Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri.Mtoa maada msaada plz!!
Hatma yangu naijua na naitekeleza vizur tu, shukran kwa mwenyenz Mungu..kipawa nimepewa Cha biashara nipo na biashara mbili zote zina fanya kazi katika mazingira tofauti.. tatizo langu sijui nistick na biashara ipi kati ya hzi!!
Biashara ya kwanza.. nakopesha mikopo, ni biashara naipenda zaidi katika ulimwengu huu..nipo na ofisi na wafanyakaz watatu na vibali vya serikali...
Biashara hii natumia nguvu kubwa sana kuifanya iendelee sababu naipenda toka ndani yangu, nguvu kubwa nayotumia ni ikiwepo kukwepa baadhi ya Kodi za serikali na kukopesha kwa riba tofauti na Ile ya muongozo wa B.o.t ,pia napambana sana dhidi ya wakopaji wadhulumaji mara kadhaa nadhulumiwa but biashara inaendelea..
Inanipa matokea but nawaza sana daily in a long run ntatumia hii nguvu kuiendesha hadi lini??na naipenda sana hii biashara..
Biashara ya pili..nauza nguo za ndani za wanawake na watoto..umo yupo wife na mabinti kadhaa na vijana kadhaa .. biashara hii siipend toka moyon mwangu but ni biashara inayonipa matokeo bila kutumia nguvu(labda sabb mm siendi uko masokoni hvo naona situmii nguvu sabb nasubir tu mauzo yaletwe)
biashara hii nafanya kama buckup ya Ile ya mikopo chochote kikitokea Kule natoa pesa uku napeleka Kule sabb Ile naipenda toka moyoni..
Asa nimefika hatua nataka kufocus na biashara Moja kama njia ya kuelekea kwenye hatma yangu..je kwa maelezo hayo ya juu juu mtoa maada waona ni ipi biashara inayofungamana na mimi..au je kuna uwezekano wa mtu kuwa na fungamano na biashara zaid ya Moja kuelekea hatma yake??
Je kukwepa Kodi za serikali na kubadili viwango vya riba vilivyowekwa na b.o.t katika biashara inayofungamana na ww ni sahihi? Yaan ni changamoto katika biashara!!? ama naforce biashara nayoipenda but haifungamani na Mimi??
Thanks 🙏 🙏 🙏
Asante kwa ufafanuzi!!!🙏🙏🙏🙏Swali zuri.
Biashara hizi mbili ziko kwenye category tofauti hili kwanza unatakiwa ulielewe.
Lakini pia ni kweli mtu anaweza akawa anafungamana na biashara zaidi ya moja ila ni lazima biashara hizi ziwe zinatoka kwenye Ile asili yake.
Na kuhusu wewe kufanikiwa kwenye hiyo biashara ya nguo inawezekana kabisa unafanikiwa kwa sababu unatumia mgongo wa huyo mkeo, yaani yeye ndio anafungamana na hicho mnachojifanya moja kwa moja au na wewe pia yawezekana asiLi yako iko huko ila bado haujajua.
Na wewe na hiyo biashara unayoipenda sana inawezekana ikawa ndio biashara inayofungamana na wewe ila unatumia nguvu kwa sababu bado haujaitengenezea mfumo mzuri wa kuifanya kiurahisi au ikawa ni biashara isiyofungamana na wewe ila ni vile tu mazingira yamekutengeneza kuona kama ndio yenyewe.
Mazingira yako na kawaida ya kutengeneza hatima za watu kwamfano kama umezaliwa kwenye familia ambayo kaka yako wa kwanza ni mchezaji mpira mzuri na wewe ukawa unatumia muda mwingi kuwa nae na unaona vile anapay bills hapo nyumbani basi automatic na wewe utaanza kurise interest kwenye huo upande na utajikuta hadi moyoni unatamani kuwa kama huyo kaka yako, na hii huwa inaendaga hata kwenye maswala ya elimu Kwa maana ya kwamba yule mtoto wa kwanza kwenye familia kama alibahatika kufika chuo kikuu basi kile akichosomea huwa kinakua ndani ya vichwa vya wadogo zake wengine ambao wako shuleni bado, Kwa hiyo kama ni udaktari au uhandisi basi wanajikuta kwenye familia nusu ya watoto wanaangukia kwenye huo upande hata Kwa kufosi.
