Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Toka zelewinsky akatae kuingia mkataba wa hovyo na Marekani wa kuwakabidhi maeneo yenye madini ya earth mineral, Marekani ameigeuzia kibao Ukraine na kudai kuwa Ukraine ndiyo chanzo cha mtafaruku na vita vinavyoendelea, infact dunia iliona jinsi Russia alivyokuwa anandaa majeshi mpaka anaanza kushambulia Ukraine, from a-z,
Je Trump anajidhihirishaje katika uso wa kidunia ya ya siasa zake za ajabu na ubabe wa kitoto!
Je Trump anajidhihirishaje katika uso wa kidunia ya ya siasa zake za ajabu na ubabe wa kitoto!