Dunia ya ujasusi: Je, safari ya Zelenskiy Marekani ina siri gani?

Dunia ya ujasusi: Je, safari ya Zelenskiy Marekani ina siri gani?

Screenshot_20221222-200058.png
 
Mkuu

Jitahidi kuwa huru ki fikra,unafikiri kuwa na upande katika umwagaji damu kuna kupa afya gani kiakili!!?
 
Wazee wa Rainbow katika ubora wao
Viva putin
Hii hoja huwa naiona ya kindezi sanaa. Kwanza nyie vijana ndiyo mnaongoza kwa kuwafumua marinda dada zetu humu... Puttin is mentally sick [emoji2961] na amekuwa mtawala wa maisha wa Urusi just like Museveni and other African doctors...
 
[emoji23][emoji23][emoji23] dah hii dharau sasa, hadi maji tunaomba?

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Tuna shida kubwa sana, nimetembelea kijiji kimoja huko Morogoro, serikali imewajengea mradi wa maji mkubwa tuu lakini motor ya kusukuma maji (yenye thamani ya milioni 5) baada ya kuharibika kijiji kizima chenye wananchi karibia elfu 8 hawana maji na wanakunywa maji kwenye madimbwi pamoja na mifugo. Hapo kijijini kuna uongozi na kuna ofisi ya Kata but hakuna anayejali.
 
Majeshi yanajiandaa kuingia RF?
Siku NATO wakijaribu kuingiza jeshi kwa uwazi katika Ukraine bila shaka itakua moja ya siku mbaya Sana kwa ulimwengu. Si Russia Wala Eu, Wala US watabaki salama wote wataangamia. Hiyo siku haitafika. Naombea kwa mola.
Na Kama itatokea ninaomba kwa mungu sisi bongo ndo tuwe superpower. Tujijenge kila mahali.
Sasa hivi zaidi ya asilimia 90 ya silaha zinazotumiwa na Ukraine zinatoka US na NATO, wanapata mpaka military technical assistance, na Mrusi anajua, je kuna kitu amefanya? Puttin watu wanamsifia bure tuu kwa sababu as a human being hawezi kuwa sahihi all the time. Huyu mtu anajiona yeye ni above all and he knows everything, hasikilizi hata washauri wake. Hata hivi vita walimtahadharisha kwamba it's not the right time but hakusikia, sasa vita aliyodhani itachukua few days is going into a year and possibly years. Vikwazo alivyowekewa vinatesa wananchi wake, na kwa kweli Warusi nadhani ndiyo wazungu wa ajabu mimi kuona kwa kukubali kuburuzwa na huyu jamaa just like what we see in Africa.
 
Sasa hivi zaidi ya asilimia 90 ya silaha zinazotumiwa na Ukraine zinatoka US na NATO, wanapata mpaka military technical assistance, na Mrusi anajua, je kuna kitu amefanya? Puttin watu wanamsifia bure tuu kwa sababu as a human being hawezi kuwa sahihi all the time. Huyu mtu anajiona yeye ni above all and he knows everything, hasikilizi hata washauri wake. Hata hivi vita walimtahadharisha kwamba it's not the right time but hakusikia, sasa vita aliyodhani itachukua few days is going into a year and possibly years. Vikwazo alivyowekewa vinatesa wananchi wake, na kwa kweli Warusi nadhani ndiyo wazungu wa ajabu mimi kuona kwa kukubali kuburuzwa na huyu jamaa just like what we see in Africa.
Hujaona kwamba ukraine ndiyo imepoteza sana kwanini usingetumia huo mda kumshauri rais wa ukraine kwamba ni bora tu angekubali kuwa upande wa putin
Kama angefanya hivyo mapema angekuwa salama sana kuliko hicho kilichomkuta

Hata yeye mkraine aliamini kwamba nato watasimama naye kwa vita kamili
na urusi hatochukua round lakini mambo yamemuwia tofauti
ndugu zake aliowategemea wako indirect na zaidi sana wanamjaza madeni

unaposema vita bado ina miaka
hiyo ni habari mbaya kwa ukraine kwa kuwa itabaki magofu tu na urusi itaishia kuyumba kiuchumi

Russia pia ana washirika maji yakiwa shingoni ataomba msaada usimchukulie kinyonge
Mambo siyo rahisi kihivyo
 
Ilifika wakati nikajiuliza wanaoendesha huu ushabiki wa nyuzi humu za Ukraine vs Russia ni watz au watu wa mataifa hayo waliopo hapa?