Na Kwa case hii sio tu kwenye familia ila pia hata marafiki waliotuzunguka nao huwa wanachangia sana kutuingiza kwenye aina hii ya mtego.
Sasa basi, Kwa case yako hii...
Ili tuweze kuwa na uhakika juu ya hili inabidi unitafute tupige story angalau siku mbili tatu... story tu za kawaida baada ya hapo nitakupa jibu la moja kwa moja kwamba hiyo ndio au sio na kama ndio basi tutafanya mazungumzo kuanzia hapo Ili kuona namna ambavyo unaweza kuifanya bila kutumia nguvu kubwa na stress.
NB:
Kuigundua biashara ya hatma yako haimaanishi kwamba hautotumia nguvu wakati unapoenda kuianza hiyo biashara, ni lazima kuna nguvu fulani uiweke kwanza kwa maana sababu ya wewe kuanza hiyo biashara haitakua sababu ya wateja kuja kukuungisha.
Lakini pia unapoanzisha biashara hakuna mtu yeyote ambae atakua anajua kwamba sehemu fulani yupo mtu fulani ambae ame fungua biashara fulani ila watajua pale tu utakapowajulisha.
Biashara ni dunia ndani ya dunia na moja kati ya sheria kuu ndani ya dunia ya Biashara ni kusaidiana na mtu wa kwanza ambae anatakiwa aoneshe nia ya dhati ya kuanza kumsaidia mwenzake ni wewe uliyeona mtu fulani yuko na tatizo fulani ambalo utatuzi wake ni hiI bidhaa au huduma niliyo nayo mimi (na hapa ndipo ambapo kuna kazi na nguvu kidogo lazima itumike ili kulifanya hili lieleweke).
Lakini pia niliwaambia kwamba kwenye hizi biashara zihusuzo hatima huwa zipo biashara ambazo hazimkatai mtu yaani ni biashara ambazo mtu wa asili yoyote anaweza kuzifanya na akapata matokeo, na nilisema nitakuja na uzi kuzioodhesha biashara za namna hii ila pia hii biashara unayoifanya wewe ni moja kati ya biashara ambazo zinaangukia kwenye category hiyo. (Kwa maana hii ni biashara ya pesa Kwa pesa).
Natumai mko salama.
Kama kichwa cha habari kinavyosema kwamba dunia ni uwanja wa vita za hatima kwahiyo kila mtu ambae yuko hapa duniani anapaswa kujua kwamba yuko vitani na swala la kushinda au kushindwa ni juu ya mtu mwenyewe.
Sasa iko hivi...
Kimsingi ni kwamba kila mwanadamu ambae yuko kwenye hii dunia hayupo hapa kwa bahati mbaya na inawezekana wazazi waliomzaa mtu huyo wanaamini wamemleta huyo mtu hapa duniani kibahati mbaya ila kiroho hakuna kitu kinachoitwa bahati mbaya.
Maadam umezaliwa na uko hapa duniani basi kaa ukijua kuna mission unatakiwa uitimize na hii mission ndio ambayo tunaita hatima na pindi utakapoitimiza mission hiyo basi hapo ndio utakapopata uhuisho wa roho yako na kuifanya iwe hai milele na roho ambayo iko hai ndio roho ambayo husikia inaposemeshwa na ndio maana katika asili za kiafrika hasa hapa nyumbani Tanzania unakutana na kitu kinaitwa mizimu.
