Dunia ni ngumu jitahidi kufurahi kila uwezapo

Dunia ni ngumu jitahidi kufurahi kila uwezapo

Hata Wewe ni wa kuongea jambo hilo??--- unamkosoa Mungu aliyekupa hadhi ya kuwa binadamu??!!, je kama angekuumba kunguni, panya au funza wa chooni, inzi nk, ili usijitambue na usimlaumu ingekuwa vizuri??-- lazima uelewe maksudi ya Mungu kukuumba wewe na heshima hii akiyokupa ya wewe kuwa binadamu/mtu, yakupasa umtolee shukrani kwani kuna maisha ya milele zaidi ya hayo maisha mafupi ya hapa duniani, wanyama hawatakuwa na maisha ya milele kama wewe, shida za dunia ni trials and tribulations katika maisha yetu, hizo trials baadhi ndio tickets za kuingia kirahisi peponi na pia ni kipimo cha wewe kumshukuru Mungu na kumkumbuka, never give up my friend the hereafter is better.

Think deeper my friend.
Maneno yako yamenidokeza kitu. Kwakweli kuna kitu nilikua naandika kuhusu Free Will, Purpose na Destiny. As a believer naona si maandiko mema itabidi niifute tu hii Article.
Ila kusema ukweli nina mgogoro mkubwa na creator, I might sound Weirdo!! But it's.
I think I have to talk to some people waniokoe roho yangu juu ya imani maana naona nazama😞
 
Sasa inapaswa amuelekee huyo huyo Mungu kumuomba msaada, yeye si ndiye alituumba, au sio??!

Lakini hii haituzuii kuwa katika ubinadamu wetu. Naamini wewe ni mkristo na unakumbuka Yesu alisema maneno gani akiwa msalabani

"Mungu wangu mbona umeniacha"

vipi kuhusu mimi au wewe ambao hatujafikia hata nusu ya utimilifu wake !!..

Mtu kushuka kiimani au kuona kama Mungu hamtendei haki ni sehemu ya ubinadamu wake. Japo ni muhimu pia kumkumbusha kurudi lakini sio mbaya pia kumruhusu kuexperience ubinadamu wake
 
Maneno yako yamenidokeza kitu. Kwakweli kuna kitu nilikua naandika kuhusu Free Will, Purpose na Destiny. As a believer naona si maandiko mema itabidi niifute tu hii Article.
Ila kusema ukweli nina mgogoro mkubwa na creator, I might sound Weirdo!! But it's.
I think I have to talk to some people waniokoe roho yangu juu ya imani maana naona nazama😞


Pole sana my friend,

Kwanza Repent earnestly na Muombe Mungu akuongoze na halafu humbly omba msaada juu ya shida zako zilizomo ndani ya kanuni zake ukitumaini kwamba ni yeye mwenye huo uwezo kwani atashindwaje wakati yeye ndiye aliyetuumba na kuumba kila kitu!!!.

Mimi ni shahidi juu ya ulinzi wake juu yangu, at different times kaniepusha miraculously more than 3 fatal events encountered me so far, among them are human machinations. Kila wakati ninapokumbuka basi hunyoosha mikono kumshukuru Mungu jinsi alivyoniepusha hizo kadhia kwani SIO KWA UJANJA WANGU ningeweza kuepuka, sio hilo tu bali mambo kadhaa Mungu nimemuomba na amenisaidia.

Mungu yupo na anajibu maombi ya kunyenyekea ya mja anapomuomba kutoka chini ya uvungu wa moyo wake, kwa kilio-- katika kilio Mungu anashikwa na huruma, Mungu ni mwenye huruma zaidi ya huruma ya mama mzazi kwa kichanga chake kinacholia ili kinyonye, kifupi huyo ndiye Mungu nimjuaye kwa uchache wangu wa kumjua.
 
Lakini hii haituzuii kuwa katika ubinadamu wetu. Naamini wewe ni mkristo na unakumbuka Yesu alisema maneno gani akiwa msalabani

"Mungu wangu mbona umeniacha"

vipi kuhusu mimi au wewe ambao hatujafikia hata nusu ya utimilifu wake !!..

Mtu kushuka kiimani au kuona kama Mungu hamtendei haki ni sehemu ya ubinadamu wake. Japo ni muhimu pia kumkumbusha kurudi lakini sio mbaya pia kumruhusu kuexperience ubinadamu wake


Naam, ku express ubinadamu bila kukufuru hilo sio kosa, Yesu aliposema; "Ewe Mungu mbona unaniacha"--- kwa maneno hayo ka express ubinadamu wake na hajakufuru, kwa maneno mengine Yesu kuna msaada aliahidiwa na Mungu kuupata pale msalabani lakini kwa uchungu wa mateso kibinadamu aliona msaada unachelewa (the law of relativity), hapo hakuna kufuru.

