameshinda mapambano 35 amepigwa mara mbili , hajawahi kutoa sare. Katika mapambano hayo mawili aliyopoteza, mojawapo alipoteza kwa Gennady Gennadyevich Golovkin (GGG) kwa unanimous decision.
Ikumbukwe pia Canelo ameshacheza mara mbili na GGG ambapo pambano la kwanza walitoka sare ya Split draw ,pambano la pili Canelo alishinda kwa Majority Decisions japo kulizuka maneno makubwa kwamba Canelo alibebwa wengine walidai kuwa ushindi ulikuwa wa halali kabisa,
Hivyo basi baada ya pambano hili dhidi ya Daniel Jacobs ,Canelo atapanda ulingoni kwa mara ya tatu dhidi ya hasimu wake mkubwa GGG.
Canelo mpaka sasa amecheza jumla ya mapambano 54 ,ameshinda 51 ametoa sare 2 na amepigwa mara moja tu na bondia asiyepigika Floyd Sinclair Joy Maywether Junior.
Kwa upande wa Daniel Jacobs amecheza mapambano 37 ameshinda mapambano 35 amepigwa mara mbili , hajawahi kutoa sare. Katika mapambano hayo mawili aliyopoteza, mojawapo alipoteza kwa Gennady Gennadyevich Golovkin (GGG) kwa unanimous decision.
Ikumbukwe pia Canelo ameshacheza mara mbili na GGG ambapo pambano la kwanza walitoka sare ya Split draw ,pambano la pili Canelo alishinda kwa Majority Decisions japo kulizuka maneno makubwa kwamba Canelo alibebwa wengine walidai kuwa ushindi ulikuwa wa halali kabisa,
Hivyo basi baada ya pambano hili dhidi ya Daniel Jacobs ,Canelo atapanda ulingoni kwa mara ya tatu dhidi ya hasimu wake mkubwa GGG.