Sasa mizimu ni nini? Mizimu ni roho ambazo ziliishi kwenye milli ya watu fulani kwa uadilifu kwa maana ziliweza kujua zipo hapa duniani kwa lengo gani yaani hatima yao na wakapigana vita ya kuiendea hiyo hatima na wakafanikiwa kwa kiasi kikubwa na pindi deadline yao ya kuishi hapa duniani ilipofika zile roho zao ziliweza kuuhishwa na kupata uzima wa milele.
Kwahiyo Sasa katika ile mitetemo ya mfumo nyota ya koo na koo ukiweza kujiungamanisha kiroho na roho za babu ambao unawajua walikua manguli katika upande wa kutibu au kwenye jambo lolote lile ambalo lilikua hatima ya babu huyo ila ilimradi tu uwe na uhakika kwamba alifanya kweli makubwa na sifa zake hadi leo bado zipo hapo kijijini basi ukijiungamanisha tu na roho za watu wa namna hii huwa zinasikia na zinatoa majibu papo kwa hapo.
Nimesema uwe na uhakika kwasababu usije ukaenda kujiungamanisha na mtu ambae huna uhakika nae na ukaenda kuvaa roho za ajabu zikakutesa kwenye maisha yako na hapa ndipo ambapo watu wengi wanachukia haya mambo ya mizimu kwasababu huwa ni ngumu kujua babu yako mzaa babu yako alichokifanya kama kilisaidia kuongeza positive energy hapa duniani au laa (hapa nitapazungumzia vizuri huko mbele na utajua kwanini watu wanakimbilia kwa Yesu au Muhammad huku wakiacha mizimu ya babu zao kule kijijini).
Kwasasa turudi hapa kidogo...
Kikawaida binadamu huwa yuko na pande kuu mbili yaani ya damu na nyama na ya kiroho.
Upande wa kiroho ndio Upande ambao umembeba mtu halisi na ndio upande ambao unamuunganisha mtu na ulimwengu wa asili yake na upande huu huu unapokuwa hapa duniani huwa unatumika kama redio call na kwanini kama radio call basi nitakwenda kukuelezea hapo mbele kidogo. Na upande wa damu na nyama ndio upande ambao unamuunganisha mtu na ulimwengu huu wa vita za hatima.
Wakati mtu anapozaliwa huwa anakua anaishi zaidi kwenye ulimwengu wa kiroho kuliko ulimwengu huu wa damu na nyama ila kadri anavyokua na kujifunza mambo mapya ile mitetemo yake ya ulimwengu wa asili yake inapungua na ya ulimwengu huu inaongezeka hadi kufikia kwenye ukubwa toshelezi na hapa ndio mtu anaanza kuishi maisha ya ulimwengu huu wa damu na nyama na kusahau namna ya kuishi ulimwengu wa kiroho.
Na kutokana na kwamba binadamu anaishi zaidi katika ulimwengu wa damu na nyama kuliko ulimwengu wa kiroho hii imefanya wengi wetu tushindwe kuelewa lengo na dhumuni la sisi kuwa hapa duniani na badala yake tunaishi kulingana na mfumo wa kidunia na kushindwa kuelewa hatima zetu ni nini.
Na kitu cha kikuu na chaumuhimu zaidi kuhusu hatima ni kwamba kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako na vitu vyote ambavyo unapaswa kuvimiliki hapa duniani vipo kwenye hatima yako.
Kwahiyo watu wote ambao wanaziendea njia za hatima yao iwe kwa kujua au kwakutokujua huwa hawahangaiki kwenye swala la fedha kama ambavyo watu wanaoishi kwenye maisha yaliyo nje ya hatima zao hufanya.
