Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Your argument is too subjective , je? Ulifanya research ukapata hizo data?Imekusaidia nn kwenye haya maisha, iwapo ambaye hajasoma ana maisha mazuri kuliko msomi
Labda Kwa Tanzania, hivi unaijua space engineering?Worldwide hii mzee bisha ila ndo ukweli
Sijabisha ila ninahitaji proof ya unayoyasema bila proof zitabaki kuwa hadithi za kusadikika .Worldwide hii mzee bisha ila ndo ukweli
Elimu yetu bado haijatukomboa,,,imekaa kikoloni sana,,hata wasomi wenyewe ndo hivo wapo na mawazo ya kikoloni,,,,,unahangaika ili baadae uje tu kuajiriwa na asipoajiriwa kwake inakua kama ndo mwisho wa duniaUnasoma halafu uanenda kuomba ajira kwenye viwanda vya wahindi na waarabu,tena unakuta dogo wa kiarabu ana miaka 22 tu ndio msimamizi wako anakuamrisha tu.
Nampongeza Transistor yeye kasoma VETA tu lakini kajiajiri
Watanzania tumeathiriwa na umaskini na ukosefu wa ajira tumekuwa wachungu na wenye wivu ,kila kitu lazima tukifikirie kwa upande wa namna kilivokusaidia kiuchumi au lah ,mbona mada kama hizi ni za kawaida kabisa?? Hoja za ubora wa elimu ya tanzania zinatoka wapi? Share experience yako kuhusu ugumu wa kozi ayo mengine hapa sio mahala pake.kuna nyuzi nyingi tu zinajadili hayoElimu yetu bado haijatukomboa,,,imekaa kikoloni sana,,hata wasomi wenyewe ndo hivo wapo na mawazo ya kikoloni,,,,,unahangaika ili baadae uje tu kuajiriwa na asipoajiriwa kwake inakua kama ndo mwisho wa dunia
Tuwekee source ili tuanzie hapoEeeh watu wa mechanical engineering mkae kwa kutulia kozi yenu ni cha mtoto.
EE na tanzu zake kama Electronics, Telecommunucation, Control Engineering, Automation, Computer Engineering na Computer Science ndio kozi jiwe kabisa katika elimu ya juu.
wachungu na wivu wa system za kipuuzi za kikoloni,,,,kwani watu wanapambana kujaza mavyeti ili vije kua mapambo......mapambano ni ya maokotoWatanzania tumeathiriwa na umaskini na ukosefu wa ajira tumekuwa wachungu na wenye wivu ,kila kitu lazima tukifikirie kwa upande wa namna kilivokusaidia kiuchumi au lah ,mbona mada kama hizi ni za kawaida kabisa?? Hoja za ubora wa elimu ya tanzania zinatoka wapi? Share experience yako kuhusu ugumu wa kozi ayo mengine hapa sio mahala pake.kuna nyuzi nyingi tu zinajadili hayo
Si alisoma computer scienceNaomba kuuliza, hivi yeye Bill Gate aliwezaje kugundua haya mambo maana si mnatuambia yeye aligundua microsoft akiwa mtoto mdogo tu na aliacha sijui chuo!