💩Eeeh watu wa mechanical engineering mkae kwa kutulia kozi yenu ni cha mtoto.
EE na tanzu zake kama Electronics, Telecommunucation, Control Engineering, Automation, Computer Engineering na Computer Science ndio kozi jiwe kabisa katika elimu ya juu.
Civil Eng hiyo hata asiesoma anapambannia kitaaDunia ya wapi hiyo?
Kwny civil Eng kuna somo linaitwa RCC unalifahamu?
Unasoma muda mwingi huku hauna pesa ya kula? Kuna kozi zingine zinatakiwa wasome watu wenye uwezo kifedha.muda mwingi ni coding na debugging..
inahitaji muda mwingi sana uwe umetulia na knowledge ni mpya zinabadilikabalika hivyo lazima uwe unasoma daily kulingana na version na releases...
Mkuu umeijibu kirahisi sanaCivil Eng hiyo hata asiesoma anapambannia kitaa
duuh sio kusoma darasani..Unasoma muda mwingi huku hauna pesa ya kula? Kuna kozi zingine zinatakiwa wasome watu wenye uwezo kifedha.
Hilo pekee ulilosema linakutoa kwenye kundi la wasomi, na moja ya faida za usomi ni uwezo wa kupambanua mamboImekusaidia nn kwenye haya maisha, iwapo ambaye hajasoma ana maisha mazuri kuliko msomi
Yeah, huwezi kujadili nae kiundani, inaelekea hawezi kutofautisha.Mkuu umeijibu kirahisi sana
Umetumia banaaaa,Ni siku nyingine inaisha sijatumia KIPEUO CHA PILI.
Mo dewji- Bachelor degree in international business and financeYes,, fanya uchunguzi rahisi wa matajiri wasomi wenye PHD/ Masters/ Degree wangapi Vs wasiokuwa wasomi (Shule ya msingi/ sekondari,, au ambao hawajasoma kabisa)