Na ninaposema hatima kuna watu wanadhani nazungumzia kitu fulani ambacho ni maalumu sana yaani kitu ambacho hakiwezekani kugundulika kirahisi raising hivi, ila naomba nikutoe wasiwasi na nikwambie tu kwamba hakuna umaalumu wowote kwenye hatima kwasababu hatima ni mambo yote ambayo yanaweza kufanyika hapa duniani ili kuongeza nguvu chanya na kuifanya dunia iwe sehemu salama.
Kwa maana hiyo kuna watu hatima zao ni kuburudisha na kuna watu hatima zao ni kuvumbua mambo kadha wa kadha na kuna watu hatima zao ni kutibu watu wengine na kuna watu hatima zao ni kufundisha mambo mbalimbali na kadhalika.
Na ili uweze kufikia hatima yako lazima upite kwenye njia fulani na hiyo njia ndio huwa tunaiita kipawa au kipaji.
Ndio, ni kipaji kwahiyo wala usishtuke kwasababu hata wewe unachokipaji ambacho ukikitumia kitakupeleka moja kwa moja kwenye hatima yako na mara tu utakapofika kwenye hatima yako basi watu wote watajua kwamba yupo au alikuwepo mtu fulani ambae alifanya makubwa sana kwenye mambo haya ya burudani hasa upande huu wa mpira na mtu huyo aliitwa Leonel Messi au Christiano Ronaldo.
Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye mambo haya ya uvumvuzi wa mambo ya kisayansi ambae aliitwa Isaac Newton.
Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye haya mambo ya muziki wa rege ambae aliitwa Bob Marley.
Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye upande wa mashoati na movie za kupigana za karate aliitwa Blue Lee.
Kwahiyo hii inakwenda zaidi na zaidi na kuwafikia vizazi na vizazi huku wakiishi na kuutukuza ufalme wako kwenye upande huo wa hatima yako bila kujali mwaka ambao deadline yako ilifika na wewe kurudi kwenye ulimwengu wa asili yako huku roho yako ikiuhishwa na kupata uzima wa milele.
Na lazima ujue pia kwamba ukubwa wa hatima baina ya mtu na mtu huwa umetofautiana yaani kuna watu wamebeba hatima za kidunia ila wapo waliobeba hatima za kibara na wapo waliobeba za kiukanda lakini pia wapo waliobeba za kinchi na wapo waliobeba hatima za kimkoa, kijiji, kiukoo na kifamilia.
Ili ujue hatima yako ni ya ukubwa gani basi mambo utakayoyafanya kiwepesi sana yaani bila kutumia nguvu utaona yanaenda yanafika kwenye ngazi fulani ila utakapotaka uvuke hiyo ngazi uende ngazi nyingine utaona unatumika nguvu kubwa sana lakini matokeo yake hayawi kama pale awali ambapo ulikua hautumii nguvu nyingi ila mambo yalikua yanaenda parefu, hapo unatakiwa ujue kwamba wewe ukubwa wa hatima yako mwisho wake ni hapo.
Na hapa najua umeanza kunielewa pia ninaposema kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako na pindi utakapoigundua hatima yako na kuifuata ile njia inayoelekea huko basi moja kwa moja utaanza kuona wepesi wa mambo katika upande wa umiliki wa fedha na Mali.
Kwahiyo kumbe mateso ambayo watu wengi wanayapata kwenye upande wa kifedha huwa sababu moja wapo ni kuishi maisha yaliyo nje ya hatima zao na hii hufanya watumie nguvu sana kwenye swala la utafutaji huku wakiambulia kidogo kisicholingana na nguvu walizotumia.
Na unakutana na mtu anasali sana lakini bado mambo hayakai kwenye line, na hii sio kwasababu maombi yako hayafiki kule lahasha maombi yako yanafika ila nimekwambia kila roho iko na codes na hizi codes ndio hatima yako iko humo ndani na Kimsingi ulimwengu wa juu haukutambui wewe kwa sura na umbo lako la damu na nyama ila unakutambua wewe kwa codes zilizopo rohoni mwako, kwahiyo unavyoomba ile mitetemo inaenda moja kwa moja hadi kwenye ule mfumo nyota wa asili yako na majibu yanaporudi yanarudi kwakufuata ile code ambayo ipo ndani ya roho zako kwa maana hiyo kama maombi ni kubarikiwa kwenye utafutaji wako baraka itaongezwa kwenye ile hatima iliyopo ndani yako.
