Dunia ya Soka ilipotekwa na Sir Alex

hakika mkuu!
 
Malizia jina zima basi mkuu Sir Alex Ferguson
 
duuh sisi wakina mess na ronaldo tulikosa uhondo
 
baada ya iyo game ya kukusanya kijiji ndipo bifu la united na aseno lilipozidi kupamba moto mpaka leo
 
Hawakuteka soka la dunia, Ile game walibahatisha
 
Nakumbuka wakati Man Utd wanashambulia hadi wakapata Kona iliyozaa goli la kwanza, commentator alisema hizi ni United dakika za United kufunga n they always score mara pap la kwanza mara la pili. Nakumbuka nilikuwa form 1 usiku naangalia game peke yangu ndani wengine wamelala. Nilipiga kelele hadi nyumba nzima wakaamka.
Siwezi kusahau hii siku
 
Wakati Man utd walipopata kona ya kwanza iliyoenda kuzaa goli, Commentator alisikika akisema?

" Can Manchester United score? They always score "

Kona ikapigwa goli likaingia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…