Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Nope, Nisha connect dots, ana hisi am someone Humu🤣.Utakua ulimtisha mahali!!😁
Nuzulati She really gots all treats za sweet melody, na uzuri pia🏃🏃🏃.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nope, Nisha connect dots, ana hisi am someone Humu🤣.Utakua ulimtisha mahali!!😁
Waambie wakuje bado zipo mkuu. Unajua neno lako kwetu ni amri mkuu wangu!Bado mnalalamikaga tu kuhusu wanawake 😃😃.. kampelewele ajira zimeisha huko?? Uwasaidie vijana wako
This is called WIN WIN SITUATION. Maisha ni mtanange unapompa bila kupata faraja ya moyo daima utahuzunika so ili maisha yaende hakuna namna NIPE NIKUPE😄 na hii iwe principle maishaniHabari wakuu,
Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume.
Sio kutaka kuhudumiwa alafu mwanaume akihitaji tunda zinaanza sababu "ooh bado ni mapema sana kufanya hivyo". Mbona hela na kuhudumiwa hamuoni ni mapema?
Kama haupo tayari kutoa usiwe tayari kutaka pesa na kuhudumiwa, kila mtu abaki na chake.
Ni muda gani ukishapita baada ya kufahamiana ni sahihi kuomba game?
Mtakaokuja kunipa pole nazipokea, ahsanteni 😅
NAWASILISHA.
😂😂😂😂aaah tunatofautianaHilo linajulikana tokea zamani,ila mnaambiwa nyie kwasababu unakuta mizigo mnazungusha kutoa ila hela mnaomba.Ukikutana na boya unamlia hela weeee,halafu mzigo unampa maramojamoja.
uzur ni kwamba mnazipenda hivohivoPesa ina thamani kubwa kuliko papuchi ambayo imeshatumika imeenda mileages
😁😁😁 hiyo ya kusema tunatofaitiana ni mbinu tu ya kimedani,wadada wengi unakuta mwanzoni anasema hivyo au anajibu kua 'usikariri' au 'inategemeana na mwansmke',kumbe ndiyo walewale😁😁,hii dunia imebadilika,lazima tukae ki-master,unataka pesa,namimi nipe nikitakacho,no problem,hutaki kawaombe mama,baba,ah kaka zako.😂😂😂😂aaah tunatofautiana
😂😂😂amna. ni kweli tunatofautiana kama ambavyo wapi wanaume kukupa pesa mpaka msumbuane na wengine wala huitaji kujieleza kabla hujaomba tayari amekupa alafu kuna wengine kama hujaomba basi hupewi😂😊😊😁😁😁 hiyo ya kusema tunatofaitiana ni mbinu tu ya kimedani,wadada wengi unakuta mwanzoni anasema hivyo au anajibu kua 'usikariri' au 'inategemeana na mwansmke',kumbe ndiyo walewale😁😁,hii dunia imebadilika,lazima tukae ki-master,unataka pesa,namimi nipe nikitakacho,no problem,hutaki kawaombe mama,baba,ah kaka zako.
Huwa nashangaa sana nyie wenzetu mnapata wapi wanawake wanawanunulia vitu vitu, utasikia mie demu wangu aliwahi ninunulia simu, mara viatu mara nguo daaaah mie sikumbuki hata kama nishawahi pewa bigbomKabisa kuna namna mabinti wakibongo wanatakiwa wabadilike zile zama za kila siku yeye wa kupewa tu zinapitwa na wakati , tuvitu tudogo tu tunahamasisha , mimi nilikua na manzi kila akija lazima aje candies yan nilikua nafurah tu [emoji1]
Ndiyo maana Kuna haja mkiwa mnadate na Vijana wenzenu muwe mnawatoa japo kuwapeleka Hotel Siku Moja Moja walau kupeana "Exposure"Ndio aagize kama anaenda sudan?
Nadhani wanaongelewa nipe nikupe,mambo ya sijisikii vizuri, mara niko period, mara mwanangu amelazwa nitumie hela niwatumie inakuwa haipo.Hawafugiki
Huduma itaenda direct proportional na Utamu..No Utamu No Huduma..Hatutaki kutapeliwa kifala falaNdipo dunia ilipo kwa sasa, baadhi ya wanamke ukiwa na ukaribu nao na ukaonesha interest ya mapenzi kinachofuata ni kutaka ahudumiwe ila wewe ukitaka game anaona ni mapema sana.
Wamekusikia🙌🙌Waambie wakuje bado zipo mkuu. Unajua neno lako kwetu ni amri mkuu wangu!
Wanaume tunajifanyaga alpha kwa demu ambaye hatujamwelewa kihivyo, kuna demu unakuta pisi kali, sura sura, rangi rangi, tako tako halafu hana mizinga, anakupa attention, ana story nzuri, kama una hela mbona unatoboka nyingi, kabla ya kula papuchi yake ExtrovertWanaume wengi tumekuwa dhaifu bila sababu kwa kivuli cha kutaka kuonekana gentleman uchwara, Nigga tell her straight away that you wanna get wild with her akileta utoto kick her to the curbs huna cha kupoteza. Always just be straight atachukia at first ila ataelewa baada ya muda kidogo.
Iko hivi ikiwa mi nakutaka and i mean business nitaku tame ila siwezi kuweka pesa kama bait. Alot of motherrfuckaz tryna look nice by flowering them girls with cash spending on them. That doesn't make things any better but eventually gets that girl into "Danga" mode because she quickly realizes that you don't have enough balls to express yourself but you are willing to lose money to get into her thighs. Utaliwa hela na kuzungushwa sababu umeruhusu hilo. Hizo ni mambo za simps.
Lengo lilikuwa kufikisha ujumbeSijui kama umeelewa comment yangu.
Ndio maana tukipiga mar kadhaa tunatafuta nyingine hazina maajabuuzur ni kwamba mnazipenda hivohivo