Kwahiyo ikiwa wewe hatima yako ni udaktari halafu ukashindwa kuifuata hatima hiyo na ukaamua uende upande mwingine labda wa ujenzi na mambo yakakuwia magumu huko hadi kufikia hatua ya kupiga goti chini ili ujiungamanishe mitetemo ya mfumo nyota ya asili yako basi kuwa na hakika kwamba maombi yako yatafika na majibu yatarudi ila wewe utakua unapishana mwenyewe, yenyewe yanaenda kwenye afya wewe upo kwenye ujenzi.
Sasa hili ndio lengo la uumbaji, ni kwamba roho ilitengenezwa kwa codes na kila kitu kikawa kimewekwa ndani yake kisha unaletwa hapa duniani na unapumbazwa na mambo ya dunia hadi unasahau roho yako imebeba kitu gani maalumu na chaupekee ambacho unatakiwa kukifanya ili uweze kuongeza nguvu za mitetemo chanya itakayosaidia kuifanya dunia kuwa sehemu salama.
Na ukumbuke kwamba kwenye kila hatima iliyopo ndani ya mtu huwa imewekwa na deadline yake na hiyo deadline ikifika basi muhusika anarudi kwenye ulimwengu wa asili yake yaani anakufa kama mnavyosemaga.
Sasa mpumbazo huu wa dunia ukikukumba kwa kiasi kikubwa na ikapelekea ukaenda hadi siku ya deadline yako, basi hapo ndio utakua upande wa zile mbegu ambazo si bora na mbegu ambayo si bora huwa mkulima anakua na option mbili either aitupe au aipe nafasi ya pili.
Ikitupwa haitoonekana tena shambani milele na milele ila ikipewa nafasi ya pili basi mkulima atajaribu kuipanda tena ili aone kama italeta matunda au laa na ndio hapa Sasa unakutana na roho ambazo zipo kwenye miili ya watu ila roho hizo zilishawahi kuwa hapa duniani hapo kabla (watu wenye roho za namna hii wapo wengi tu).
Ngoja leo niishie hapa kwanza ila nimeanzia huku mbali kidogo ili nitakapounganisha ili niweze kukuelezea ni kwanamna gani dunia ni uwanja wa vita za hatima uweze kunielewa vizuri.
Siamini kwenye Moto wa milele na haupo huo Moto unaosemwa na watu.Thecoder, unaamini juu ya uwepo wa moto wa milele? Maana kunamahala unasema roho zitakazotimiza hatma zitapata uzima wa milele na zile zisizotimiza zitazikwa, naomba ufafanuzi
tunakipata vp hichi kitabu soft copy..VIPAWA VYA HATIMA
sawa..na vp hii Dunia ni uwanja wa vita muendelezo wake ndio imeisha au ni mda mrefu sana umepita huko telegram vitabu kwa lugha ya kiingereza si wote wataelewa kuliko ww ulivyopost hapa...fanya muendelezo mkuuTelegram kuna channel ya vitabu inaitwa alive online library... nenda hapo utakikuta.
Hiko ni chakiswahili sio kingereza na muendelezo nitauweka coz huu ni uzi ambao nitakua naweka mambo yote yanayohusiana na maswala hayo.sawa..na vp hii Dunia ni uwanja wa vita muendelezo wake ndio imeisha au ni mda mrefu sana umepita huko telegram vitabu kwa lugha ya kiingereza si wote wataelewa kuliko ww ulivyopost hapa...fanya muendelezo mkuu
Kitabu hicho uliandika wewe?VIPAWA VYA HATIMA
Jamani mlioelewa njooni mnieleweshe.Natumai mko salama.
