Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hii Dunia hii ukiona mwenzio ananyolewa wewe kasuke rasta. Watu wa Mikoani wameanza kuitikia Chorus. Arusha maeneo ya Ngalelo. Majambazi wanapita mchana wanaangalia duka wanalopenda wanapora wanaenda na la pili mpaka manne sometimes. Wanaondoka zao.
Najiuliza wananchi wanafanya nini? Wanakuja kulia lia hapa JF. Wakati ingekuwa malalamiko ni kuwa Serikali itakuja saa ngapi kuchukua maiti za Majambazi. Mimi ndo natamani tufikie huko. Yaani wakitia tu mguu. Mnawamwaga ubongo. Mnawapigia Jiji waje kusafisha.
Leo Arusha nao wanalia lia kama watu wa Dar? Machalii wangu hii dunia inazunguka. Sikuwahi tegemea yaliyomkuta Ungo na Kibeku naye yatamkuta.
Najiuliza wananchi wanafanya nini? Wanakuja kulia lia hapa JF. Wakati ingekuwa malalamiko ni kuwa Serikali itakuja saa ngapi kuchukua maiti za Majambazi. Mimi ndo natamani tufikie huko. Yaani wakitia tu mguu. Mnawamwaga ubongo. Mnawapigia Jiji waje kusafisha.
Leo Arusha nao wanalia lia kama watu wa Dar? Machalii wangu hii dunia inazunguka. Sikuwahi tegemea yaliyomkuta Ungo na Kibeku naye yatamkuta.