Dunia ni ngumu jitahidi kufurahi kila uwezapo

Dunia ni ngumu jitahidi kufurahi kila uwezapo

Hela ikiwepo inaongeza furaha zaidi....inaongeza na hamu pia.
Kama nakuona vile unavyotilia mkazo umuhimu wa hela katika mchakato mzima wa kuishi kwa furaha🤣

cash-money.gif
 
Unaempenda hakupendi au anakupenda kwa manufaa yake binafsi. Anaekupenda unamuona si wa hadhi yako.

Unapokutana na anaekupenda kwa dhati na wewe ukampenda kwa dhati, Kuna jambo litatokea mnaweza kushindwa kuoana. Mkioana mmoja anaweza kufa mapema.

Mnapendana lakini matatizo hayaishi, umasikini umetamalaki badala ya kufurahia mapenzi mnawaza kodi ya nyumba, chakula na ada za watoto.

Pesa siyo shida lakini ndani ya nyumba hakuna naelewanao. Mnaweza kuelewana kuna ndugu wa mke au mume wanawakorofisha.

Furahia maisha unavyoweza, maisha hayatabiriki.
Kwa kweli
 
Unaempenda hakupendi au anakupenda kwa manufaa yake binafsi. Anaekupenda unamuona si wa hadhi yako.

Unapokutana na anaekupenda kwa dhati na wewe ukampenda kwa dhati, Kuna jambo litatokea mnaweza kushindwa kuoana. Mkioana mmoja anaweza kufa mapema.

Mnapendana lakini matatizo hayaishi, umasikini umetamalaki badala ya kufurahia mapenzi mnawaza kodi ya nyumba, chakula na ada za watoto.

Pesa siyo shida lakini ndani ya nyumba hakuna naelewanao. Mnaweza kuelewana kuna ndugu wa mke au mume wanawakorofisha.

Furahia maisha unavyoweza, maisha hayatabiriki.
Ama kwa hakika inatia faraja umpendae akupende pia.
 
Wengine tunaishi tu bora liende, Nadhani Mungu angeanza kutu-Consult kwanza kabla ya kutuleta duniani.


Hata Wewe ni wa kuongea jambo hilo??--- unamkosoa Mungu aliyekupa hadhi ya kuwa binadamu??!!, je kama angekuumba kunguni, panya au funza wa chooni, inzi nk, ili usijitambue na usimlaumu ingekuwa vizuri??-- lazima uelewe maksudi ya Mungu kukuumba wewe na heshima hii akiyokupa ya wewe kuwa binadamu/mtu, yakupasa umtolee shukrani kwani kuna maisha ya milele zaidi ya hayo maisha mafupi ya hapa duniani, wanyama hawatakuwa na maisha ya milele kama wewe, shida za dunia ni trials and tribulations katika maisha yetu, hizo trials baadhi ndio tickets za kuingia kirahisi peponi na pia ni kipimo cha wewe kumshukuru Mungu na kumkumbuka, never give up my friend the hereafter is better.

Think deeper my friend.
 
The purpose of life is to live not to exist
Afya njema ni mtaji wa kupata mengine. Kuna wanaobahatika kuzaliwa kwenye koo zenye pesa na wanatithi. Wengi tunajitafutia wenyewe.
 
Nakuelewa unachomaanisha mkuu; ilinitokea siku za karibuni kwa mwenzangu na ilinibidi nitumie garama niwezavyo kuokoa hali yake, kafanyiwa upasuaji mkubwa leo, baada ya siku 2 mama yake akafariki kutokana na mshtuko, baada ya wiki aliyefanyiwa upasuaji anatakiwa asafirishwe kwa tiba ya mionzi; wapo walioniona kama nimechanganikiwa, lakini nilipambana kutumia rasilimali ninavyoweza ili maisha yaendelee

umenigusa sana mkuu..
2019, 2020 , 2021 katika kila mwaka nimepoteza mtu muhimu katika maisha yangu. Jumla watatu, mmoja ndugu na wawili ni marafiki wa karibu ambao niliwapambania kiasi flani lakini haikuwa ridhki.
Huyu wa mwisho ni moja ya watu wachache ambao ningeweza kuongea nao chochote na kwa masaa bila kujihisi tofauti

nikikumbuka yupo kitandani anaumwa lakini bado ananipigia simu kunijulia hali na kunitia moyo sababu ya vitu flani, nazidi kumkumbuka. Ni mtu ambaye hakujali ukubwa wa matatizo yake ila alikuwa ana tabasamu kila mara na kutafuta furaha hata katika vitu vidogo ambavyo tunavipuuza..

Nitamkumbuka daima japo sometimes najikuta naingia whattsap kucheki previous chats na kusikiliza zile voice notes.. Forever in my heart and Rest In Peace Friend 😊
 
Hata Wewe ni wa kuongea jambo hilo??--- unamkosoa Mungu aliyekupa hadhi ya kuwa binadamu??!!, je kama angekuumba kunguni, panya au funza wa chooni, inzi nk, ili usijitambue na usimlaumu ingekuwa vizuri??-- lazima uelewe maksudi ya Mungu kukuumba wewe na heshima hii akiyokupa ya wewe kuwa binadamu/mtu, yakupasa umtolee shukrani kwani kuna maisha ya milele zaidi ya hayo maisha mafupi ya hapa duniani, wanyama hawatakuwa na maisha ya milele kama wewe, shida za dunia ni trials and tribulations katika maisha yetu, hizo trials baadhi ndio tickets za kuingia kirahisi peponi na pia ni kipimo cha wewe kumshukuru Mungu na kumkumbuka, never give up my friend the hereafter is better.

Think deeper my friend.

mkuu huwezi kujua ni vita ngapi amepigana au anapigana nazo hadi akaamua kusema hivyo, Dunia ina mitihani hii
 
umenigusa sana mkuu..
2019, 2020 , 2021 katika kila mwaka nimepoteza mtu muhimu katika maisha yangu. Jumla watatu, mmoja ndugu na wawili ni marafiki wa karibu ambao niliwapambania kiasi flani lakini haikuwa ridhki.
Huyu wa mwisho ni moja ya watu wachache ambao ningeweza kuongea nao chochote na kwa masaa bila kujihisi tofauti

nikikumbuka yupo kitandani anaumwa lakini bado ananipigia simu kunijulia hali na kunitia moyo sababu ya vitu flani, nazidi kumkumbuka. Ni mtu ambaye hakujali ukubwa wa matatizo yake ila alikuwa ana tabasamu kila mara na kutafuta furaha hata katika vitu vidogo ambavyo tunavipuuza..

Nitamkumbuka daima japo sometimes najikuta naingia whattsap kucheki previous chats na kusikiliza zile voice notes.. Forever in my heart and Rest In Peace Friend 😊
Haya mambo yanasikitisha sana mkuu, yasikie tu kwa mwenzio
 
mkuu huwezi kujua ni vita ngapi amepigana au anapigana nazo hadi akaamua kusema hivyo, Dunia ina mitihani hii


Sasa inapaswa amuelekee huyo huyo Mungu kumuomba msaada, yeye si ndiye alituumba, au sio??!
 
Back
Top Bottom