Kama kichwa cha habari kinavyosema kwamba dunia ni uwanja wa vita za hatima kwahiyo kila mtu ambae yuko hapa duniani anapaswa kujua kwamba yuko vitani na swala la kushinda au kushindwa ni juu ya mtu mwenyewe.
Sasa iko hivi...
Kimsingi ni kwamba kila mwanadamu ambae yuko kwenye hii dunia hayupo hapa kwa bahati mbaya na inawezekana wazazi waliomzaa mtu huyo wanaamini wamemleta huyo mtu hapa duniani kibahati mbaya ila kiroho hakuna kitu kinachoitwa bahati mbaya.
Maadam umezaliwa na uko hapa duniani basi kaa ukijua kuna mission unatakiwa uitimize na hii mission ndio ambayo tunaita hatima na pindi utakapoitimiza mission hiyo basi hapo ndio utakapopata uhuisho wa roho yako na kuifanya iwe hai milele na roho ambayo iko hai ndio roho ambayo husikia inaposemeshwa na ndio maana katika asili za kiafrika hasa hapa nyumbani Tanzania unakutana na kitu kinaitwa mizimu.
Sasa mizimu ni nini? Mizimu ni roho ambazo ziliishi kwenye milli ya watu fulani kwa uadilifu kwa maana ziliweza kujua zipo hapa duniani kwa lengo gani yaani hatima yao na wakapigana vita ya kuiendea hiyo hatima na wakafanikiwa kwa kiasi kikubwa na pindi deadline yao ya kuishi hapa duniani ilipofika zile roho zao ziliweza kuuhishwa na kupata uzima wa milele.
Kwahiyo Sasa katika ile mitetemo ya mfumo nyota ya koo na koo ukiweza kujiungamanisha kiroho na roho za babu ambao unawajua walikua manguli katika upande wa kutibu au kwenye jambo lolote lile ambalo lilikua hatima ya babu huyo ila ilimradi tu uwe na uhakika kwamba alifanya kweli makubwa na sifa zake hadi leo bado zipo hapo kijijini basi ukijiungamanisha tu na roho za watu wa namna hii huwa zinasikia na zinatoa majibu papo kwa hapo.
Nimesema uwe na uhakika kwasababu usije ukaenda kujiungamanisha na mtu ambae huna uhakika nae na ukaenda kuvaa roho za ajabu zikakutesa kwenye maisha yako na hapa ndipo ambapo watu wengi wanachukia haya mambo ya mizimu kwasababu huwa ni ngumu kujua babu yako mzaa babu yako alichokifanya kama kilisaidia kuongeza positive energy hapa duniani au laa (hapa nitapazungumzia vizuri huko mbele na utajua kwanini watu wanakimbilia kwa Yesu au Muhammad huku wakiacha mizimu ya babu zao kule kijijini).
Kwasasa turudi hapa kidogo...
Kikawaida binadamu huwa yuko na pande kuu mbili yaani ya damu na nyama na ya kiroho.
Upande wa kiroho ndio Upande ambao umembeba mtu halisi na ndio upande ambao unamuunganisha mtu na ulimwengu wa asili yake na upande huu huu unapokuwa hapa duniani huwa unatumika kama redio call na kwanini kama radio call basi nitakwenda kukuelezea hapo mbele kidogo. Na upande wa damu na nyama ndio upande ambao unamuunganisha mtu na ulimwengu huu wa vita za hatima.
Wakati mtu anapozaliwa huwa anakua anaishi zaidi kwenye ulimwengu wa kiroho kuliko ulimwengu huu wa damu na nyama ila kadri anavyokua na kujifunza mambo mapya ile mitetemo yake ya ulimwengu wa asili yake inapungua na ya ulimwengu huu inaongezeka hadi kufikia kwenye ukubwa toshelezi na hapa ndio mtu anaanza kuishi maisha ya ulimwengu huu wa damu na nyama na kusahau namna ya kuishi ulimwengu wa kiroho.
