Dunia ni nyumba ya mafunzo

Dunia ni nyumba ya mafunzo

INJECTION TECHNICIAN

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2020
Posts
356
Reaction score
794
Yalotokea kwa huyu kiongozi wa equatorial ni ya kujifunza

Hii haki sawa kwa wanawake mwisho wake NI huko kujirahisisha

Kama unauwezo wa kuoa na kuitunza familia japo kwa Milo miwili kwa siku usiruhusu mwanamke atoke nje ya lengo ulomletea kwako muweke nyumban alee watoto na wajibu wake wa kutunza mji wewe usimame Kama baba tofauti na hivyo ni kutia mkono kizani
Unakuta mjuba usiku mmelala mzungu wa nne asubuhi mke anampelekea bosi wake kipochi manyoya walivyokuwa wa hovyo wengine hata vyupi hawavai anabinuliwa kila staili Kama mcheza ex


NIMESHANGAA SANA MWANAUME MMOJA KATEMBEA NA WANAWAKE 400+ HALAFU TOFAUTI TOFAUTI BADO JAMBO LA KUFIKIRIKA SANA
 

Attachments

  • Screenshot_20241106-151411_1.jpg
    Screenshot_20241106-151411_1.jpg
    367.8 KB · Views: 7
Yalotokea kwa huyu kiongozi wa equatorial ni ya kujifunza

Hii haki sawa kwa wanawake mwisho wake NI huko kujirahisisha

Kama unauwezo wa kuoa na kuitunza familia japo kwa Milo miwili kwa siku usiruhusu mwanamke atoke nje ya lengo ulomletea kwako muweke nyumban alee watoto na wajibu wake wa kutunza mji wewe usimame Kama baba tofauti na hivyo ni kutia mkono kizani
Unakuta mjuba usiku mmelala mzungu wa nne asubuhi mke anampelekea bosi wake kipochi manyoya walivyokuwa wa hovyo wengine hata vyupi hawavai anabinuliwa kila staili Kama mcheza ex


NIMESHANGAA SANA MWANAUME MMOJA KATEMBEA NA WANAWAKE 400+ HALAFU TOFAUTI TOFAUTI BADO JAMBO LA KUFIKIRIKA SANA
Jamaa ni mchafu mpaka kwa mke wa kaka yake, hana heshima amekosa adabu kabisa, wapo watakao msifia ni mwamba lakini ni mpumbavu asiye na akili, labda tuulizane hapa ni kweli ametembea na wanawake 400, amepata faida gani?? hatapata na kaka yake tena kwa sababu ya huo upumbavu wake, hakuna ndugu wa familia atakuwa upande wake, ametengeneza mpasuko mkubwa kwa mke wake na watoto wake, ataishi kwa upweke sana hata kama hatatiwa hatiani, rafiki zake watamkwepa, wakimhofia asijetembea na wake zao, atakuwa mpweke, wana watakimbia na kibarua atapoteza, kiufupi ameharibu sana
 
Jamaa ni mchafu mpaka kwa mke wa kaka yake, hana heshima amekosa adabu kabisa, wapo watakao msifia ni mwamba lakini ni mpumbavu asiye na akili, labda tuulizane hapa ni kweli ametembea na wanawake 400, amepata faida gani?? hatapata na kaka yake tena kwa sababu ya huo upumbavu wake, hakuna ndugu wa familia atakuwa upande wake, ametengeneza mpasuko mkubwa kwa mke wake na watoto wake, ataishi kwa upweke sana hata kama hatatiwa hatiani, rafiki zake watamkwepa, wakimhofia asijetembea na wake zao, atakuwa mpweke, wana watakimbia na kibarua atapoteza, kiufupi ameharibu sana
Huyo anaweza potezwa na wahanga wa hii skendo.
 
Jamaa ni mchafu mpaka kwa mke wa kaka yake, hana heshima amekosa adabu kabisa, wapo watakao msifia ni mwamba lakini ni mpumbavu asiye na akili, labda tuulizane hapa ni kweli ametembea na wanawake 400, amepata faida gani?? hatapata na kaka yake tena kwa sababu ya huo upumbavu wake, hakuna ndugu wa familia atakuwa upande wake, ametengeneza mpasuko mkubwa kwa mke wake na watoto wake, ataishi kwa upweke sana hata kama hatatiwa hatiani, rafiki zake watamkwepa, wakimhofia asijetembea na wake zao, atakuwa mpweke, wana watakimbia na kibarua atapoteza, kiufupi ameharibu sana
Kwa Hilo upo sahihi mkuu
 
