Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Miaka ya nyuma palikuwa na vidonge tiba ya maralia ulikuwa ukivimeza baadhi ya watu walikuwa wakiwashwa miili yao sasa nimemuona kuffor hapo nimekumbuka mbali ilikuwa unajikuna mpaka akili zinakuruka.
Hapo walitakiwa walambwe kadi ya manjano sababu wamekaa ndani ya mchezo.Hapo kahn hata blanket wangemletea angejifunika sio kwa kipupwe kile.
hakika mkuu!Mzee mwenzangu wakumbuka bibi zetu ukiwaliza "mwanao wa ķwanza ulimzaa mwaka gani? walikuwa hawapepesi macho wala kuangalia tarehe wenyewe walimaliza hivi "yule baba yenu mkubwa wakati wa nzige au ndui au vita sasa weye msomi ni jukumu lako kuingia penye makabrasha ujue nzige walitawala kipindi gani. Lakini ni ngumu miaka ijayo kumwambia mjukuu wako kuwa baba yake ulimpata waqt giggs aliposepa na kijiji chaarsenal au hii ya msimu ulopita ya hazard sababu kwa nini teknolojia imekuwa.
wole sooooooooooooooooooyinkasuper mario basler
Malizia jina zima basi mkuu Sir Alex FergusonNi miaka 18 sasa, tangu Man Utd alipofanya maajabu katika fainali ya UCL ya mwaka 1999 kwa kutoka nyuma na kubeba ubingwa. Man Utd akatawala soka la Ulaya na Dunia nzima chini ya Sir Alex. Tuambie unapoona kikosi hiki unakumbuka wapi? Mchezaji gani ulimkubali katika kikosi hiki? Karibu utiririke...
Swadakta ampe heshma yake na si kutaja nusu nusu nimeipenda comment yako.Malizia jina zima basi mkuu Sir Alex Ferguson
Hawa watu sitawasahau ktk kushinda dk ya nyongeza..Andy Cole, Dwight Yorke,
Ukiangalia bayern wameweka watu kwenye posts. Big Phil alipokuwa chelsk alisema posts don't score people do, pundit walimponda sana. Sasa hivi kwenye posts hawekwi mtu. Inasaidia pia kutengeneza offside trap.
baada ya iyo game ya kukusanya kijiji ndipo bifu la united na aseno lilipozidi kupamba moto mpaka leoSwadakta imeweka rekodi sawa palichimbika pale nou camp jasho na damu kimuhemuhe ila ilikuwa dhulmu ya hali ya juu SAF na wanae walipeleka ujerumani na kwa mashabiki wote ambao walikuwa wakiichukia united. Vikombe vya maana vitatu kwa msimu mmoja tena kwa style ya aina yake siku chache nyuma giggs alifungasha wakazi wa kijiji kile kina keown Lee dixon winterburn na mwenyekiti tonny adams hakika ulikuwa mwaka wa kukumbukwa.
only colina knows where the extra time has come from........mamaeeeee komenteta huyo aiseeee i love this timu mpaka kufaNawakumbuka hawa wawili super sub ambao hawapo kwenye picha Ole Gunnar Solskjaer and Teddy Sheringham.
Wakati Man utd walipopata kona ya kwanza iliyoenda kuzaa goli, Commentator alisikika akisema?Nakumbuka wakati Man Utd wanashambulia hadi wakapata Kona iliyozaa goli la kwanza, commentator alisema hizi ni United dakika za United kufunga n they always score mara pap la kwanza mara la pili. Nakumbuka nilikuwa form 1 usiku naangalia game peke yangu ndani wengine wamelala. Nilipiga kelele hadi nyumba nzima wakaamka.
Siwezi kusahau hii siku