Dunia kusimama kuelekea mpambano wa kukata na shoka kati ya Anthony Joshua na Wladimir Klitschko

Dunia kusimama kuelekea mpambano wa kukata na shoka kati ya Anthony Joshua na Wladimir Klitschko

Asee Joshua amekutana na changamoto ya kweli... Na hataisahau..
Naamini amejifunza kitu kwenye pambano hilo.
 
Mtoto ameshinda pambano ndivyo tunaweza kusema AJ amempiga mpinzani wake Kwa knockout round ya 11
 
Back
Top Bottom