Dunia ya kibabe; Suala Marekani kukaa na Russia kutafuta utatuzi wa mgogoro wa rus - ukraine, bila Ukraine kuwepo hili limekaaje?

Dunia ya kibabe; Suala Marekani kukaa na Russia kutafuta utatuzi wa mgogoro wa rus - ukraine, bila Ukraine kuwepo hili limekaaje?

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Toka zelewinsky akatae kuingia mkataba wa hovyo na Marekani wa kuwakabidhi maeneo yenye madini ya earth mineral, Marekani ameigeuzia kibao Ukraine na kudai kuwa Ukraine ndiyo chanzo cha mtafaruku na vita vinavyoendelea, infact dunia iliona jinsi Russia alivyokuwa anandaa majeshi mpaka anaanza kushambulia Ukraine, from a-z,
Je Trump anajidhihirishaje katika uso wa kidunia ya ya siasa zake za ajabu na ubabe wa kitoto!
 
Toka zelewinsky akatae kuingia mkataba wa hovyo na Marekani wa kuwakabidhi maeneo yenye madini ya earth mineral, Marekani ameigeuzia kibao Ukraine na kudai kuwa Ukraine ndiyo chanzo cha mtafaruku na vita vinavyoendelea, infact dunia iliona jinsi Russia alivyokuwa anandaa majeshi mpaka anaanza kushambulia Ukraine, from a-z,
Je Trump anajidhihirishaje katika uso wa kidunia ya ya siasa zake za ajabu na ubabe wa kitoto!
Trump kichaa
 
Mkutano wa Riyadh kati ya US na Russia ilikuwa kurejesha uhusiano wake baina ya Mataifa hayo ambao ulitetereka kwenye kipindi cha Biden! Pili ilkuwa kuangalia ni maeneo yapi ambayo US na Russia wanaweza kushirikiana kimataifa mf kutatua migogoro Syria,Israel na Palestina,kupunguza silaha za nucklea,nk
Hii ni njia ya kuelekea kumaliza mgogoro wa Russia na Ukraine.
Ambapo lazima Ukraine na EU zitashirikishwa baadaye.
 
Trump kasimamia ukweli na ulaya uchumi wake uko hoi kwa ujinga wao now wamebaki kubweka tu hata kwenye mazungumzo hawakualikwa.
Pia Trump kashaona hii vita haitakuwa na mwisho na resources (including Pesa) za Marekani zitatumika bila kuwa na faida yeyote Kwa upande wa Marekani
 
Kwa namna yeyote Ile, Trump Yuko sahihi..

Huu Mgogoro wa Rus - Ukraine una hasara zaidi kuliko faida Kwa Dunia yote..
 
Toka zelewinsky akatae kuingia mkataba wa hovyo na Marekani wa kuwakabidhi maeneo yenye madini ya earth mineral, Marekani ameigeuzia kibao Ukraine na kudai kuwa Ukraine ndiyo chanzo cha mtafaruku na vita vinavyoendelea, infact dunia iliona jinsi Russia alivyokuwa anandaa majeshi mpaka anaanza kushambulia Ukraine, from a-z,
Je Trump anajidhihirishaje katika uso wa kidunia ya ya siasa zake za ajabu na ubabe wa kitoto!
Haipo sawa mkulu.
 
Toka zelewinsky akatae kuingia mkataba wa hovyo na Marekani wa kuwakabidhi maeneo yenye madini ya earth mineral, Marekani ameigeuzia kibao Ukraine na kudai kuwa Ukraine ndiyo chanzo cha mtafaruku na vita vinavyoendelea, infact dunia iliona jinsi Russia alivyokuwa anandaa majeshi mpaka anaanza kushambulia Ukraine, from a-z,
Je Trump anajidhihirishaje katika uso wa kidunia ya ya siasa zake za ajabu na ubabe wa kitoto!
Mtoto hakai na wakubwa.
 
Mtoto hakai na wakubwa.
Wanasema if you're not at the table, you're on the menu.
####################################
Hivi vita imetuonyesha Udhaifu wa Ulaya.
Sio ivo tu, inatuambia hawana meno. All bark but no bite

Vyombo vyote hivyo, NATO, EU na vingine vingi vya aina hio, vipo huko kwajili ya kuidhibiti Africa tu?👈 ni maoni yangu.

Hawaiwezi Russia,India, wala China bila ya kifua cha pesa kutoka marekani. Hata Afrika yenyewe, bila ya kukingiwa kifua na Marekani, hawana nguvu. Chukulia Vita vya kumngo'a Gadafi.

Halikadhalika, vita hivi pia, vinatuambia na mwenye pesa ashinde na sio mwenye ari, nia, ama nguvu za kijeshi. Mmarekani kwavile ndie mwenye pesa, ndie mwamuzi wa mwisho. Ndie kaka mkubwa.
#####
Yaallah
Hi Dunia tunapoenda anayejua ni Allah peke yake
 
Toka zelewinsky akatae kuingia mkataba wa hovyo na Marekani wa kuwakabidhi maeneo yenye madini ya earth mineral, Marekani ameigeuzia kibao Ukraine na kudai kuwa Ukraine ndiyo chanzo cha mtafaruku na vita vinavyoendelea, infact dunia iliona jinsi Russia alivyokuwa anandaa majeshi mpaka anaanza kushambulia Ukraine, from a-z,
Je Trump anajidhihirishaje katika uso wa kidunia ya ya siasa zake za ajabu na ubabe wa kitoto!
Hiyo hbr ya Trump kutaka madini ya Ukraine umeiokoteza wapi. Tulizeni makalio nyie nyani hakuna mnachofahamu
 
Back
Top Bottom