Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina la Yesu Kristo ndilo suluhisho pekee.Duniani wachawi wanatutesa sana hii kitu tumeifukua nyumbani kwangu inasikitisha sana View attachment 2337247View attachment 2337248
Mmh! Huyu ndugu hajaomba msaada au namna ya kupata suluhisho. Yeye katoa Taarifa ya mambo yaliyotokea nyumbani kwake na akasema inasikitisha sana. Hajasema kitu kingine. Kwa mtizamo wangu hapo ingekuwa: Taarifa imepokelewa au kwa hiyo unashauri nini.Jina la Yesu Kristo ndilo suluhisho pekee.
Usiogope uchawi
Hapo ndugu ulizaneni maana unweza kuta mmoja wenu ameenda kutafuta mali ndio kachimbia huo mzigo usiku. Hakuna mchwi atakuja hivi hivi kwenuDuniani wachawi wanatutesa sana hii kitu tumeifukua nyumbani kwangu inasikitisha sana View attachment 2337247View attachment 2337248
Naona post yangu imekutikisa huko machimboni.Mmh! Huyu ndugu hajaomba msaada au namna ya kupata suluhisho. Yeye katoa Taarifa ya mambo yaliyotokea nyumbani kwake na akasema inasikitisha sana. Hajasema kitu kingine. Kwa mtizamo wangu hapo ingekuwa: Taarifa imepokelewa au kwa hiyo unashauri nini.
Kha! machimboni ni wapi tena aisee?Naona post yangu imekutikisa huko machimboni.
Iwe taarifa ama a bluff lakini jibu langu ni lile lile. Tegemea Jina la Yesu
🤣🤣🤣🤣Kha! machimboni ni wapi tena aisee?
Hivo vibox vinne vinamaanisha machimboni? Inaelekea neno "Mchimboni" sio neno jema. Asante kwa kunificha.🤣🤣🤣🤣
Huo ni uchafu tu, mikwara ya kishirikina, hakuna cha kuweza kukudhuru ikiwa hutaweka hofu yoyote na huo uchafu.
Chukua mafuta taa na kiberiti vichome moto kisha endelea na maisha yako.