Na kutokana na kwamba binadamu anaishi zaidi katika ulimwengu wa damu na nyama kuliko ulimwengu wa kiroho hii imefanya wengi wetu tushindwe kuelewa lengo na dhumuni la sisi kuwa hapa duniani na badala yake tunaishi kulingana na mfumo wa kidunia na kushindwa kuelewa hatima zetu ni nini.
Na kitu cha kikuu na chaumuhimu zaidi kuhusu hatima ni kwamba kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako na vitu vyote ambavyo unapaswa kuvimiliki hapa duniani vipo kwenye hatima yako.
Kwahiyo watu wote ambao wanaziendea njia za hatima yao iwe kwa kujua au kwakutokujua huwa hawahangaiki kwenye swala la fedha kama ambavyo watu wanaoishi kwenye maisha yaliyo nje ya hatima zao hufanya.
Na ninaposema hatima kuna watu wanadhani nazungumzia kitu fulani ambacho ni maalumu sana yaani kitu ambacho hakiwezekani kugundulika kirahisi raising hivi, ila naomba nikutoe wasiwasi na nikwambie tu kwamba hakuna umaalumu wowote kwenye hatima kwasababu hatima ni mambo yote ambayo yanaweza kufanyika hapa duniani ili kuongeza nguvu chanya na kuifanya dunia iwe sehemu salama.
Kwa maana hiyo kuna watu hatima zao ni kuburudisha na kuna watu hatima zao ni kuvumbua mambo kadha wa kadha na kuna watu hatima zao ni kutibu watu wengine na kuna watu hatima zao ni kufundisha mambo mbalimbali na kadhalika.
Na ili uweze kufikia hatima yako lazima upite kwenye njia fulani na hiyo njia ndio huwa tunaiita kipawa au kipaji.
Ndio, ni kipaji kwahiyo wala usishtuke kwasababu hata wewe unachokipaji ambacho ukikitumia kitakupeleka moja kwa moja kwenye hatima yako na mara tu utakapofika kwenye hatima yako basi watu wote watajua kwamba yupo au alikuwepo mtu fulani ambae alifanya makubwa sana kwenye mambo haya ya burudani hasa upande huu wa mpira na mtu huyo aliitwa Leonel Messi au Christiano Ronaldo.
Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye mambo haya ya uvumvuzi wa mambo ya kisayansi ambae aliitwa Isaac Newton.
Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye haya mambo ya muziki wa rege ambae aliitwa Bob Marley.
Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye upande wa mashoati na movie za kupigana za karate aliitwa Blue Lee.
Kwahiyo hii inakwenda zaidi na zaidi na kuwafikia vizazi na vizazi huku wakiishi na kuutukuza ufalme wako kwenye upande huo wa hatima yako bila kujali mwaka ambao deadline yako ilifika na wewe kurudi kwenye ulimwengu wa asili yako huku roho yako ikiuhishwa na kupata uzima wa milele.
Na lazima ujue pia kwamba ukubwa wa hatima baina ya mtu na mtu huwa umetofautiana yaani kuna watu wamebeba hatima za kidunia ila wapo waliobeba hatima za kibara na wapo waliobeba za kiukanda lakini pia wapo waliobeba za kinchi na wapo waliobeba hatima za kimkoa, kijiji, kiukoo na kifamilia.
Ili ujue hatima yako ni ya ukubwa gani basi mambo utakayoyafanya kiwepesi sana yaani bila kutumia nguvu utaona yanaenda yanafika kwenye ngazi fulani ila utakapotaka uvuke hiyo ngazi uende ngazi nyingine utaona unatumika nguvu kubwa sana lakini matokeo yake hayawi kama pale awali ambapo ulikua hautumii nguvu nyingi ila mambo yalikua yanaenda parefu, hapo unatakiwa ujue kwamba wewe ukubwa wa hatima yako mwisho wake ni hapo.
