Dunia ya zama za nipe nikupe, wanawake kama huna utayari wa kutoa usitegemee kupokea

Dunia ya zama za nipe nikupe, wanawake kama huna utayari wa kutoa usitegemee kupokea

Statement yako ipo kana kwamba mwanamke hasikii raha aki-sex na mwanaume.

Mwanaume akikuomba kipochi manyoya, kwenye tendo faida mnapata wote

Mwanaume akitoa hela kukupa wewe, hapo ni upande mmoja unafaidika, mwanamke ana-gain, mwanaume ana-lose Kelsea
Wanawake wengi wametanguliza pesa mbele hata akiliwa na kuachwa asione kapoteza mazima. Kuhusu kufurahia tendo mie sijui, watu wanaangalia pesa kwanza.
 
Habari wakuu,

Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume.

Sio kutaka kuhudumiwa alafu mwanaume akihitaji tunda zinaanza sababu "ooh bado ni mapema sana kufanya hivyo". Mbona hela na kuhudumiwa hamuoni ni mapema?

Kama haupo tayari kutoa usiwe tayari kutaka pesa na kuhudumiwa, kila mtu abaki na chake.

Ni muda gani ukishapita baada ya kufahamiana ni sahihi kuomba game?

Mtakaokuja kunipa pole nazipokea, ahsanteni 😅

NAWASILISHA.
Ila "K" mnazi overrate sana na hapo ndipo wanawake wanapochukua huo udhaifu kuwakamua visenti vyenu.
 
Juzi nikiwa Bar fulani majira ya saa 8 za usiku nilishudia bonge moja la muvi.

Kuna mwamba alikuja na manzi sijui walikutana wapi wakala wakanywa na kusaza mwisho wa siku manzi akawa anagoma kutoka na mshikaji..

zilipigwa ndondi za kufa mtu af wote walikua tungi manzi mrefu mshikaji mfupi, but guess what.., bodaboda walimsaidia mwamba kumpandisha manzi kwenye pikipiki akaondoka naye kwenda kulipia alichokula 😀

All in all wanaume tutafuteni hela, ukiwa nazo wanajipitisha wenyewe kazi yako inakua ni kuzibandua tu
Bodaboda wamefanya jambo zuri sana.
 
Back
Top Bottom