Dunia tambala bovu! Mungu Baba nipe uvumilivu nitimize Ushuhuda

Dunia tambala bovu! Mungu Baba nipe uvumilivu nitimize Ushuhuda

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Happy Sunday My Friends

Mada yangu
Kipindi hiki ambacho nataka kutimiza Ushuhuda ndo nashangaa Yule Mtoto kutoka Pwani Namba D akinitumia sms ambazo zinanipa huzuni na huku akinipigia sm kila muda.

Honestly nampenda Japo na mm nataka kuupiga Mwingi ili Angalau huu mwaka nione Mwanga katika Maisha yangu na siyo Mapenzi tu honestly it pain in such kukuta muda ambao hutaki Mapenz ndo muda Mwenzio anakuwaza kila Muda huku akipata Sonona.

Nyie wanawake ebu tupeni Muda hasa sisi wapenzi ambao tupo na dreams za kuja kuwa na pesa nyingi na Maisha makubwa .

Maana Mimi utelezi hauwezi niendesha kiasi hiki hadi kupoteza focus.

Huyu mtoto ananipenda Sana sijawai kuona.

Lucy najua huko ulipo mm Nakupenda but nipe Muda nipambanie Kesho yangu.

IMG_20220514_172209_489.jpg
 
We Dogo nyuzi zako zimekuwa Fujo sasa...

Matangazo yamezidi.
 
We ndio unaandika "My" haya angalia usiolewe maana mnakuaga na tabia za kike
 
Fanya mambo mengine, mambo yake muachie mwenyewe...
 
Komaa na maisha kijana achana na hiyo gender kabisa hutaweza kushidana nayo

Unaweza ukakuta Wakati anakuambia hvyo yuko na njema moja inajiandaa kukamua, hapo unapigwa danganya toto tu

Kama haumwi atakula tu njaa ikimkata
 
Nenda insta na Fb ulipie matangazo ya kuuza ubuyu kuliko kupoteza mda kuleta vitu vya ajabu ajabu
 
Back
Top Bottom