Na hapa najua umeanza kunielewa pia ninaposema kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako na pindi utakapoigundua hatima yako na kuifuata ile njia inayoelekea huko basi moja kwa moja utaanza kuona wepesi wa mambo katika upande wa umiliki wa fedha na Mali.
Kwahiyo kumbe mateso ambayo watu wengi wanayapata kwenye upande wa kifedha huwa sababu moja wapo ni kuishi maisha yaliyo nje ya hatima zao na hii hufanya watumie nguvu sana kwenye swala la utafutaji huku wakiambulia kidogo kisicholingana na nguvu walizotumia.
Na unakutana na mtu anasali sana lakini bado mambo hayakai kwenye line, na hii sio kwasababu maombi yako hayafiki kule lahasha maombi yako yanafika ila nimekwambia kila roho iko na codes na hizi codes ndio hatima yako iko humo ndani na Kimsingi ulimwengu wa juu haukutambui wewe kwa sura na umbo lako la damu na nyama ila unakutambua wewe kwa codes zilizopo rohoni mwako, kwahiyo unavyoomba ile mitetemo inaenda moja kwa moja hadi kwenye ule mfumo nyota wa asili yako na majibu yanaporudi yanarudi kwakufuata ile code ambayo ipo ndani ya roho zako kwa maana hiyo kama maombi ni kubarikiwa kwenye utafutaji wako baraka itaongezwa kwenye ile hatima iliyopo ndani yako.
Kwahiyo ikiwa wewe hatima yako ni udaktari halafu ukashindwa kuifuata hatima hiyo na ukaamua uende upande mwingine labda wa ujenzi na mambo yakakuwia magumu huko hadi kufikia hatua ya kupiga goti chini ili ujiungamanishe mitetemo ya mfumo nyota ya asili yako basi kuwa na hakika kwamba maombi yako yatafika na majibu yatarudi ila wewe utakua unapishana mwenyewe, yenyewe yanaenda kwenye afya wewe upo kwenye ujenzi.
Sasa hili ndio lengo la uumbaji, ni kwamba roho ilitengenezwa kwa codes na kila kitu kikawa kimewekwa ndani yake kisha unaletwa hapa duniani na unapumbazwa na mambo ya dunia hadi unasahau roho yako imebeba kitu gani maalumu na chaupekee ambacho unatakiwa kukifanya ili uweze kuongeza nguvu za mitetemo chanya itakayosaidia kuifanya dunia kuwa sehemu salama.
Na ukumbuke kwamba kwenye kila hatima iliyopo ndani ya mtu huwa imewekwa na deadline yake na hiyo deadline ikifika basi muhusika anarudi kwenye ulimwengu wa asili yake yaani anakufa kama mnavyosemaga.
Sasa mpumbazo huu wa dunia ukikukumba kwa kiasi kikubwa na ikapelekea ukaenda hadi siku ya deadline yako, basi hapo ndio utakua upande wa zile mbegu ambazo si bora na mbegu ambayo si bora huwa mkulima anakua na option mbili either aitupe au aipe nafasi ya pili.
Ikitupwa haitoonekana tena shambani milele na milele ila ikipewa nafasi ya pili basi mkulima atajaribu kuipanda tena ili aone kama italeta matunda au laa na ndio hapa Sasa unakutana na roho ambazo zipo kwenye miili ya watu ila roho hizo zilishawahi kuwa hapa duniani hapo kabla (watu wenye roho za namna hii wapo wengi tu).
Ngoja leo niishie hapa kwanza ila nimeanzia huku mbali kidogo ili nitakapounganisha ili niweze kukuelezea ni kwanamna gani dunia ni uwanja wa vita za hatima uweze kunielewa vizuri.