Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Thread was deleted
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah....kwel kabisa......kuzaa kiazi kama hicho ni hatarHizo kesi zitakua nyingi sana, wazazi na wao wa mshitaki kwa kuwa mpumbavu kwani hayakuwa mategemeo yao au mpango wao kuzaa boya kama yeye.
...Amepanga kuwafikisha Wazazi wake Mahakamani... Kichwa Cha Uzi wako kinamaanisha Ameisha Wafikisha tayari??Mwanamume wa miaka 27 wa India anapanga kuwashtaki wazazi wake kwa sababu hawakuomba ridhaa yake ili azaliwe.
Raphael Samuel, mfanyabiashara mwenye makazi yake Mumbai, aliambia BBC kuwa haikuwa sahihi kuleta mtoto duniani na kuishia matatizoni maisha yake yote.
Anaelewa kuwa haiwezekani kuuliza maono kutoka kwa mtu ambaye hajaja ulimwenguni, lakini anasisitiza ‘’uamuzi wetu sio kuzaliwa’’.
Hatua hiyo inaweza kusababisha mabishano katika familia yoyote, lakini inaonekana familia yake inaifanyia mzaha.
Katika taarifa iliyotolewa na mamake Kavita Karnad Samuel alisema alimpongeza mwanawe kwa kumpeleka mahakamani, akijua kuwa wote ni mawakili.
Samuel anaomba mahakama iamuru alipwe fidia na wazazi wake.
Wazo la mtu huyu linatokana na mtazamo wa kifalsafa kwamba maisha ni magumu, na kwa hiyo ametelekezwa
Chanzo: BBC swahili
AiseeMatatizo yakutokumjua Mungu baba wa Roho zetu
,🤣😅😅Sishangai hapa bongo yenyewe watu wanatamani kutaga ili watamie mayai
🙌🙌🤲kuna kipindi katika maisha yangu nilikuwa mtu wa kutumia logic sana, mungu wangu kumbe logic na maisha ni kama Russia na Ukraine.
..yatosha, acha kesi zao zijisumbukie zenyewe, kwani una nini nao!?
Nimesikia hospitali ya mirembe wameanza kuwasaka wenye matatizo ya afya ya akili mitaani. Hivi hawana wawakilishi humu JF?Hapa mtatoa povu ila yuko sahihi, unajijua maisha yako ya kuunga si uvae condom? Kwa nini ulete kiumbe duniani kukitesa bure? Yuko sahihi kabisa na mahakama itowe haki
Pelekwa wewe mirembe, binafsi siwezi ruhusu zaa mtoto kama sina uakika wa mkumlea.Nimesikia hospitali ya mirembe wameanza kuwasaka wenye matatizo ya afya ya akili mitaani. Hivi hawana wawakilishi humu JF?