Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Miaka ya nyuma palikuwa na vidonge tiba ya maralia ulikuwa ukivimeza baadhi ya watu walikuwa wakiwashwa miili yao sasa nimemuona kuffor hapo nimekumbuka mbali ilikuwa unajikuna mpaka akili zinakuruka.