Kama ni watanzania duh mna moyo sana, inawezekanaje kuwa na mahaba kiasi hicho?

Naomba Mungu huu moyo uwepo kwa watz tu ili mataifa mengine yaikomboe afrika, bara zima likiwa na raia wa namna hii tuna safari ndefu
 
Ni kweli mkuu, tatizo watanzania tulio wengi tunaishi kwa kuwategemea hawa viongozi kwenye kilakitu. Mambo mengine inabidi tujiongeze wenyewe. CCm sio yakutegemea kabisa.

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Mnaunda vyama visivyoeleweka watanzania watafanyaje sasa? Hata tukiichoka Ccm hatuna chama mbadala
 
Hii hoja huwa naiona ya kindezi sanaa. Kwanza nyie vijana ndiyo mnaongoza kwa kuwafumua marinda dada zetu humu... Puttin is mentally sick [emoji2961] na amekuwa mtawala wa maisha wa Urusi just like Museveni and other African doctors...
Warusi wamelalamika?
 
Igweeeeeee kumekucha kumekucha... Ulimwengu wa kijasusi unazidi kushika kasi kama mithili ya radi.
Safari ya Rais wa Ukraine ni safari ya kijasusi pia ni safari yenye ujumbe mzito kwa Putin na Washirika wake kuwa Marekani wako tayari kwa vita mpaka tone la mwisho wa dam wakati Putin hatokuwepo "Putin In" code ya kijasusi ktk mission Hilo neno amelirudia mara mbili Rais wa Ukraine Zelenckiy kwenye hotuba yake kwa Congress hapo jana.


Putin amedhamiria kuiangamiza Ukraine ila Ukraine wao wamekuwa na mkakati mzito wakijasusi kumlemaza Putin kwa ku estimate hasara ameipa Taifa lake na wao kuhit back ila unknown. Nampaka sasa yapo mashambukiz Russian wameshindwa thibitisha Ukraine anahusika.

Mkakati mzito ulio enda jadiliwa USA ni under cover ni pigo la mwisho kwa Putin alie Kwisha dhoofu yeye mwenyewe Putin anajuwa kabisa wakati anaipiga Ukraine mataifa jirani hawajalala usiku na mchana EUR hawalali wanajianda kwa vita wakati wowote jambo lina mfanya Urusi kutokuwa salama movement zote na mienendo yote ya majeshi ya Urusi vina fuwatiliwa kwa ukatibu sana
Taarifa za kijasusi ambazo Marekani amezipata ameamua kuzijadili na Ukraine ktk vyumba vya siri ili Ukraine isishangae pindi kazi ita anza vikosi maalumu vya kijeshi vya Dunia vinakazi moja tu
Itaendelea
Mkuu unaposema "vikosi maalumu vya kijeshi vya dunia" una maanisha nini?

NB: Naona mada ya leo umeandika kimihemko sana.
 
Uandishi wa bila koma wala nukta umeshamiri kwa kizazi hiki. Mtu anaandika habari yenye maneno zaidi ya 1000 bila koma wala nukta. Linakuwa Jukumu la msomaji kubuni mwisho wa sentensi ni Wapi!
Wakati nasoma nilisi mate yanataka kunipalia na punzi zinakata, ikabidi ni ghairi nije kwenye comments[emoji2959][emoji2957]
 
Back
Top Bottom