Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Na sasa Mbowe anataka huruma ya Mama.Nafikiri hotuba ya SSH ilijieleza vya kutosha juu ya swala la katiba, yeye aliwaomba kistaarabu kabisa kuwa mmpe muda kidogo Ili amalize shughuli zinazomkabili Ili akimaliza ageukie swala la katiba.
Kiongozi wenu akaotisha kongamano na kumjibu kwa ngebe kuwa hawezi kumpa muda Rais,yeye kama nani? Ile miaka mitano ya JPM alikuwa wapi mbona hakuwahi kumjibu hivyo licha ya JPM kutangaza wazi kuwa hataki kusikia swala la katiba? Leo hii huyu aliekubali ndo amjibu hivyo?
Kivyovyote vile mbowe alimdharau saana SSH.
Hakika ukimchekea nyani utavuna mabua....Na tutasimama madhubuti.
Hatutokubali kuingia kwenye machafuko kamwe.
Amani ndio suala la msingi zaidi kwetu
Mkuu KITAMBI...Kwani kipindi kile Robert Amsterdam hakuhojiwa na CNN ?!!!Hata kama haitamzuia tembo kunywa maji tayari mmesimama jalalani,CNN inasikika duniani sio hapo geita ulipo peke yake.
Mama aliwapa huruma....Na sasa Mbowe anataka huruma ya Mama.
Akae kwa kutulia, rais ana kazi nyingi sana
Wakikiona KITI wanakichezea tu...Tena ni AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA TANZANIA YOTE
🤣🤣🤣Kwani Za hegi kesi haijafunguliwa bado??
Mungu hawezi kuamua kwa kutumia akili zako,Thanks Sasa Kama Dunia ilivyo mduala, atakuonyeshe yu hai na anaishi kila siku katika ,shughuli,zako na familia yako, BWANA NJOO ,na shughulika nae, ajue utukufu wako ni wajabu, tenda, fanya, kazia zege KWA ndugu huyu ,mpaka akutambue, na sio bule BWANA mpaka asaidie maskini na vilema wasiozidi 747 ,imekua bwana
Nimeandika nikafutaWacha polisi wafanye kazi yao wanayoijua, nyie misukule ya Mbowe kila kitu mnajua nyie
Wao hawawezi kutetea masuala ya wananchi wote maana si agenda zao.Bora wangeandamana na kupendekeza solution ya tozo (kitu ambacho upunzani ilikua mzuri Sana kwenye kutoa alternative budgets and solutions enzi zile) kuliko hii ya sasa
"Dunia iliyostarabika"??! Come on man! which dunia is that!?Wana best intelligence inayowapa up to date information ya kinachojiri.
Samia anaanza kuonekana kituko mbele ya Dunia iliyostaarabika, Sijui nani alimdanganya avunje kiapo chake cha kutenda haki bila kuonea!
Kwa taarifa tu mkuu, nchi zilizoingia kwenye machafuko zilianza hivi hivi. Nenda ukarejee suala la Libya.Machafuko yangetokea wapi kama polisi wangewaacha tu wafanye tu kongamano lao tena LA ndani bila bugudha.
Nchii hii mavhafuko yataletwa na ccm.
[emoji1787][emoji1787]Wao hawawezi kutetea masuala ya wananchi wote maana si agenda zao.
Agenda yao kubwa ni kutumia njia yoyote ile, hata iwe ma ghiliba kisi gani ili tu wapate madaraka. Hawajui kwamba ili upate madaraka ni lazima Sisi Watanzania tukuchague.
Last time I checked, wananchi waliwakataa vibaya sana kwenye sanduku la kura
Mbona unatumia nguvu nyingi sana kutetea uonevu, udhalimu na ujinga?Mnajifanya kenge maji Hamsikii mpaka damu zinatokea maskioni.
Mmeomba kukutana, mmekubaliwa, mnataka ifanyike mnavyotaka nyinyi. Hivi mna akili kweli?? Ndio maana JPM alikwenda nanyi kindezi kama mlivyotaka
Wajinga ni wale wanaotaka kumpelekesha mama afwate ratiba yao wakati alishapangilia ratiba yake.Mbona unatumia nguvu nyingi sana kutetea uonevu, udhalimu na ujinga?
eeeeee!Mama aliwapa huruma....
Kesi yake ikamalizika....
Milioni zao 300 wakarudishiwa.....
#UkinizinguaNakuzingua
#KaziIendelee
10 tena kwa mama,Mimi yote sawa tu ila huyu mama kaharibu kabisa imani ya wananchi kuwa mwanamke anaweza kuwa kiongozi mkubwa wa nchi. Ilikuwa ndo chance ila ndo imeisha hiyoo wacha amalizie muda wake.
Haswaaa.....eeeeee!
Ukinizingua nakuzingua
Sitetei uonevu wala udhalimu wala ujinga. Najua fika agenda za Chadema, wala sisemi agenda za upinzani maana wapo wapinzani wengine wanafanya siasa za kistaarabu. ACT Wazalendo ni wapinzani pia, NCCR Mageuzi Ni wapinzani pia ila mbona hawapo kama Chadema??Mbona unatumia nguvu nyingi sana kutetea uonevu, udhalimu na ujinga?
Maneno kuntu kabisa.....Sitetei uonevu wala udhalimu wala ujinga. Najua fika agenda za Chadema, wala sisemi agenda za upinzani maana wapo wapinzani wengine wanafanya siasa za kistaarabu. ACT Wazalendo ni wapinzani pia, NCCR Mageuzi Ni wapinzani pia ila mbona hawapo kama Chadema??
Chadema mnachotaka ni hii nchi iingie machafukoni, hatuko tayari kwa hilo mkuu. Hii nchi ina umri wa miaka 60 sasa, angalieni wenzetu kama Rwanda Libya Ethiopia DRC na wengine wengi hali zao. Je mnataka mtupeleke huko ndugu zetu?
Hawa CNN na BBC na AL JAZEERA hawana jema lolote kwetu. Haya mataifa ya Ulaya tusidhani kwamba eti wanatutakia mema sana. Hapana!