Dunia ya Soka impe Luka Modric heshima yake


Aiseeee!!! mkuu inabidi umrithi Mourinho pale OT......maana sio kwa mitactics iyo!!
 
Aiseeee!!! mkuu inabidi umrithi Mourinho pale OT......maana sio kwa mitactics iyo!!

Hahaha!...kawaida hayo,ukiwa na nia utayafahamu tu...utayajua kama ukiangalia mechi nyingi za mipira kwenye ligi kubwa na ukijua mifumo ya timu wanayotumia na pia ukifahamu aina ya uchezaji wa wachezaji husika na namba wanazoweza kuzicheza wanapokuwa uwanjani pamoja na maelewano ya mchezaji na wenzake(yani ile combo ya kuelewana baina ya mabeki au midfilders au forwards) pindi wanapokuwa mchezoni.
 
Wewe Ni Tahira zaidi ambapo nia yako ni kuwaponda tu mashabiki wa Madrid lakini umesahau hata Messi alikuwa anakusanya Tuzo alizostahili Iniesta..
weee ndo ambao unawaambia watoto wako kua ulikua wa kwanza darasani kumbe kubwa LA viraza shubaaamit
 
kabsa mkuu,hata wanatusiwa sababu
Ya ujinga wao, kosa la kumpa mtu
Onyo wao wanatoa card yan hata
Huruma hawana
 
Umaarufu my foot!!.Yaani mtu hadi sasa ana UEFA 2 halafu unamwambia mambo ya cjui umaarufu akiwa Spurs?..Hata mwenyewe Luke akikuskia atakuona fala sana.
Sasa kati yangu mimi na wewe nani fala...soma vizuri mada iliyo ubaoni sio unakurupuka tu.
Mwandishi anasema dunia impe heshima ya soka Luka akimaanisha anajituma kwa kipaji alichonacho lakini haonekani kupewa stahiki ya kazi yake ipasavyo
Sababu kubwa ni kucheza timu
amabayo haimtegemei sana yeye kufanya vizuri so anaonekana wa kawaida tu...kitu ambacho ni tofautia na alipokuwa Spurs
 
Ha ha ha hii ni sawa na Aguero Pale Man City,,,ukicheza timu ya kawaida hata delle Ali anakuzidi...kule kuna benzema,ronaldo,bale halafu Umfikirie Modric ha ha ha kwel mkali ila ni wakawaida kwa waliomzunguka ,,Shikamoo Marcelo
Najaribu kuwaelewesha watu kitu kama hiki lakini hawaelewi kabisa yani
 
Hapana mm simkubali kivile bora isco ndo machine na ingine pia ya madrid
 
Ushukuriwe mtoa mada kwa kuliona hili,Luka huwa ananikuna sana kwa pasi na krosi zake matata.
hakika mrembo ukiomba ucheze GAME moja na luka modric utafunga BAO nying sana, maana si kwa pasi zile za jamaa na yale makrosi yake.
 
Timu bora ya FIFA(fifa's first eleven) ni miaka 3 mfululizo nadhan yupo. Labda haandikwi sana ila wataalamu wanajua mchango wake ndio maana anapigiwa kura na kuwepo kikosini siku zote. Pia,ameshinda tuzo za kiungo bora wa Laliga mara nyingi tu. Tafuteni rekodi zake kwanza
 
Modric ni mzuri ila sio lazima apewe tuzo sababu kuna viungo bora kuliko yeye na hawajawai kupewa tuzo.

Aliyekuwa maestro pale Barcelona Xavi Hernandez, amemaliza soka lake la ulaya bila tuzo. Andre Iniesta Lujan pamoja na mchango wake mkubwa kwa Barcelona na timu ya taifa bado huyu jamaa hajapewa tuzo.

Kwa sasa kuna viungo wazuri kuliko modric lakini lakini hutasikia wamepewa tuzo. Ambaye amepata ni Kante. Wakati mimi naona kabisa kante hajafikia kiwango cha Victor Wanyama na Mussa Dembele wanaocheza pale spurs. Mara nyingi viungo huwa hawapewi tuzo wanapewa washambuliaji.
 
Sure man. PAMOJA
 
Imekua ni kawaida ulaya kuwapa sifa wasiostahili na kuwaacha wale wanaostahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…