Chukua mifano hii; 1--- Mzazi kamuahidi mwanaye zawadi na muda umepita na mtoto uvumilivu umemshinda na anamwambia mzazi; "Baba mbona hunipi zawadi??", hapo sio kukosa heshima, 2---lakini ikitokea siku moja mtoto akamuuliza baba; "Je Baba ulikosa mke ndipo ukamuoa mama ??"--- hilo ni swali lisilo na heshima na adabu kwani hapo mtoto anamkosoa Baba, Baba kama ni mwerevu anaweza kumjibu mojawapo ya majibu kama hili; " "Nilimuoa mama yako ili nikupate mpumbavu wewe"🤣.

Kwahiyo kuna maswali na hoja za kibinadamu na kuna shutuma na ukosoaji wa kibinadamu ambayo ni makosa na yakielekezwa kwa Mungu hapo ni kufuru na dhambi.

Mimi ni Muisilamu.
 
Unapokutana na anaekupenda kwa dhati na wewe ukampenda kwa dhati, Kuna jambo litatokea mnaweza kushindwa kuoana. Mkioana mmoja anaweza kufa mapema.


Looo Madam, kweli mmoja anaweza kufa mapema?!!🤣--- hapa umeshafanya watu wasioane ila waishi bila ndoa.
 
Looo Madam, kweli mmoja anaweza kufa mapema?!!🤣--- hapa umeshafanya watu wasioane ila waishi bila ndoa.
Hata mkiishi bila ndoa haisaidii ni kheri kuishi na baraka za ndoa.
 
Hata mkiishi bila ndoa haisaidii ni kheri kuishi na baraka za ndoa.


Kuishi na baraka za ndoa ili muda mfupi tufe??!!🤣--- loo madam hapo hupati mtu!!, labda ubadilishe tune au uongeze maneno ya faraja kwenye hicho kifungu.

Mfano ongeza maneno haya; " dua na maombi kwa Mungu yanaweza kuepusha kifo kwa mmoja wenu, kwani Mungu anaweza".🤣

It seems that you are a fortuneteller, aren't you??
 
Kuishi na baraka za ndoa ili muda mfupi tufe??!!🤣--- loo madam hapo hupati mtu!!, labda ubadilishe tune au uongeze maneno ya faraja kwenye hicho kifungu.

Mfano ongeza maneno haya; " dua na maombi kwa Mungu yanaweza kuepusha kifo kwa mmoja wenu, kwani Mungu anaweza".🤣

It seems that you are a fortuneteller, aren't you??
I’m not a fortune teller but I know finding happiness in this world is not easy. Mara nyingi waliofiwa wanakuambia she was or he was the love of my life.
 
Naam, ku express ubinadamu bila kukufuru hilo sio kosa, Yesu aliposema; "Ewe Mungu mbona unaniacha"--- kwa maneno hayo ka express ubinadamu wake na hajakufuru, kwa maneno mengine Yesu kuna msaada aliahidiwa na Mungu kuupata pale msalabani lakini kwa uchungu wa mateso kibinadamu aliona msaada unachelewa (the law of relativity), hapo hakuna kufuru.

Chukua mifano hii; 1--- Mzazi kamuahidi mwanaye zawadi na muda umepita na mtoto uvumilivu umemshinda na anamwambia mzazi; "Baba mbona hunipi zawadi??", hapo sio kukosa heshima, 2---lakini ikitokea siku moja mtoto akamuuliza baba; "Je Baba ulikosa mke ndipo ukamuoa mama ??"--- hilo ni swali lisilo na heshima na adabu kwani hapo mtoto anamkosoa Baba, Baba kama ni mwerevu anaweza kumjibu mojawapo ya majibu kama hili; " "Nilimuoa mama yako ili nikupate mpumbavu wewe"🤣.

Kwahiyo kuna maswali na hoja za kibinadamu na kuna shutuma na ukosoaji wa kibinadamu ambayo ni makosa na yakielekezwa kwa Mungu hapo ni kufuru na dhambi.

Mimi ni Muisilamu.
hiyo line ya mwisho 😂😂😂

sawa mkuu nimekuelewa
 
Back
Top Bottom