Yalotokea kwa huyu kiongozi wa equatorial ni ya kujifunza

Hii haki sawa kwa wanawake mwisho wake NI huko kujirahisisha

Kama unauwezo wa kuoa na kuitunza familia japo kwa Milo miwili kwa siku usiruhusu mwanamke atoke nje ya lengo ulomletea kwako muweke nyumban alee watoto na wajibu wake wa kutunza mji wewe usimame Kama baba tofauti na hivyo ni kutia mkono kizani
Unakuta mjuba usiku mmelala mzungu wa nne asubuhi mke anampelekea bosi wake kipochi manyoya walivyokuwa wa hovyo wengine hata vyupi hawavai anabinuliwa kila staili Kama mcheza ex


NIMESHANGAA SANA MWANAUME MMOJA KATEMBEA NA WANAWAKE 400+ HALAFU TOFAUTI TOFAUTI BADO JAMBO LA KUFIKIRIKA SANA
Mwamba anakunywa chai.
 
Ni huzuni sana. Wengi hii kitu imetusikitisha na kwakwel ndoa nyingi zitatikisika.majeraha ya wengi na makovu yalioanza kupona yataanza htena kuuma.
Kwakifupi jamaa katumika vizur sana kuumiza watu na wake zao afrika nzima
 
Mnakuza sana hili suala la me kugegeda na wanaume wengine. Wivu wakijinga huo.
Wacha mkeo akaenjoy de liboloz zingine huko nje maisha ni haya haya
 
Jamaa ni mchafu mpaka kwa mke wa kaka yake, hana heshima amekosa adabu kabisa, wapo watakao msifia ni mwamba lakini ni mpumbavu asiye na akili, labda tuulizane hapa ni kweli ametembea na wanawake 400, amepata faida gani?? hatapata na kaka yake tena kwa sababu ya huo upumbavu wake, hakuna ndugu wa familia atakuwa upande wake, ametengeneza mpasuko mkubwa kwa mke wake na watoto wake, ataishi kwa upweke sana hata kama hatatiwa hatiani, rafiki zake watamkwepa, wakimhofia asijetembea na wake zao, atakuwa mpweke, wana watakimbia na kibarua atapoteza, kiufupi ameharibu sana
Jamaa ana pakukimbilia kanisani kaharibu,Serikalini kaharibu na Home kaharibu ni zaid ya gaid.
 
Ni suala tu la muda kabla ya kusikia taarifa ya kifo chake. Maana hataweza kuishi maisha ya upweke baada ya kutengwa na kila mtu.
 
Acha wivu wewe ataishi vizuri tu
sio wivu ni upumbavu, nani atapenda aishi naye kwa uchafuzi huo?

1. Mke mpka sasa anaona anaishi na shetani, wanawake 400 na record hapo huwezi sema nilipitiwa, kupitiwa ukajirecord kabisa??

2. Watoto hawatamuelewa baba yao,

3. Hao wanaume aliowalia wake zao hawatamuacha amewaaibisha kwa kujifanya yeye kidume kuliko wao, hana bahati huyo

4. wanawake aliofanya nao hakuna atakayempenda tena maana wako kwenye aibu kuu, wengine wameshapoteza ndoa, maisha na kazi yenyewe, chuki ni kubwa ijapokuwa wanaonyesha kwenye video walifurahia hicho kitendo
 
Yalotokea kwa huyu kiongozi wa equatorial ni ya kujifunza

Hii haki sawa kwa wanawake mwisho wake NI huko kujirahisisha

Kama unauwezo wa kuoa na kuitunza familia japo kwa Milo miwili kwa siku usiruhusu mwanamke atoke nje ya lengo ulomletea kwako muweke nyumban alee watoto na wajibu wake wa kutunza mji wewe usimame Kama baba tofauti na hivyo ni kutia mkono kizani
Unakuta mjuba usiku mmelala mzungu wa nne asubuhi mke anampelekea bosi wake kipochi manyoya walivyokuwa wa hovyo wengine hata vyupi hawavai anabinuliwa kila staili Kama mcheza ex


NIMESHANGAA SANA MWANAUME MMOJA KATEMBEA NA WANAWAKE 400+ HALAFU TOFAUTI TOFAUTI BADO JAMBO LA KUFIKIRIKA SANA
CHa ajabu nini?
 
Hili jambo ni kuomba Mwenyezi Mungu akujalia Mwanamke mwenye hofu ya Mungu na hekima.
Kuna wanawake ni mama wa nyumbani ila ni wachepukaji wa hatari. Wewe ukienda kazini mwenzio anatumia hata nusu saa kuchepuka.
Ukikaa na bodaboda ama wahudumu wa lodge watakupa siri nyingi.
 
Back
Top Bottom